Hii game na Everton SAA ngap wakuu??
Grujic bado majeruhi...Klopp ni ngumu kumwelewa kuhusu hawa makinda...hata hivyo hata Keita, Fabi, Shaqir kupangwa nako ndio vile je hawa makinda ndio kabisaaaaa....Origi tayali si mkaaji ni akiota tim tu anaondoka.
Kamuongezea mkataba Glujic hafu kamtoa kwa mkopo na kiwango chake sio kibaya kwa kuazia benchi alikoenda aliingia kikosi cha kwanza ila alipata majeraha sijui kwa sasa hawa ndo watu walitakiwa walete chalenji na wakubwa
Glujic kama ata implove namuana kama Gered mwingine staili yake ya kucheza
Mangi unapita baada ya kuongoza West London Derby aaaa haya bana....usikimbie bana ukifungwo aisee tatizo mlijiamini sanaaaa na huyo Jorgino wenu....Napita tu kuwafahamisha sare inawahusu leo
Izo point mbona chache sana. Kwanza ligi hata first raund bado haijakwisha, uefa kule unachechemea ..kombe pekee unalotegemea kushindana ni FA tu ..Gap la point 5 limepunguza wapambe wa chelshit hum na story za joginho
Kama wewe unavyozid kupoteza uefa. Hesabu msimu mwingine tena wa klopp kutoka kapa...Mkuu
Chelsea ninauhakika watapotea zaid ya hapo time will tel maan wakikutana na kiungo mwenye uwezo wa kumkaba vzr joginho basiii kwisha kaziii
Napita tu kuwafahamisha sare inawahusu leo
Izo point mbona chache sana. Kwanza ligi hata first raund bado haijakwisha, uefa kule unachechemea ..kombe pekee unalotegemea kushindana ni FA tu ..
FA gan hyo mbona liver haipo hukoIzo point mbona chache sana. Kwanza ligi hata first raund bado haijakwisha, uefa kule unachechemea ..kombe pekee unalotegemea kushindana ni FA tu ..
Henry Wilsson ni Kewel au Balle yupo moto sana
Mimi klopp kutoka au abaki sw tu maan sijawah kumkubal hata Siku mojaKama wewe unavyozid kupoteza uefa. Hesabu msimu mwingine tena wa klopp kutoka kapa...
Hawachoki hao kina mane kila siku wao hata ndogo?HW Ni Mzuri lakini sioni kuwa Anafuture Yoyote Ndani Ya Liverpool! Ataendelea Kutolewa Kwa Mkopo na Mwishowake atauzwa.
Hii Ni Kutokana na Na Uwepo Wa Mane, Salah na Firmino utalimit game time Yake.
Na iwapo Brewster ata-adapt na Kuperform well ndiyo kabisa Wilson hatofanikiwa Ndani ya Liverpool.
Hawachoki hao kina mane kila siku wao hata ndogo?
XI vs Evance
Allison .Arnold .VVD .Gomez. Robertson .Fabinho .Wijnaldum . Shaqiri. Salah .Mane .Firmino
Substution
Mig. Matip. Moreno. Sturridge. Milner. Origi . Keita
No excuse kwa leo
leo mnaonekana sana humu...karibuni kupata burudani...Izo point mbona chache sana. Kwanza ligi hata first raund bado haijakwisha, uefa kule unachechemea ..kombe pekee unalotegemea kushindana ni FA tu ..