Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

so far we have performed poorly, no pacy, urgency, no creativity.

to be honest, henderson ni mchezaji mzuri ila siyo kwa majukumu ya kama namba sita, msimu wa 2013/2014 alicheza vizuri saana ni kutibua mwenye jukumu la kuchezesha timu alikuwa nayo Gerrard. Henderson bora achezeshwe namba nane siyo sita.

Mane and Salah are both awful in the first 45 mins

Pep na city yake ni ngumu kuzuiwa asichukue ubingwa
Hendo as no8 atachemsha zaidi mkuu .Hana pass zenye macho.Sio fkexible Hana kasi.Halafu kwa nini umuhamishe namba ambayo wapo wazuri tu wa kucheza kana Keita?
Nionavyo ni umefika muda wa kumuweka huyu mjomna nje.Hakuna namba ambayo atatusaidia zaidi ya no12...Majukumu anayoyafanya leo Fabinho angeyafanya vizuri zaidi ..
 
Lovren turning superbly and give a one milion dollar cross and its a miss
 
And i think this forward line shape is working.Salah as 9...Bobby as 10...Mane and Shaqir on wide..

Just this midfield paradox has to be sorted out.
 
Hendo as no8 atachemsha zaidi mkuu .Hana pass zenye macho.Sio fkexible Hana kasi.Halafu kwa nini umuhamishe namba ambayo wapo wazuri tu wa kucheza kana Keita?
Nionavyo ni umefika muda wa kumuweka huyu mjomna nje.Hakuna namba ambayo atatusaidia zaidi ya no12...Majukumu anayoyafanya leo Fabinho angeyafanya vizuri zaidi ..
sasa kama manager anaweza ika bench zaid za pound 100m unategemea nn,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom