Sina undugu na hao jamaa walio tajwa!AROON , Malafyale , eden kimario , Ollachuga Oc na Antonio Conte haya Majina yote itakuwa huyu Ni Mtu Mmoja mwenye ID tofauti..
Na kama Hawa Ni Watu tofauti basi Ninauhakika Watakuwa hawa Ni Ndugu Wa Baba mmoja na Mama mmoja.
Sina undugu na hao jamaa walio tajwa!
Sina ID yyt zaidi ya jina hili nililo lisajili hapa miaka zaidi ya 10 iliyopita!
Mm ni Liverpool na natetea jezi ya Liverpool na nakosoa palipo na haki
Hii thread naona imekuwa ya sisi kwa sisi.
Sidhani kama kuna mshabiki wa Liverpool anayeiombea mabaya timu, ukosoaji wowote unalenga kuboresha.
Mimi nafikiri tufikie mahali tuelewe kwamba tunatofautiana mitazamo, na tuchukuliane hivyo hivyo.
Kuna watu wanahisi Kukosoa Mfumo au Plan ya Kocha Ni Kuiombea Mabaya Timu.
Wanadhani Kuipenda Timu Ni Kufungwa halafu ukaja Ukajisifu Tumefungwa lakini Tumewakamata Mwanzo mwisho.
Wanadhani Kuipenda Timu Ni Kuamini Kuwa Kocha Hakosei.
Mtu anaweza jikutia Kwenye JF ni Mkongwe lakini Kwenye Soccer akawa Bado Ni Amateur.
Mimi Kwenye JF Ni Wajuzi tu, Lakini Kwenye Liverpool nipo Tokea Mwanzilishi Wa JF bado yupo Shule ya Msingi/Sekondari.
So, Kwavile nimeyaona Mengi ndani ya Liverpool na Magumu tuliyopitia, basi sitopendelea tuendelee Kuwa Zero Trophy kisa tu Mchezaji yeyote atakaevaa jezi ya Liverpool basi Nimtetee Kuwa Anastahiki.
Yeah, kuna njia tofauti za malezi, kuna mzazi mwanae akikosea anamkanya tena hata wakati mwingine kwa fimbo, haina maana eti huyo mzazi hampendi mwanaye.
Ukiona mzazi ambaye hamkanyi mwanae, eti kisa tu hataki mwanae pendwa akasirike ujue huyo mzazi ana shida mahali.
Liverpool ni yetu sote, mahali pa kukosoa tunakosoa, pa kusifu tunasifu.
wewe sio mzima kabisaLeo mpigwe ,au msuluhu au mpate majeruhi .
Ni hayo tu
Tukutane baadaewewe sio mzima kabisa
Predicted XI Squad
Allison
TAA
VVD
GOMEZ
Robertson
Wiljnadum
Milner
Shaqir
Lalana
Firmino
Salah
sijawai kumkumbali Lallana, but gemu ya vs Hfield ndogo alikua anarudi nyuma chap kusaidia defence, kwa ushindani wa namba kikosini ameshajua hapa Uingereza wake hautambeba ndio maana ana mkopi Milner.Game ya leo ni Kuwa Keita injury, Hendo injury! Basi Kama Fabinho atapewa Nafasi huenda ikamjengea Confidence kwake na kwa Kocha..
Lakini sitoshangaa Kuona Mids ya Gini-Milner-Lallana/Xhaqiri.
Mapicha picha ni kua echo wamempa lovren nafasi ya kuanza mbele ya Gomez. Yaniii ile partnership ya CB kati ya vvd na gomez ndio inaenda kupotea ivi ivi
Lazima mjue team yenu haina wachezaji wa kutwaa ubingwa wowote msimu huu yaani mambo ni empty kwa upande wenu kuhusu EPL na FA cupDa shida yote hii ya maneno kati ya sisi kwa sisi imeletwa na performance yetu ya juzi versus Huddersfield.
performance ya juzi haikua na radha ile ambayo tumeizoea! kiukweli hata Klopp mwenyewe was not happy at all maana km mliangalia ile game mpaka mwisho na kumfuatilia kocha aliku akionyesha gestures ambazo alikua ana maanisha akupendweza!
nimefuatilia sana kwenye vyombo vya habari UK ili kujua kulikoni LFC hawakuperform vizuri despite ya ushindi ule.
Nikapita kwenye gazeti la dailymail; JK alipohojiwa alitoa mfano wa "dog toy analogy" yaani usipo mpa mbwa toy anayoipenda atagoma atataka toy yake.
Ina maana kwasasa LFC wanataka kujaribu style nyingine ya kucheza ukiondolea mbali hile style iliyozoeleka ya high press!
kwasasa JK ana implement mildfield press.
na amesema ukicheza high press ukiwa unacheza na timu zinazopark basi nyumba utapatashida sana km vile LFC ilivyopata shida na teams za bottom 3 msimu uliopita na akaongeza kua high press style unaitumia wakati unacheza na team kubwa zinazo attack wakati wote km man city.na akasema You can not win with only offessive football....it is not possible.
Ila nilipo soma gazeti la mirror la UK pia nao walimuhoji Shaqir kuhusu perforrmance ya juzi yeye akasema Klopp aliwakaripia wachezaji sana baada ya kuonyesha poor display....na akasema Klopp hua yupo emotional sana na ana react papo hapo.
Shaqir anasema final touches zao hazikua nzuri at all ila watajaribu kuimprove mechi zijazo.
sasa hapo sielewi which is which nibebe ya klopp au ya shaqir??
YNWA
Tatizo lako mahaba yamekuzidi Mpaka mapungufu ya team yako huyaoni mkuuAROON , Malafyale , eden kimario , Ollachuga Oc na Antonio Conte haya Majina yote itakuwa huyu Ni Mtu Mmoja mwenye ID tofauti..
Na kama Hawa Ni Watu tofauti basi Ninauhakika Watakuwa hawa Ni Ndugu Wa Baba mmoja na Mama mmoja.
ingekua tupo nafasi ya kumi na vile na UCL hatuna hata pointi ungekua una make sense, ubao unasoma tupo sawa na Manshit wanatuzidi magoli EPL...UCL tupo nafasi ya pili na mzunguko wa kwanza ndio unaisha leo na tutakua kileleni ..hio FA tuongee mwakani ndugu..Lazima mjue team yenu haina wachezaji wa kutwaa ubingwa wowote msimu huu yaani mambo ni empty kwa upande wenu kuhusu EPL na FA cup
Ndio kwanza match ya 10 inafuata pale EPL mmeshaanza kujichokea
Nafikiri kauli ya kubeba hapo ni ya Shaqir na sio kocha
Wachezaji wameanza kuchoka sasa mwalimu anajitahidi kuwafanya wahifadhi nguvu
Leo hiyo ngoja tujionee nyuma kakubali ushauli na shinikizo la mashabiki juu ya fabyView attachment 909687
Mimi nasubili apone nione akipangwa team ya taifa ndo nta amini kua huyu jamaa anabahatiNi Kwasababu tu The Greatest Le Captaine Hendo injury tu! Subiri Sir King Henderson apone uone Kama Fabi atacheza.