Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sawa mkuu. Last season naona japo sisi tulisindikiza wewe ndio ulikuwa bingwa na msimu huu bado tunawasindikiza
 
Sasa mkuu wewe utabishana na nani kama logic huna? Mtu utasema una akili lakini hujui tofauti ya 1 na 3 na bado unataka watu na akili zao waendelee kupoteza muda wao na kuchosha akili zao kubishana na wewe?
Basi sawa nyie mna akili sana.

Mimi ni mjinga sijui tofauti ya 1 na 3.
 
sisi tumewafunga Hudds 1-0 ni Tim ya kawaida.

sisi tumemfunga westham goals 4-0 na nyinyi mmedraw na na westham 0-0

nyinyi mnajiona mko juu sana.

Brother tumia kidogo akili kwenye kuchanganua mambo!
Westham vs chelsea ni watani wa jadi usishangae iliisha bila bila
 
Mkuu rudi ukafanye analysis vizuri. Team yetu now tumebadilisha mbinu za kupigana. Team yetu ina uwezo wa kufunga goal kwenye kila mechi. Sasa hivi strategy ni kuhakikisha hatufungwi goal.
Kufungwa hakukwepeki mtafungwa tu siku na saa yoyote
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli tu
By magufuli
Liverpool siku zote humsindikiza bingwa kwa sababu uwezo wa kuwa mabingwa hamna
 
"ASIYE JUA KITU" Hendo katoka dakika ya 45 ikiwa 1-0 tunaongoza!
Wakaingia "WANAO JUA SAAANA"
Lkn dakika ya 90 mbona ikawa bado ile ile 1-0?
Si alitoka Hendo anaye zuia sana mashambulizi yetu?
Mbona bado ikawa 1-0 ile ile hata walio ingia ambao hawazuii mashambulizi akina Fabihno akina Wilj?
Mnazidi umbuliwa tu,Hendo ni mchezaji muhimu sana kwa Liverpool na ndiyo maana kapewa mkataba mrefu!
Klopp na team inayo mzunguka inajua soka menejimenti kuliko yyt hapa,hata robo hatumfikii
Pona haraka Le Capitane Hendo,the real Liverpool fans need you!
 


Mkuu hivi unajua kuwa Adam Lallana ana mshahara mkubwa kuliko Sadio Mane?

Je inasound kichwani Adam kumzidi mshahara Sadio?
 
Mkuu hivi unajua kuwa Adam Lallana ana mshahara mkubwa kuliko Sadio Mane?

Je inasound kichwani Adam kumzidi mshahara Sadio?
Inategemea mkataba wake Lallan kasaini lini kaka!
Wkt anakuja toka Soton Mane hakuwa hivi
Mkataba mpya wa Mane(kama atakubali kusaini) utakuwa mkubwa zaidi ya Lallana,sambamba kama wa Salah au Firmino
 
Inategemea mkataba wake Lallan kasaini lini kaka!
Wkt anakuja toka Soton Mane hakuwa hivi
Mkataba mpya wa Mane(kama atakubali kusaini) utakuwa mkubwa zaidi ya Lallana,sambamba kama wa Salah au Firmino


Labda nina kumbukumbu mbovu, ila Mane kipindi cha mwisho kabla hajaja LFC alikuwa ndio Superstar wa pale labda at same level na Graziano Pelle.
 
HOJA ZA HENDO-FANBOYS

1) Hendo Katufikisha Fainali CL

2) Hendo Kaifikisha England Nusu Fainali WC

3) Sisi Hatujui Soccer Management

4) Sisi Hatumfikii Klopp Hata Robo


Kwa bahati Mbaya Ni Kitu Kimoja tu Ndiyo Wanachosahau Kukisema

5)Tokea Awe Captain Trophy ni Zero
 
Ubingwa ni collectively effort sio za mtu mmoja!!
Ukweli ubaki kuwa hamuwezi mfikia kwa lolote Klopp anaye mpa Hendo nafasi
Nyie mnajua kuzidi hata Southgate?Hao akina Winks wanaenda benchi Hendo akiwa mzima!
Mnatia tu aibu hapa!
Jana katoka mapema sana HENDO,wanaojua walisaidia kufunga ngapi?
 
Labda nina kumbukumbu mbovu, ila Mane kipindi cha mwisho kabla hajaja LFC alikuwa ndio Superstar wa pale labda at same level na Graziano Pelle.
Angekuwa na kiwango kama hiki cha sasa asingekuja kwa Milion 34!
Mane tuliona potential ipo lkn hakuwa ameiva
Ndiyo maana akaja very cheap!
Sasa Mane kumtoa Liverpool unaongelea 100+M!
Kpandisha sana stock yake
 
Angekuwa na kiwango kama hiki cha sasa asingekuja kwa Milion 34!
Mane tuliona potential ipo lkn hakuwa ameiva
Ndiyo maana akaja very cheap!
Sasa Mane kumtoa Liverpool unaongelea 100+M!
Kpandisha sana stock yake


Hata hivyo walivyokuwa huko huko St Marry Stadium, nani uliona anastahili kuwa juu kimshahara kumzidi mwenzie?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…