Huyu jamaa ntamtilia shaka sasa na mbinu zisizo badilika.Yaani ukisoma Liverpool Echo utadhani ndo wanampangia kikosi Klopp, maana walipropose Trent Kupumzika na imekuwa hivyo.
Ngoja tuone game itakuwaje, hope tutashinda.
Adui yako muombee njaaLeo sare tu inatosha au kama vipi mmoja afe tu
Angewasaidia na Belgium basi kupata kikombe
Angewasaidia na Belgium basi kupata kikombe
Kama hujamuelewa ngoja nikueleweshe. Alichozungumzia hapo ni kwamba timu ni vizuri ikarecruit wachezaji ambao wameshazoea kuchukua makombe au hata kama hawajazoea basi kuwe na wachezaji ambao wameshachukua toka zamani. Hazard alikuna Chelsea kawakuta kina Didier wameshazoea mataji na yeye akaingia kwenye mfumo huo.
Unamsajili Shaqiri unategemea akupe nini huyu? Ni heri usajili anayetoka nje ya EPL Atleast anakuwa na motisha kucheza ligi inayotazamwa na sana ulimwenguni. Hawa wanakua na passion.
Iam following the game very wellLeo humu mtapaona pachungu. Mjitahidi mshinde lkn km hamtashinda yaaani tutakuja kuwafyekelea mbali.
nguvu fyeka kabisa, MosDef fyekelea kule, Gwamahala fyeka fyeka na Mheshimiwa diwani Malafyale kaka yake everlenk fyekelea mbali kabisa
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
AmenNamtakia Man city ushindi
Daah watu mnasaga sumu.
Nawapa pole kabisa ndugu zangu.
Jana nilikuombe umpige trash NC lkn leo unanigeuka?Kuna maombi nafanya.
Nina hamu na supu ya jogoo!!
Jamani yani kipa wao anapumzika tu, au Klopp leo hataki ushindiNo shoot on goal
Kuna maombi nafanya.
Nina hamu na supu ya jogoo!!
Nathaniely!!!Joe Gomez ndio amewekwa Right-Back
Huyu Kocha wetu huyu! Sema basi tu hamna namna. Right back wetu ambae huwa namuona yupo vizuri defensively ni Nathaniel Clyne
Ndio nafasi yake halisi, centre back ameanza kucheza siku hiziJoe Gomez ndio amewekwa Right-Back
Huyu Kocha wetu huyu! Sema basi tu hamna namna. Right back wetu ambae huwa namuona yupo vizuri defensively ni Nathaniel Clyne