Wewe unampenda Bobbyyep.... ilikuwa mechi nzuri sana. hata tungeshindwa ningesema hivi hivi.
nikiri tu kuwa Chelsea wapo vizuri - si timu ya kubeza hata kidogo.
that's why kwangu mimi no complaints kuhusu results. tumetoa draw nyumbani kwa timu ambayo 75% ya kikosi wamebeba EPL 2 ndani ya miaka 4 iliyopita.
but ile frontline yetu Klopp anahitajika kuipiga msasa wa chuma chakavu. ukimuondoa Bobby ambaye hayupo vibaya sana, Mane & Mo are playing like a bunch of strangers to each another.
bring on the Naples on Wednesday!!
Ngoja jumapili mnapiga City afu zeru zeru karudi kazi mnayo kweli kweli
Ilikuwa ivi....!!What does that signify?
Last Season:
Liverpool 4 - 3 Man City
Liverpool 3 - 0 Man City
Man City 1 - 2 Liverpool
Mechi Zote Hizo huyo the so called Zeruzeru Alikuwemo!
Jifunze Mpira ndugu.
Aione MKALI WA MAMBOWhat does that signify?
Last Season:
Liverpool 4 - 3 Man City
Liverpool 3 - 0 Man City
Man City 1 - 2 Liverpool
Mechi Zote Hizo huyo the so called Zeruzeru Alikuwemo!
Jifunze Mpira ndugu.
Man City 5 vs 0 Liverpool (Sadio Mane red carded)Ilikuwa ivi....!!
Man city 5 vs 0 Liverpool
Liverpool 4 vs 3 Man city
Liverpool 3 vs 0 Man city
Man city 1 vs 2 Liverpool
Tunza kumbukumbu
Sisi tunacheza kesho, nyie mnacheza lini mkuu?Leo ni sare tu hamna namna
....tutabirie na hali ya hewa itakuwaje ?Kesho Liverpool ni sare mnaambulia tu
Ilikuwa ivi....!!
Man city 5 vs 0 Liverpool
Liverpool 4 vs 3 Man city
Liverpool 3 vs 0 Man city
Man city 1 vs 2 Liverpool
Tunza kumbukumbu
View attachment 884317
Mamadou Sakho’s moment of madness gifts Bournemouth late victory
Huyu nae bora aliondoka.
Kesho ni sare tu hamna namna