Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 16,025
- 27,366
Ni kwa sababu siyo mara ya kwanza anaweza kufanya mara tano ya ile waulize Arsenal. So expect anything manMashabiki wa Chelsea ni mazwazwa wanadhani ile pindua pindua ya Hazard ya jana aliyekuwa anawafanyia wale mazuzu Ijumamosi itajirudia tena Never
Tangu 2013 Chelsea imeishinda Liverpool mechi 3 Stanford Bridge, ikatoa draw 3 na ikapoteza kwa Liverpool 2Nothing New Kwasisi Kushinda Pale. Past is like memory. Mbona unajipinga mwenyewe
Nimeweka kumbukumbu hii postYani Kututoa Kwenye Mickey Mouse Cup tu jeuri kiasi Hichi!!! Jumamosi Wakitufunga Upo Umuhimu Wa Mimi Kujipiga Ban Wiki Nzima.
Ila kumfokea mchezaji kwenye public ni afadhali kwenye press conference. Unajua media pote duniani wameelezeaje hilo tukio, vibaya sana. Je unajua kama Shaqiri anapenda hiyo attack ambayo itamshushia hadhi yake kwenye career yake na dhamani yake kama mchezaji? Je unajua negative multiply effect yake kwenye synergy ya team?. Usimsifie Klopp, pamona na uzuri wake, juzi kaboa
Nakujibu kama ifuatavyo.
Yawezekana ni kweli hatukua na mchezaji tishio ila atleast wachezaji wa kikosi cha pili cha Chelsea walionyesha uhai na ubora kuliko wa Liverpool.
Ni kweli ile mechi iliamuliwa na uwezo binafsi wa Hazard lakini hii si sababu pekee ya ushindi wetu. Sababu kuu ya kwanza ya ushindi ni kumiliki mpira, tambua kabla hata ya Hazard kuingia tayari tulikua tunamiliki mpira vizuri na kwa asilimia kubwa ila mistake iliyokuwepo na inatu ccst karibia mechi zote ni safu ya ushambuliaji so don't get twisted you will only focus on Hazard. Game plan inabadilika.
Hata Sarri na Zola sidhani kama watakua hawatumbui kwamba mnaweza kumkamia Hazard. Game ni ngumu, ni kama game ya kisasi. Lakini siku zote unapotaka kulipiza kisasi unashauriwa chimba makaburi mawili kwa sababu huwezi jua unapoenda mpinzani wako amejipangaje.
Cant wait this sato. #bridge
Tangu 2013 Chelsea imeishinda Liverpool mechi 3 Stanford Bridge, ikatoa draw 3 na ikapoteza kwa Liverpool 2
Hii ya nothing new kushinda pale imetoka wapi!
View attachment 879917
Huwa hazard hatumii upande mmoja kuingia kwenye box, lakini pia nguvu itakayotumika kumzuia hazard itatoa nafasi kwa wachezaji wengine kufunga, ndio maana usishangae kuona Alonso anafunga sana japo ni beki.Ni kweli kabla Ya Kuingia Hazard Mulimiliki Mpira lakini ilikuwa Ni Possession isiyo na Madhara Kwetu na Ndiyomana Hata Zile On Target zenu hazikuwa Ni Nafasi za Kuweza Kusema Ni za Clear Goal..
Mkuu Game Plan pekee ya Kucheza na Chelsea haihitaji uwe na PhD ya Ukocha! Ni moja tu Ambayo "Uneed Someone to Control Hazrd" basi.
Najua Ni Vigumu kufanya Hivyo Kwasababu Kumdhibiti Hazard Unahitaji Defensive Midfielder aina Ya Sergio Busquet ili amzuie Kabla Ya Kuingia Ndani ya Box.
Kwahiyo Unapokosa DM Wa calibre hiyo unapaswa Uwe na Centre Back bora Wa Kuweza Kustop zile dribbling zake.
Sasa Back wetu tunayemuamini VVD anacheza upande Wa Kushoto ambako natarajia Kuwa atatokea Willian (Upande Wa Kulia Wa Chelsea).
Kwahiyo upande wetu Wa ambao ndiyo Natural anayotokea Hazard Kutakuwa Na TAA na GOMEZ wakisaidiwa na GINI basi uwezo Wa Kumstopisha kama Walivyomfanyia Neymar wanao.
Sawa tusubiri kesho. Baada ya dakika kukamilika 90Ni kweli kabla Ya Kuingia Hazard Mulimiliki Mpira lakini ilikuwa Ni Possession isiyo na Madhara Kwetu na Ndiyomana Hata Zile On Target zenu hazikuwa Ni Nafasi za Kuweza Kusema Ni za Clear Goal..
Mkuu Game Plan pekee ya Kucheza na Chelsea haihitaji uwe na PhD ya Ukocha! Ni moja tu Ambayo "Uneed Someone to Control Hazrd" basi.
Najua Ni Vigumu kufanya Hivyo Kwasababu Kumdhibiti Hazard Unahitaji Defensive Midfielder aina Ya Sergio Busquet ili amzuie Kabla Ya Kuingia Ndani ya Box.
Kwahiyo Unapokosa DM Wa calibre hiyo unapaswa Uwe na Centre Back bora Wa Kuweza Kustop zile dribbling zake.
Sasa Back wetu tunayemuamini VVD anacheza upande Wa Kushoto ambako natarajia Kuwa atatokea Willian (Upande Wa Kulia Wa Chelsea).
Kwahiyo upande wetu Wa ambao ndiyo Natural anayotokea Hazard Kutakuwa Na TAA na GOMEZ wakisaidiwa na GINI basi uwezo Wa Kumstopisha kama Walivyomfanyia Neymar wanao.
Muda huo mnaangaika na hazard...kina wily, Alonso, Barkley watakuwa wamesimama na relax.Ni kweli kabla Ya Kuingia Hazard Mulimiliki Mpira lakini ilikuwa Ni Possession isiyo na Madhara Kwetu na Ndiyomana Hata Zile On Target zenu hazikuwa Ni Nafasi za Kuweza Kusema Ni za Clear Goal..
Mkuu Game Plan pekee ya Kucheza na Chelsea haihitaji uwe na PhD ya Ukocha! Ni moja tu Ambayo "Uneed Someone to Control Hazrd" basi.
Najua Ni Vigumu kufanya Hivyo Kwasababu Kumdhibiti Hazard Unahitaji Defensive Midfielder aina Ya Sergio Busquet ili amzuie Kabla Ya Kuingia Ndani ya Box.
Kwahiyo Unapokosa DM Wa calibre hiyo unapaswa Uwe na Centre Back bora Wa Kuweza Kustop zile dribbling zake.
Sasa Back wetu tunayemuamini VVD anacheza upande Wa Kushoto ambako natarajia Kuwa atatokea Willian (Upande Wa Kulia Wa Chelsea).
Kwahiyo upande wetu Wa ambao ndiyo Natural anayotokea Hazard Kutakuwa Na TAA na GOMEZ wakisaidiwa na GINI basi uwezo Wa Kumstopisha kama Walivyomfanyia Neymar wanao.
Sawa mkuuLIVERPOOL hatupotezi mchezo wa kesho!
Liverpool hii haiwezi fungwa na Chelsea yenye beki wa kati Luiz na Cahil
Never ever!!
Chukueni maneno haya myahifadhi baada ya dakika 90 mnisimange!
Kesho Kovacic atafunga.Muda huo mnaangaika na hazard...kina wily, Alonso, Barkley watakuwa wamesimama na relax.
Njia pekee si kumzuia Hazard hapo mtashindwa. Njia ni nyie kumiliki mpira zaidi yetu basi. Mpira unatoka kwa mabeki unakuja kwa midfield wanakufanyia undava then ndio unakuja kwa wings na foward ambapo kama umeshausoma mchezo vizuri hawa washambuliaji wanamiliki mpira kwa asilimia chache sana ukilinganisha na mabeki na midfield. Sasa useme ukomae na Hazard peke ake unampa mwanya Pedro na kina Giroud kukufanya vibaya.Ni kweli kabla Ya Kuingia Hazard Mulimiliki Mpira lakini ilikuwa Ni Possession isiyo na Madhara Kwetu na Ndiyomana Hata Zile On Target zenu hazikuwa Ni Nafasi za Kuweza Kusema Ni za Clear Goal..
Mkuu Game Plan pekee ya Kucheza na Chelsea haihitaji uwe na PhD ya Ukocha! Ni moja tu Ambayo "Uneed Someone to Control Hazrd" basi.
Najua Ni Vigumu kufanya Hivyo Kwasababu Kumdhibiti Hazard Unahitaji Defensive Midfielder aina Ya Sergio Busquet ili amzuie Kabla Ya Kuingia Ndani ya Box.
Kwahiyo Unapokosa DM Wa calibre hiyo unapaswa Uwe na Centre Back bora Wa Kuweza Kustop zile dribbling zake.
Sasa Back wetu tunayemuamini VVD anacheza upande Wa Kushoto ambako natarajia Kuwa atatokea Willian (Upande Wa Kulia Wa Chelsea).
Kwahiyo upande wetu Wa ambao ndiyo Natural anayotokea Hazard Kutakuwa Na TAA na GOMEZ wakisaidiwa na GINI basi uwezo Wa Kumstopisha kama Walivyomfanyia Neymar wanao.
Westham mbona hakumiliki na alimzuia HazardNjia pekee si kumzuia Hazard hapo mtashindwa. Njia ni nyie kumiliki mpira zaidi yetu basi. Mpira unatoka kwa mabeki unakuja kwa midfield wanakufanyia undava then ndio unakuja kwa wings na foward ambapo kama umeshausoma mchezo vizuri hawa washambuliaji wanamiliki mpira kwa asilimia chache sana ukilinganisha na mabeki na midfield. Sasa useme ukomae na Hazard peke ake unampa mwanya Pedro na kina Giroud kukufanya vibaya.
Miliki mpira zaidi yangu. Au ufanye counterattacks za kutosha hapo unaweza kunidhibiti.
>uwanja wa ugeniniWestham mbona hakumiliki na alimzuia Hazard
[emoji16][emoji16]Sawa mkuu>uwanja wa ugenini
>uchovu wa mechi ulotokana na kucheza Europa (timu nzima)
>halafu siku ile hawakumzuia ila Hazard mwenyewe alicheza chini ya kiwango
Nyongeza;>uwanja wa ugenini
>uchovu wa mechi ulotokana na kucheza Europa (timu nzima)
>halafu siku ile hawakumzuia ila Hazard mwenyewe alicheza chini ya kiwango
Mkuu umejibiwa hapa. [emoji116][emoji16][emoji16]Sawa mkuu
Kwahiyo njia ya kumdhibiti chelsea ni kusubir ugenini, acheze europa achoke na Hazard awe chini ya kiwango
Nyongeza;
Kama lengo lao ni kupata draw basi waige style ya Westham.