Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Naomba matokeo mkuuWillian katoka kaingia Haza
Willian katoka, wameingia Kante na Hazard ila nao wanaruka tu.
Jifariji......tu. zile Tambo zenu tumezizoea Mara kombe gani hili....cc. malafyale na king Gwaba.Uzuri ni kuwa wakishinda leo wajue tunaenda kuwapiga kwao kwenye ligi, hatuwezi kubali eti watupige nyumbani halafu next match in row ni nyumbani kwao halafu tusiwapige
Kikosi kina cahil, fabrigas, Caballero unategemea Nini?Kikosi kina Moreno .Mignolet unategemea nini hapo
Pole mkuu. Ila uache majigambo wewe pamoja na rafiki yako malafyale. Mpira huwa ni dakika tisini 90.• Tumeshafungwa No excuse.
• Leo imejionesha Wazi bila ya VVD na Gomez Kwenye Defence, We are nothing.
• Na Kibaya Zaidi Si Kufungwa tu!! Bali alichotufanya Hazard katunyanyasa.
• Na Ninavyowajua Washabiki Wa Chelsea basi Wacha Nilale Mapema.
"King Gwaba voice"Carabao is a mickey mouse cup anyway
Timu ina Cahil, fabrigas na Caballero???I will not count this defeat
Team inakuwa na Mignolet na Moreno?
Msiwe na wasi wasi,Jumamosi hawawezi tufunga hawa
By half time mlikuwa na on target 3 na sisi 4.Mkuu Liverpool haichezi tena Mpira Wa Kutafuta Possession Bali sasahivi inacheza Attacking football tu...
Labda ungeuliza On Target Ni ngapi basi ingemake sense.
Maumivu ya kufungwa ni balaaa. Bora ulalele Kama king GwabaI will not count this defeat
Team inakuwa na Mignolet na Moreno?
Msiwe na wasi wasi,Jumamosi hawawezi tufunga hawa
Tutakuajiri uwe badala ya VARVipi, walizungumzia kuwa Fabregas alicheza rede golini kwake na haikuwekwa penalt?
Au hapo walipepesa macho?
Pole mkuu. Ila uache majigambo wewe pamoja na rafiki yako malafyale. Mpira huwa ni dakika tisini 90.
NothingNauliza tu, na kuuliza sio ujinga eti! Toka uzi huu wa Liverpool umeanzishwa jamii forum 2009 Liverpool imeshinda kikombe gani?
Kupata vichekesho kama hivi tunatuma kwenda namba ngapi???!Sturidge
Liver 1-0 watoto
Nyie mkiwa mnafanya nini?Willian katoka kaingia Haza
Willian katoka, wameingia Kante na Hazard ila nao wanaruka tu.
Sawa kwanini tusubiri kesho wakati tunaongea Leo?Ni wachezaji watatu tu walio anza leo ndiyo wataanza Jmos ambao ni Mane,Milner na Keita! Mashambulizi yanaongozwa na Dan?Liverpool gani hiyo?’liverpool yenye jina Loverpool utakutana nayo Jumamosi
Nakufunga easy kabisa!