Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwanza ni draw sio drow
Af ukitoa draw tatizo ni kwamba unakosa point 3 unapata 1
Kwani kunakuwa na tatizo gani endapo nimepata iyo point 1 mkuu? au wewe una uhakika wa kupata izo point 3 kila mechi?
 
Kwani kunakuwa na tatizo gani endapo nimepata iyo point 1 mkuu? au wewe una uhakika wa kupata izo point 3 kila mechi?
Acha kulia sasa
Mbona unauliza kama unataka kulia

We tulia maana ukipanick zaid juma tano unakutana nacho tena ukipanick tunaongeza dozi trh 29

[emoji28] [emoji28]
 
Acha kulia sasa
Mbona unauliza kama unataka kulia

We tulia maana ukipanick zaid juma tano unakutana nacho tena ukipanick tunaongeza dozi trh 29

[emoji28] [emoji28]
Saw a mkuu jumatano sio mbali.

Jumamosi pia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…