Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Thanks a lot for educating me on that. Klopp yupo kwenye project na kama sikosei ataondoka after 7 years. Baada ya hapo anatabiriwa SG kumrithi
 
Hapo kwa Rashford hapana Man utd hawana striker wa kutisha

Dogo mnamuunderrate, unataka kuniambia nani amefit position ya namba tisa kama dogo? Dogo kuna muda alipoteza confidence sababu hakupewa gametime uwezo hautaonekana ingawa anao mkubwa,,,,,,,,,,,,,,,,, Tuwe wakweli bana hivi ni kwa tisa zetu hizi ambazo haziwezi hata kukimbia (Firmino&Sturridge) ?????????????????
 


Kwa mechi ya juzi sawa , ila kwa speed basi hamna mchezaji mwenye speed kama Mane pale Liverpool. Bellerin anamjua Mane ni nani akiwa kwenye sprint, kwa EPL namjua mchezaji mmoja tu anaemzidi kasi Mane (Antonio Valencia)
 
Nimemcheki yule dogo Cornet wa Lyon juzi na nimependa sana uchezaji wake.
 
Naona ss umeamua kupandisha jazba za watu.umeona kumfananisha na aguero haitoshi ss unakuja kufananisha hio takataka na BOBBY FIRMINO?kazi anayofanya firmino uwanjani hta kma asifunge hta goli moja msimu mzima still anapata nafasi kwenye team.ss hicho kiumbe kinatia kamba 20+ na ana press kma jini af umfananishe na rashidi?[emoji35] [emoji35]
 

Rushford kakosa matunzo, ila angepata bahati ya kuwa chini ya watu kama Wenger ingekuwa habari nyingine.
 


Kijana tukienda kimgawanyo wa role na position mimi nakuwa kocha siwezi kumpa Firmino role ya namba tisa, watu wengi huwa wanaliongelea humu mara nyingi kuwa Bobby amelazimishwa kuchezeshwa namba tisa kwa asili yake yeye ni namba kumi(Classic no10) . Wewe kama ni mshabiki wa mpira najua utakuwa unajua namba Tisa anakuwa na Qualities zipi
 
Hahaaaaaaa jamaa ni kiongozi sana,mbio zake mipira yake anavyopiga asa upande wa kulia unatua kwa usahihi kwa mhusika,anaruka mipira ya juu,( tulikuwa na tatizo kwenye setpieces) kona ilo limeanza kuondoka
 
warabu wana Mioyo ya ajabu ndo hujilipuaπŸ˜€
 


Kitu cha kawaida hicho Mkuu, Tanzania hii ukimuuliza mtu yeyote unashabikia timu gani Belgium atakwambia Genk, By the way why Genk?

Kuhusu issue ya Mane wadau tusikwepeshe ukweli , Mtu mweusi mwenzetu na muaAfrika mwenzetu Sadio nimemuona mara nyingi tu akiwa anamyima Mo Salah key passes, na hii nimemshuhudia toka msimu uliopita. Tuassess ni key passes ngapi ambazo Mo Salah anazipeleka kwa Sadio and then the same kwa huyo Mane!

From our front three I believe Sadio akiamua kutoa assists hamna ataemfikia and perhaps EPL! Jamaa anao uwezo mkubwa kwa kutoboa ukuta wa beki akapiga side passes za kutap-in na wakamalizia Salah Na Bobby and anyone around!

Kwenye ile chance aliyompasia Keita akamiss ukicheki ni kuwa mara ya kwanza wakati anagaze ampasie nani wa kwanza alimuona Salah ila kijana akampa MuAfrika magharibi mwenzie
 

Samahani Mkuu MASAMILA ! wewe Ni Kop Mwenzetu.
Uko Huru Kwa 100% kutoa Maoni Yako Bila Ya Kupangiwa na Mtu cha Kuzungumza.
Na vile Vile Sote humu tunahaki Ya Kuheshimu maoni Yako..
Kwahiyo Hata sisi Usione Hatokosoi lakini Huwa Tunaziona Post Nyinyi tu Humu ambazo Kwa Mawazo Yetu tunaziona Haziko sawa Bali tunanyamaza Kwani tunahesabu Kama Ni Haki Yake Mtoa Post Kuwa Mawazo Yake Yahishimiwe.

Kwahiyo Hapo Juu Nilikuomba wewe na Wenzako Musitishe hule Mjadala Wa Rashford.

Na Jengine Ni Kwamba Baadhi Ya Post Ambazo Hazina Athari Sana Jaribu Kuzikaushia tu Kama Tunavyofanya sisi ili Kuokoa Mabishano Yasiyo ya Lazima.

Kwani Sasahivi Kwenye Timu yetu Tupo Katika Kipindi Cha Furaha na si cha kusutana sisi Kwa sisi.

#YNWA mkuu.
 

Wengi wenu hamjui mpira mnaongeaongea tu
Acheni ukuda
 

Uzi uliomquote jamaa ni issue ya Sadio Mane vs Salah.

Mkuu tukikaa kimya bila hizi arguments maana yake thread ifungwe?

Mimi napo-criticize point ya mtu au kutoa opinions zangu sidhani kama ni fair kusema mtu asinipinge, otherwise natakiwa kukaa na point hiyo moyoni. Kitu muhimu ni supporting facts na evidences, kwenye malumbano tunapata kujifunza.

Ustaarabu pia kwenye kupinga hoja husika ni muhimu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…