Hahaha nimefurah sana yaan huu ulimwengu kwa sasa hamna 3front inayoogopwa kama ya liverpool mkuuThomas Tuchel: “You can never feel comfortable against Jurgen’s teams. You can never feel comfortable at Anfield. This atmosphere can bring the best from us.”
"You can never think for one minute you have it under control at Anfield. In ten seconds they can be in front of your goal.
There is no moment of calmness and quietness here. You can never rest.
“I think they (the players) know that. If not I will tell them."
Pep Guardiola kapata dozi kwake hapo hapo...
UCL ni mnyama mwingine.
Huyu jamaa alipokuwa Bayern alipewa kila kitu na yakamkuta.
Kakimbilia EPL nako naona yanamkuta. Matajiri wa Etihad priority yao ni UCL.
Hii inanifanya nianze kuamini maneno ya pundit mmoja aliyesema kuwa Pep aliikuta Barca imeshapikwa na Frank Rijkaard
Hao ni critics wa Guardiola, before niliwahi kuwaza the same same, ila alichofanya EPL last year, ni bad news.
Nadhani majeruhi ya De Bruyne yatakuwa yana waathiri, ila Man City ni timu Nina uhakika itafika mbali UEFA this time. Labda wakutane na sisi Robo kama mwaka jana.
Hao ni critics wa Guardiola, before niliwahi kuwaza the same same, ila alichofanya EPL last year, ni bad news.
Nadhani majeruhi ya De Bruyne yatakuwa yana waathiri, ila Man City ni timu Nina uhakika itafika mbali UEFA this time. Labda wakutane na sisi Robo kama mwaka jana.
Hao ni critics wa Guardiola, before niliwahi kuwaza the same same, ila alichofanya EPL last year, ni bad news.
Nadhani majeruhi ya De Bruyne yatakuwa yana waathiri, ila Man City ni timu Nina uhakika itafika mbali UEFA this time. Labda wakutane na sisi Robo kama mwaka jana.
Mkuu unaweza Kufanya injury ya De Bruyne Ni Excuse lakini Ukweli Ni Kwamba Pep alikuwa na Bayern ikiwa Ni Complete Kwa Kila Kitu but still alifail CL.
Sasa na Kwa City hii asitegemee Kubeba CL labda arudi Barca Abebwe na Jitihada Binafsi za Messi.
Toka ameondoka Barca wamechukua CL moja tu kama sijakosea, naamini kama angeendelea kubaki angeweza kuwa amechukua zaidi (that is if).
Bayern Munic aliyoipokea kaiacha iko na class ile ile, na bado hawafurukuti CL, wameishia alipoishia. So mimi sidhani kama tatizo ni Guardiola, bali ni ugumu wa CL. Natamani sana jamaa spate CL akiwa City.
Shida kubwa ya City ni maturity ya players, grinding, ukiacha mtu kama Company, Yaya alikuwa ni mtu muhimu, hawa wengine magumu yakiwafika wanapotea.
Hata Hivyo Kuumia Kwa De Bruyne Kwa Man City Basi Sio serious Case Kwani Ana Depth la Kutosha Coz Mahrez na Guandogan Hawa Ni Squad Players ambao Wanaweza Kucover Vizuri tu Pengo lake.
Timu Kama Liverpool ndiyo Kuumia Kwa Mchezaji Mmoja yoyote Yule (lets say Mane) Ni Serious Case Kwasababu Hatuna Depth Kama Ya Man City ya Kucover Hiyo Nafasi.
Ugumu gani wa CL?
Dah! Washabiki Wa Liverpool Kumbe Wanahasira Kweli!!!!
Kilichomkuta Mane Baada ya Kupost Instagram ilimbidi Haraka aifute Post Yake.
View attachment 868353View attachment 868354
Toka ameondoka Barca wamechukua CL moja tu kama sijakosea, naamini kama angeendelea kubaki angeweza kuwa amechukua zaidi (that is if).
Bayern Munic aliyoipokea kaiacha iko na class ile ile, na bado hawafurukuti CL, wameishia alipoishia. So mimi sidhani kama tatizo ni Guardiola, bali ni ugumu wa CL. Natamani sana jamaa spate CL akiwa City.
Shida kubwa ya City ni maturity ya players, grinding, ukiacha mtu kama Company, Yaya alikuwa ni mtu muhimu, hawa wengine magumu yakiwafika wanapotea.
... Yeye Tunaaminishwa Kuwa Ni Kocha Bora Kwahiyo aoneshe Ubora Wake Kwa Kuibadilisha Bayern Yenye World Class Players ishinde CL...
...
Pia Jukumu la Kuibadilisha City ishinde CL Ni yeye Pep.
Lakini ukweli usiopingika Ni Kuwa Pep Hawezi shinda CL akiwa na City.
Natafuta namna nzuri ya kukujibu nakosa kwa sababu unakojoa na kulalia hapohapo. In one of your sentences u've said elites are not featured in Europa league. 3 season back you were struggling to get that cup. Nadhani ile ilikua Liverfool B.History matters a lot, son!
It gives you a pedigree and DNA for winning UCL.
That’s why even Pep Guardiola is currently striving to establish ManCity to become among the elites in Europe and he knows that EPL without UCL is useless to say the least.
No matter how long you keep on yapping your big mouth here, you can’t take away our pride of 5 UCL titles
Remember, even Leicester city won EPL 2 years back!
You have a long way son in order to establish yourself and your small club of Chelsea to become among the elites in Europe
The elites are not featuring in the Europa league, son.
Don’t you worry, son. Someday you gonna get there.
The chaaaaaaaaaaaaaammmmmmmpiooooooooooooooooooooooooooooossss!
YNWA
Kinacho kuuma ni kwamba hako katimu ka 2004 tena tokea huo mwaka kana makombe mengi kuliko hao wakubwa. Narudia tena hiyo rivals una force wewe.Narudia tena:
Liverpool v/s Chelsea
Liverpool v/s Spurs
Liverpool v/s Man City
Liverpool v/s Arsenal
Hizo sio Big Match.. Ni Mechi Za Kawaida tu Kama Liverpool v/s Bolton ...
Na ndiyomana Katika Post Zetu hapa Hususan Mimi Hunikuti Kuiongelea Kila Wakatai Hii Mechi ya Liverpool vs Chelsea Kwasababu Najua sio Mechi Kubwa Bali Ni Mechi ya Kawaida Kwani Chelsea sisi sio Mpinzani Wetu...
Liverpool Haina Rivals Ndani Ya London
Rivals Wetu Pekee Ni Man United tu..
Sasa Ninawashangaa Nyinyi Katika Uzi Wenu Mumeikomalia Liverpool na Mechi Yetu Na Nyinyi Kama Kwamba Ni Bonge la Mechi Wakati Ni Kijigemu cha Kawaida tu..
Sasa Huko Kukomalia na Kupiga Kelele Kwenu Kama si Kutafuta Promo mnatafuta Nini?
Nyinyi Katimu Kenu Kalikuwa Rivals wake Mkubwa Ni Fulham! Kwahiyo Sasahivi Munafanya Kila Juhudi Kutengeneza Rivals Wa Big Match Kama Vile Mnajifanya Muna Upinzani na Liverpool na Man United wakati Sisi hatuna Habari na Nyinyi Katimu cha 2004 Kuwa eti Ni Mpinzani.
Natafuta namna nzuri ya kukujibu nakosa kwa sababu unakojoa na kulalia hapohapo. In one of your sentences u've said elites are not featured in Europa league. 3 season back you were struggling to get that cup. Nadhani ile ilikua Liverfool B.
For gods sake better shut that big mouth and let real men do their thing. [emoji41] [emoji41]
Kinacho kuuma ni kwamba hako katimu ka 2004 tena tokea huo mwaka kana makombe mengi kuliko hao wakubwa. Narudia tena hiyo rivals una force wewe.
Hivi kwanza unaelewa maana ya rivals.? Yawezekana unaandika kitu hujui unamaanisha nn basi tu kwakua umesikia mahali fulani. Nenda google kajifunze. Spread you wings and fly.
For what boy.?The chaaaaaammmmmpppiiiiiiiooooooooonnnsss
Pep Guardiola kapata dozi kwake hapo hapo...