Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Kwa wale wasio jua mpira wanasema liver pool atachukkua ubingwa wa ligi luu uingereza.
Je kuna ukweli wowote juu ya hili?
Jibu unalo Kichwani mwako! Endelea Kuamini Unachokiamini.
Kwa wale wasio jua mpira wanasema liver pool atachukkua ubingwa wa ligi luu uingereza.
Je kuna ukweli wowote juu ya hili?
Wewe unajua mpira?Kwa wale wasio jua mpira wanasema liver pool atachukkua ubingwa wa ligi luu uingereza.
Je kuna ukweli wowote juu ya hili?
Tumekuwa na usajili mzuri sana
Fekir hakuja sababu ali fail medical nafasi yake akaja Shaqiri
Ings kaenda Soton
Nimefurahi Nathan Philips na Jones Curtis na Camacho kubaki
Pia nimefurahi Dan kufufuka lkn ama Origi au Solanke lzm mmoja aondoke na napendeza Solanke auzwe
Tujiandae kula,tupo vyema msimu huu
Sasa golini hatuna wasi wasi kabisa,tuna kipa wa ukweli!Kumkosa Fekir Pia Kuna Faida Kwa Liverpool!
Pesa iliyokuwa Anunuliwe Fekir Ndiyo iliyonunuliwa Alisson. Nadhani Tungelimnunua Fekir basi Tusingelinunua Kipa Na Tungebaki Na Karius wetu.
Lakini Kumkosa Fekir tukapata Kipa basi Ni biashara Nzuri zaidi.
Kuna hati hati Fabihno kesho kutwa asicheze,sijui itakuaje sasa na Hendo ndiyo katoka likizo,pia beki itakuaje kama Gomez,Klanavar na Matip watakuwa hawapo OK?Atacheza Phillips?
Kuna hati hati Fabihno kesho kutwa asicheze,sijui itakuaje sasa na Hendo ndiyo katoka likizo,pia beki itakuaje kama Gomez,Klanavar na Matip watakuwa hawapo OK?Atacheza Phillips?
Leo Manure Anatifungulia Pazia rasmi EPL nasubiri Mourinho baada Ya Mechi atasemaje manake Siku hizi anasilaha zake mbili za Malalamiko.
1) Kwanza Ni Kuilaumu Bodi Kuwa Haikumpa pesa za Usajili.
2) Pili Ni Kumlalamikia Klopp Kuwa Katumia pesa nyingi za Usajili! Utazani Wale Kina Pogba, Matic, Fred, Lindelof, Lukaku, Eric Bailly, Henrikh Mkhitaryan, Diogo Dalot, Lee Grant kahongwa tu Hakuwanunua.




Sababu 3 frontmen bado wapo hata nyuma pale na VVD acheze Milner bado hamna wasi wasiNi Kweli Upo Uwezekano Mkubwa Kuwa Fabinho Hatocheza Kutokana Na injury ingawa sio Kubwa.
Nahisi Mid yetu Watacheza Gini-Milner-Keita... Au Kocha itamfanya Afanye Maamuzi Magumu Amcheze Hendo, Hata Mimi Ningependa Afanye Kibongobongo Amcheze Hendo hivyohivyo! Yani iwe Hendo-Gini-Keita. Lakini Kwa Mechi ya Jumapili vs West Ham sio Ngumu Kivile kwahiyo Hata achezeshwe Grujic nahisi Kwangu Ni sawa tu Na tutashinda.
Kuhusi Beki Ni Kuwa Matip, Klavan Na Gomez Ni kwamba Hawa Wamepata injury ingawa sio Kubwa lakini Kwa Jumapili Klavan Na Matip hawatokuwepo Kabisa, isipokuwa Gomez yeye bado Kuna utata kuhusu hali Yake kama atakuepo au Hatokuepo.
Kwahiyo Klopp itambidi Afanye Maamuzi Magumu Amchezeshe Lovren Na VVD! Au VVD itabidi Amcheze Na N. Phillips.
Lakini Kuwa Mimi Klopp Ningemuanzisha VVD Na N. Phillips... Tukiwa tunaongoza mpaka Dakika ya 70 basi Nitamuingiza Lovren Kuja Kulinda.
Sasa Ni Wakati Wa Klopp Kuwaondosha Matip Na Klavan Kwani Tunawalipa Mishahara Huku Tukiwa Tunawauguza Vitandani Kila Msimu badala ya Kuwatumia Uwanjani. Yani Matip Yeye Hata Kwenye Mazoezi basi anaumia.
ila hapo mkuu.. huyo Achterbeg anazingua sana√ John Achterberg
√ Mike Gordon
√ Michael Edwards
√ Jürgen Klopp
At Near Future Hawa Ndiyo Watakaotupeleka Katika New Era ya Liverpool! Just we need One or Two Windows tu Kuweza Kufikia Malengo.
Naziona Zama Za Furaha Zinakuja.
ila hapo mkuu.. huyo Achterbeg anazingua sana
Totally true..jamaa kila kipa anaepitia kwenye mikono yake anakuwa mbovu ila huko walikotoka walikuwa wazuri tu mpaka tukawanunua.
No wonders Brad Jones alikuwa na career nzuri baada ya kuondoka Liverpool