Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

usajil wa huyu jamaa unaweza kuwa mzuri hasa akicheza pamoja na lovren ngoja tuone kama hili dili litakamilika
 
Jose Mourinho Sijui Anavuta Bangi ya Wapi!! Anaisemea Liverpool Kuwa Kwa Pesa ilizotumia Kwa Usajili Watalazimika Washinde [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG].... Hivi Kasahau Kupiga Hesabu Kwa Pesa Alizotumia Yeye Pale Man United???!!!

Au anahisi Wale Kina Pogba, Lukaku, Fred, Matic, Lindelof, Sanchez wote hao Kahongwa hakuwanunua?

Kwanza alikuwa ajiangalie yeye Kuwa Pesa alizotumia Ni Lazima abebe [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG]...
 
Liverpool wamekubali mkataba wa miaka miwili
na beki wa Croatia Domagoj Vida, 29, lakini
atalazimika kununuliwa kwa bei ya Besikitas ya
£22m . (A Spor - in Turkish)


Hakuna Kitu Kama Hichi, Klopp Bado Hajashawishika na Uwezo Wa Vida... Na Vilevile Klopp Hajaipa Priority kutafuta CB bali Kipaumbele Chake Ni Kwa Attackiy Midfielder baada ya Kumkosa Fekir...

Na Kwa Window Hii nadhani Hatosajili tena Mpaka January au Next summer.



 
*UEFA Champions League 2018-2019 Pots*


*ᴄʜᴀᴍᴘɪᴏɴs ʟᴇᴀɢᴜᴇ*


*POT 1⃣*

Atletico Madrid
Barcelona
PSG
Lokomotiv Moscow
Bayern Munich
Juventus
Manchester City
Real Madrid

*POT 2⃣*

Tottenham
FC Porto
Shakhtar Donetsk
SSC Napoli
Dortmund
Man United
Benfica
FC Basel

*POT 3⃣*

Liverpool
Monaco
Schalke 04
Ajax
Roma
RB Salzburg
Lyon
CSKA Moscow

*POT 4⃣*

Valencia
Viktoria Plzen
Club Brugge
Inter Milan
PSV Eindhoven
Celtic
Galatasaray
Hoffenheim
 
Katika Hii Preseason Ni Madogo Wawili tu Mpaka sasa Ndiyo niliwaona Tayari Wanaweza Kubaki Katika Senior Team na Kuweza Kuwa Back up players wetu.
Ni Curtis Jones na Camacho.... Waliobakia Wanaweza itabidi Watokewe Kwa Mkopo wakajifunze Zaidi.
Upo sawa kabisa huyo jones ni kipaji kitam sana kama kitapewa walau dakika 20 Camacho katengeneza goli la kwanza yupo vizuri sanaa najiuliza hii nafasi beki 2 itakuaje msimu huu mimi nimependa Camacho anashambulia vizur zaidi ya waliopo. nakushauli mchunguze na yule beki tano jezi nmba 47 philips kama sijakosea kwa hizi meche 2 nilizo ona angefaa sana kuwepo mana kiakili kamzidi Lovlen.nataman glujic na urig wasitolewe ili washiliki makombe madogo.

Yani leo ya 2 ndo ilicheza vyema zaidi nimefarijika kwakweli
 
usajil wa huyu jamaa unaweza kuwa mzuri hasa akicheza pamoja na lovren ngoja tuone kama hili dili litakamilika
Yani kule kijisahau kwa lovlen umekusahau kabsaa anapotea sana kwenye kula na adui hafai Vida acheze na vvd
 
Yani kule kijisahau kwa lovlen umekusahau kabsaa anapotea sana kwenye kula na adui hafai Vida acheze na vvd
Lovren anafanya makosa mengi sana ya kijinga..Liver inahitaji top defender wa sampuli ya Kollibaly wa Napoli...Acheze na VVD nina uhakika kwa magoli mnayofunga mnaweza mkapigania ubingwa.

Zaidi ya VVD Hamna beki wa kueleweka.Kuna mechi inabidi ushinde 1-0 ili uweze kuwa bingwa.
 
Anajaribu kujinasua kiana ha haaa ili ikitokea tumelibeba aseme tulistahili.

Hii ni khofu inamsumbua mana kwa tea tuliokua nayo na matokeo tuliopata anajiuliza patatosha kweli msimu huu.

Natamani mnoo Fekir

Hii team kwa ufundi wa klop labda kama kuna laana inatuandama tutakosa kombe

Fainal 3 mpaka sasa nafasi za juu kwenye leage
 
UNAMAANISHA FIKIR HATUMPATI TENA?
 
Sana hata kwenye haya mashindano amepishana na mipira zaidi ya sita kwa vile haikua magoli watu hawashtuki ila makosa yalikwepo analukia mpila asioufikia kukiwa adui mnakwisha kama ile mech ya man u
 
True kabisa bredren!!

But i really don't see us signing any new player again.... Ila naomba deal la Fekir lifanikiwe tu.. the guy is creative!
 
Liverpool keshokutwa asubuhi inatazamiwa kukipiga na Manchester United katika Jiji la Michigan na tayari Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho ameanza kuipa presha timu hiyo kwa kudai inastahili kuchukua ubingwa.

Kwa jumla Liverpool imetumia kiasi cha Pauni 250 milioni tangu Januari baada ya kumnunua mlinzi mahiri wa kimataifa wa Uholanzi, Virgil van Dijik dirisha la Januari kwa dau la Pauni 75 milioni akitokea Southampton na kuvunja rekodi ya dunia ya uhamisho kwa upande wa walinzi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…