Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Acha ubishi mshikaji kakueleza ukweli,msikalie kujificha kwenye kivuli cha kuumia Salah na goli kipa wenu.Liverpool sio timu ya kuifunga Madrid kwa vyovyote vile na pale mmefika kibahati tu.
sasa wewe uliona madrid walikua na mpira gani pale?yaani timu kubwa inaingia uwanjani na option ya kuhakikisha wanamuumiza key player ndio ishinde?hata watford hawanaga hizo mbinu za kijinga.mapaka mlikua wengi sana,timu zenu zilishatolewa siku mingi nyie mnabaki kushadadia
 
Punguza jasba,mechi ilishaisha hata kabla ya 26052018
 

Thumb up! What a good analysis from a real football fan.....
 
Acha ubishi mshikaji kakueleza ukweli,msikalie kujificha kwenye kivuli cha kuumia Salah na goli kipa wenu.Liverpool sio timu ya kuifunga Madrid kwa vyovyote vile na pale mmefika kibahati tu.


Mpaka Hapo Nimejiridhisha Kuwa Wewe Ni Mshabiki Maandazi.

Kwanini Hawa (ROMA, BARCA, CHELSEA, MAN CITY, MAN UNITED, SPURS, JUVE, PSG, BAYERN) wasiitumie Bahati Wakafika Tulipofika?

Niwazi Kuwa Mimi Ni ANTONY JOSHUA ninabishana Na MADA MAUGO.
 
Acha ubishi mshikaji kakueleza ukweli,msikalie kujificha kwenye kivuli cha kuumia Salah na goli kipa wenu.Liverpool sio timu ya kuifunga Madrid kwa vyovyote vile na pale mmefika kibahati tu.


Kwanza Onesha Discipline basi Japo Kidogo! Mimi Mawazo Yangu Yanajitegemea, Huwezi Chukua Mawazo Ya Wengine Ukayafanya Yananihusu!

Wako Wanaofanya Kuumia Kwa Salah Ndiyo Excuse Ya Kupoteza Mchezo! Lakini Mimi Sijawahi Kuongelea Kitu Hicho jaribu Kupitia Comments Zangu.

Halafu Nilishaacha Kuongelea Mechi Ya Fainali so, usijaribu Kuniprovoke Kuwa Lazima niijadili Kwani Hatuwezi Ku-Undo Kilichokwisha Kumaliza.
 
hao madrid hawana mpira wowote,wanaojua mpira wanajua hilo nyie wajinga wajinga msiojua lolote ndio mnabaki kupiga makelele,huyo ronaldo wenu alifichwa na mtoto mdogo sana Anorld,alikua anaruka ruka tu.


Hahaha, hii inaitwa bishana mpaka ufe.
 
hao madrid hawana mpira wowote,wanaojua mpira wanajua hilo nyie wajinga wajinga msiojua lolote ndio mnabaki kupiga makelele,huyo ronaldo wenu alifichwa na mtoto mdogo sana Anorld,alikua anaruka ruka tu.
Povuuuuuu ila TAA bado sana kuweza kumficha CR7 kilichotokea wale jamaa waliweka nguvu nyingi kumlinda CR7 kwa kumfata wengiwengi matokeo yake wengine ndo wanamaliza mchezo hahahahaha. Poleni [HASHTAG]#LOSERFOOLish[/HASHTAG]
 
Goli la Benzema linafungwa na washambuliaji wanaoijua kazi yao tu. Mwenyewe kasema, he knew what Karius was going to do. Ni akili ya kimpira imetumika pale, wakati beki zilikuwa busy kumkaba CR7.
 
feeling so sad!!!!


always we together



[HASHTAG]#WeAreLiverpool[/HASHTAG]
 
Kipa kafanya makosa kwasababu presha ya game ilikuwa kubwa. Without to underestimate players like Mane and Fermino, Real Madrid were better side than Liverpool, I don't understand why they couldn't score more goals !
Si kweli
Wkt Salah yupo ndani Liverpool walikuwa wazuri zaidi
Hata bila Salah tulistahili tuongoze kabla ya huyu mwehu kumpa bao Benzema
 
At least Kwanza Tuanze Na Fekir Na Alison ili tusijerudi alikotuacha Benitez.
Makipa wawili wapya LZM wala sio ombi tena!
Karius hawezi rudi hata kucheza team yyt Uingereza,watamuua aisee!
Hata yy anajua kuchezea Liverpool is OVER
 
Klopp aliwatayarisha vijana wake kwa final hii vizuri sana
lkn Karius kam let sana down
CD Lovren na VVD walikuwa bora mno uwanjani
Pembeni ndiyo balaa zaidi hadi CR7 akawa ana mbwela mbwela tu
Klopp nimemkubali sana
 
Klopp aliwatayarisha vijana wake kwa final hii vizuri sana
lkn Karius kam let sana down
CD Lovren na VVD walikuwa bora mno uwanjani
Pembeni ndiyo balaa zaidi hadi CR7 akawa ana mbwela mbwela tu
Klopp nimemkubali sana
Jifariji tu but huna timu ya kumfunga madrid hasa katka finali
 
Si kweli
Wkt Salah yupo ndani Liverpool walikuwa wazuri zaidi
Hata bila Salah tulistahili tuongoze kabla ya huyu mwehu kumpa bao Benzema


Wewe Malafyale hujui mpira. Benzema ni genius, lile bao hakupewa. Mpira ulikuwa half way kipa akautokea akauwahi, alijua hawezi kurudi nao kwenye box, lazima aanze na beki. Pale ni akili imetumika. Mtakaa kulialia mpaka lini?
 
Hata hatujapigwa thana...........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…