Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Hii Game Ni Ngumu
yeah......he was just being sarcastic to the media people.Ilikuwa joke ya kloop kwa waandishi
Wakuu Mimi clyne simuamini sana ila Naona Moreno(TAA) Is best than Moreno so ingependeza Kama Moreno angerudishwa kwenye kikosi
hallow hii game sikujua hata mda wake na nilikuwa na hamu ya kuangalia online, yan imeniuma kishenzi....!!!!Ahsante Liverpool kwa zawadi ya pasaka.
Ahsante Sadio Mane na Mo Salah
3 Points tunarudi nafasi ya pili japo tuna game mbili zaidi. Tegemea ulichonacho usitegemee utakachopata......
Asante na ww hongera kwa ubingwa unaogombaniaPOLENI NAONA MLIIONJA NAFASI YA PILI KWA NUSU SAA. LUKAKU NA SANCHEZ WAMESHAWARUDISHA NAFASI YENU 'YA ASILI' YA TATU![]()
POLENI NAONA MLIIONJA NAFASI YA PILI KWA NUSU SAA. LUKAKU NA SANCHEZ WAMESHAWARUDISHA NAFASI YENU 'YA ASILI' YA TATU![]()
Hukusikia alivyosema its a joke???Mkuu Jana Nilivizia Kwa Makini Press Conference Ya Klopp na Nikafanikia Kukutana Nayo Live! Nimemshuhudia Klopp Akisema Kuwa Can Hajataka £200K Bali ametaka £250K Lakini Bado Hapajaamuliwa Kitu na Mazungumzo Yanaendele (Klopp Said: "It was £250K! Nothing is decided. We are in talks so far.")
Kwahiyo Emre Can Kudai £250K kaluthibitisha Mwenyewe Klopp Hapo Jana kuwa Ni Kweli Lakini Pia Amethibitisha Kuwa Mazungumzo Bado Yanaendelea.