Tetesi mastaa wote ndio zinaanzaga ivyo. Wqmchukue Salah tubaki na Hazard bhanaSalah to reject Real deal to stay with Reds
A big transfer (or non transfer) story to start with.
John Richardson writes in the Mirror that Mohamed Salah will stay at Liverpool - even if Real Madrid come calling.
Si Real Wanaomtaka Au Kumtangazia Dau Salah! Bali Media Ndiyo Zinazompiga Mnada Salah Kuwashawishi Real Wamnunue Kama Media Hizo Zilivyofanikiwa Kuwashawishi Barcelona Wakamnunua Coutinho.
Tokea Mwanzo Wa Msimu Media Hizi Zimekuwa Zikimuhusisha Salah na Kwenda Real Madrid Kama Njia Moja Ya Kumu-Upset Salah na Kuwafanya Real Waingie na Ushawishi Wa Kumnunua Salah.
Bado Real Hawajasema wala Kutangaza dau Lolote Kuhusu Salah ingawa Media hizohizo zimeshamtangaza thamani Yake Salah Kuwa Ni £200m Jambo Ambalo Ni Gumu Kwa Timu Kama Real ambayo pia inamtaka Harry Kane (£200m), Eden Harzad (£120m), Neymar Jr. (£200m), David De Gea (£100m).

Tetesi mastaa wote ndio zinaanzaga ivyo. Wqmchukue Salah tubaki na Hazard bhana![]()
![]()
![]()
Mkuu kwa perfomance ya Mo Salah anauzika bila matatizo. Hazard perfomance yake sometimes inashuka kabisa. Courtois naye sijui anamechi zake. Mi naombea waingie uchizi wamchukue Salah Hazard wampige chini.Hazard na Courtois iwapo Hawatasaini Mkataba Mpya basi Ndiyo Rahisi Kwenda Real Kuliko Mo Salah.
Na Real Hawana Tabia Ya Kumsajili Mchezaji Aliyeng'ara Msimu Mmoja! Mpaka Wamuangalie Next Season Wamuone Kama Ataendeleza Consistency hiihii ili Hapo Ndiyo Watamsaini Kama Ni Outstanding player.
Lakini Hazard Na Harry Kane Tayari Wameshaonesha Kama Wao Ni Outstanding Performance with permanent Consistency! Kwahiyo Ndiyo Chaguo Sahihi la Real Madrid.
All my prayer Ni Kuwa Hazard Ataelekea Real in order Mo Salah awe Safe.
Hii partnership ya VVD na De Vrij nimeipenda sana
pia Can na Solanke hawapo vizuri sana na hizi mechi zilizobaki tunahitaji kikosi cha kutuletea kombe la Champions league na nafasi ya pili EPL..YNWASo far so good!
Tumempoteza Gomez tu ktk international break hizi!
Ingawaje muda wa kuandaa vijana sio mkubwa lkn nina imani sana na KLOPP
Tutapata matokeo mazuri na CP
Can nadhani hata akiwa fit ASICHEZE tena sababu ataanza kuzomewa!pia Can na Solanke hawapo vizuri sana na hizi mechi zilizobaki tunahitaji kikosi cha kutuletea kombe la Champions league na nafasi ya pili EPL..YNWA
Can nadhani hata akiwa fit ASICHEZE tena sababu ataanza kuzomewa!
Lallana,OX,Wilj na Hendo wapo fit kwa sasa!!
pia Can na Solanke hawapo vizuri sana na hizi mechi zilizobaki tunahitaji kikosi cha kutuletea kombe la Champions league na nafasi ya pili EPL..YNWA
Nilitegema Solanke angeweza kuwa na Option tofauti ya Uchezaji kwenye Idara ya ushambukiaji kwa timu pale inapohitajika kama kucheza Direct Football lakini mpaka sasa nilichokiona kwake Solanke ni Old School Number 9.HAKUNA KITU PALE.Solanke Hakuwa Mtu Sahihi Wa Kubaki Liverpool January hii! Kwahiyo Ni dhahiri Kuwa Summer atolewe Kwa Mkopo na Origi auzwe (Permanent deal) Kwani Danny Ings ndiye Second Choice Striker Sahihi na Wala si Solanke.
Sijapata habari zozote kuhusu Robo maana alitolewa dakika ya 66 kule ScotlandHata Mimi Kwa Comment Yake Hile Emre Can Tayari Nimeshapoteza Trust kwake Na Nahisi Muda Wake Tayari Umeshamalizika Ndani Ya Merseyside.
Hata mimi nilikuwa doubt kama yuko injured ila hakuna taarifa yoyote.Sijapata habari zozote kuhusu Robo maana alitolewa dakika ya 66 kule Scotland
Robo ni mmoja w amabeki wazuri wa pembeni kwa sasa EPL!
Tunamuhitaji sana na Man City home and away
Yupo fit ilikuwa nadhani ilikuwa normal sub tu.Sijapata habari zozote kuhusu Robo maana alitolewa dakika ya 66 kule Scotland
Robo ni mmoja w amabeki wazuri wa pembeni kwa sasa EPL!
Tunamuhitaji sana na Man City home and away