Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

d16e8c59bea8173df5580cc1a4e93fb9.jpg


Hii Ni Picha tu! Lakini Ukiangalia Video Hata Mara Mia Moja basi Utaona Wazi Kuwa VVD alinyanyua Mguu na Kuurudisha Bila ya Kumgusa jamaa! Hatimae jamaa Kajiangusha na Lines man Katoa Adhabu.
Lakini Yote in Yote Mpira Umekwisha na Ni Sare.
Kumbuka Kuwa Nyinyi Mulipoteza Kwa Huyuhuyu.
 
Hii Ni Picha tu! Lakini Ukiangalia Video Hata Mara Mia Moja basi Utaona Wazi Kuwa VVD alinyanyua Mguu na Kuurudisha Bila ya Kumgusa jamaa! Hatimae jamaa Kajiangusha na Lines man Katoa Adhabu.
Lakini Yote in Yote Mpira Umekwisha na Ni Sare.
Kumbuka Kuwa Nyinyi Mulipoteza Kwa Huyuhuyu.

Fact refa kawanyonga leo poleni sana
 
Barca wana deulafeu hata evarton alikua anakosa namba

Hapana mkuu
Kila mchezaji wa Barca ni BORA sana!
Ukizixhanganya Barca vs Liverpool HAMNA mchezaji yyt wa Liverpool ataingia first 11
Mtazamo wa ajabu kweli kweli!!
 
Kama vile karius kaimprove mechi ya leo


Nilizani Ni Mimi peke yangu tu niliyeoona kitu kwa Marius. Hata hivyo bado anafanya makosa mengi yasiyo ya Lazima Kama Vile Kuanzisha Mipira (Goal Kicks) anaanza Ovyo Kabisa.
 
So what? Licha ya kupoteza but bado we are 5 pts mbele yako.


Kumbe Zogo lote kombe lako Ni Kumaliza Mbele ya Liverpool ama?? 😀 😀 😀

Hivi umesahau Kuwa anayeoongoza ligi Ni Man City ambaye ndiye unaepaswa Kufukuzana nae na sio Liverpool??
 
Hapana mkuu
Kila mchezaji wa Barca ni BORA sana!
Ukizixhanganya Barca vs Liverpool HAMNA mchezaji yyt wa Liverpool ataingia first 11
Mtazamo wa ajabu kweli kweli!!

Mbona mascherano,suarez Na saizi phillipe wote hao walitoka Liverpool wapo na walikuepo kwenye first 11, huondio mfano mzuri.pique alikuwa manchester akukubalika (kakosa namba) akaenda barca akaoneka anafaa

Tatizo mashabiki wa barca mnazidisha mapenzi na timu yenu kisa hamjafungwa tu kwenye ligi.

Misimu miwili mfululizo mmeshindwa kutamba uefa mmetolewa na timu ambazo mnasema awana wachezaji wa kuingia first 11 yenu.

Hapo hapo mnanunua wachezaji watimu mnaziita hazina wachezaji wa kucheza first 11 ya barca.

Mkuu mara ya mwisho Liverpool vs barca barca alikula nne bila barca walikuwa full kikosi(MSN).walitandikwa na hao hao unasema eti hawawezi kuingia first 11 ya barca.
 
Liverpool wanakosa first class goalkeeper.
Bao la Wanyama keepee alisababisha ile punch ame punch as if anatoa assist.
Pia siyo mzuri wa kuanzisha mashambulizi.
Mignolet na huyu Kralius kula siku wanafnya silly mistake zinazo cost timu point.
I think klopp anapaswa kutafuta kupa world class.
 
Mbona mascherano,suarez Na saizi phillipe wote hao walitoka Liverpool wapo na walikuepo kwenye first 11, huondio mfano mzuri.pique alikuwa manchester akukubalika (kakosa namba) akaenda barca akaoneka anafaa

Tatizo mashabiki wa barca mnazidisha mapenzi na timu yenu kisa hamjafungwa tu kwenye ligi.

Misimu miwili mfululizo mmeshindwa kutamba uefa mmetolewa na timu ambazo mnasema awana wachezaji wa kuingia first 11 yenu.

Hapo hapo mnanunua wachezaji watimu mnaziita hazina wachezaji wa kucheza first 11 ya barca.

Mkuu mara ya mwisho Liverpool vs barca barca alikula nne bila barca walikuwa full kikosi(MSN).walitandikwa na hao hao unasema eti hawawezi kuingia first 11 ya barca.
nimewaangalia barca mechi hizi 5 za mwisho ikiwemo ya jana na espanyo, kiukweli nimewatamani sana. Naomba robo fainal tukutane nao tuwaonyeshe. Wachezaji wao wengi ni average player af ni kama wana fatique hata chelsea wakidhamiria wanawatoa
 
Beki za kati Lovren vs VVD mechi ijayo wakicheza vyema kama hii nitafurahi sana!
Beki imecheza vyema sana mechi ya jana,TII na Rob ni beki wa pembeni inara sana,Gomez anatuyeyusha sana
 
Mbona mascherano,suarez Na saizi phillipe wote hao walitoka Liverpool wapo na walikuepo kwenye first 11, huondio mfano mzuri.pique alikuwa manchester akukubalika (kakosa namba) akaenda barca akaoneka anafaa

Tatizo mashabiki wa barca mnazidisha mapenzi na timu yenu kisa hamjafungwa tu kwenye ligi.

Misimu miwili mfululizo mmeshindwa kutamba uefa mmetolewa na timu ambazo mnasema awana wachezaji wa kuingia first 11 yenu.

Hapo hapo mnanunua wachezaji watimu mnaziita hazina wachezaji wa kucheza first 11 ya barca.

Mkuu mara ya mwisho Liverpool vs barca barca alikula nne bila barca walikuwa full kikosi(MSN).walitandikwa na hao hao unasema eti hawawezi kuingia first 11 ya barca.

Mkuu nakuhakikishia
Barca huyu hawezi mtoa Liverpool ya UCL!
Watu hapa wanaidharau sana hii Liverpool lkn muulize gwiji kama Pep au Juup wa Bayern akutajie HAWATAKI kukutana na nani UCL watakuambia Liverpool!
VVD kaleta stability na hata kipa sasa anapumzika tuombee tu asiumie
Kwa mara ya kwanza miaka ya karibuni naiona Liverpool imara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom