Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huyu Lemar habari zake zikoje as per now?
Natamani sana aje huyu kijana...
 


Ninachoamini Mimi Whether tungekuwa Na Coutinho au Hatuna Coutinho Basi Liverpool isingeliweza KUSHINDA MICHEZO YAKE YOTE wala isingeliweza KUFUNGWA MICHEZO YAKE YOTE...

Kwahiyo Ni Lazima Liverpool Michezo Mengine itafungwa, itadraw Na Mengine itashinda..

Lakini Ninachokiona Hapa si Jengine Bali Ni DOUBLE STANDARD au HYPOCRISY... Kwani SikuSiku tutakayo DRAW au KUFUNGWA basi Watajitokeza Watu Na Kusema "MUNALIONA HILO PENGO LA COUTINHO? Lakini Siku Tutakayokuja Kushinda basi WATANYAMAZA KIMYA BILA YA KUCOMMENT CHOCHOTE...!

Mimi Katika Timu Yetu Ninamuona Kocha Katika TACTICS tofauti yangu Na Kocha Ni Kwenye KUSAJILI Na LINE-UP tu.. Kwahiyo Naamini Kabla ya Kumuuza alishaandaa Mfumo Wa Kuzima athari atakayoiacha Kwani alijua fika tu Kuwa Ni Lazima ataondoka....

So, Ni Mfumo Ndiyo utakaoziba Pengo lake na wala si Mchezaji maalum ambaye ana Kipaji Maalum...

Kumbuka Kuwa Tulimfunga ARSENAL 4 Kwa 0 bila ya kuwemo COUNTINHO uwanjani, na Tukafungwa 4 na Spurs Tukiwa tuna COUTINHO uwanjani..
 


Maranyengine Unapoandika Uwe SPECIFIC ili ujuilikane kama ni EPL venginevyo utakuwa Compulsive Deluder Kwani "ANYTHING" inamaana pana.
Coz ndani ya Miaka 30 tmeshinda UEFA CHAMPION LEAGUE, UEFA EUROPER LEAGUE, EUROPER SUPER CUP na Several MICKY MOUSE CUPS kama
(FA, CARLING CUP, CHARITY SHIELDS e.t.c.).
 
Huyu Lemar habari zake zikoje as per now?
Natamani sana aje huyu kijana...


Lemar Ndiyo iliyokuwa Target Kubwa ya Liverpool lakini Hakuna uwezekano wowote Wa Kuja Liverpool Katika Mwezi huu Wa January Kwani Clubs za wenzetu Ni Tofauti na Liverpool Kamwe Haziuzi wachezaji Wao Katikati ya League.
Labda Tusubiri Labda twaweza Mpata Next Window (Summer).
 
Naona klopp ameamua anataka kumleta naby keita mwez huu huu na sio dirisha lijalo


Nabby Keita Hawezi Kuja Liverpool Mwezi huu Wa January! Timu Yake imekataa Mazungumzo yoyote Yanayomuhusu Nabby Keita Kuja Liverpool Mwezi Wa January
 
wakuu kwa Januari hii binafsi ningependa kuona Klopp akimsajili Lianzini wa Westham, kipa wa uhakika na strika mmoja pengine Surez arudi..
Maana hii pesa ya C10 isipotumika vzuri kwa kweli hata Klopp atachomoka


January hii haina Haja Ya Kusajili Mchezaji Yeyote! Kikosi Tulichonacho Hakihitaji Midfielder Mpya Kwa Sasa.. Hawa Hawa Kina GINI, LALLANA, CAN na AOC wanaweza Kucheza Na Timu Yoyote Na Tukashinda! Muhimu Kocha tu Awe na Maamuzi Yenye Tija na si personal emotion..

Mabadiliko Yanayohitajika Katika Timu Yetu Ni Mawili tu..

1) KIPA

2) STRIKER

Yaliyobakia Yote Ni Mbwembwe tu.
 
Watu Wengine Mujue Kupuuzwa!!! Si Lazima NiwaQuote musilazimishe.

Nawashangaa Sana Mashabiki Wa Arsenal Kushadidia na Kulala Katika Uzi Huu Kisa Kauzwa Coutinho!!!!
Hivi Munahisi Kuuzwa Kwa Coutinho Ndiyo Mutasalimika na Zile NNE NNE tunazowatandika kila Msimu???

Nadhani Mumeshasahau
Kuwa Msimu huuhuu huu Tuliwatandika 4 - 0 bila Ya Kuwemo Coutinho! Kwahiyo Kuwaadhibu Arsenal Hatuhitaji Coutinho Hata Mwinyi Kazimoto anatutosha Kumpigia 4 Arsenal.


 
Ukumbusho tu! FC PORTO imeshinda Michezo Yake Yote 8 iliyopita na Kufunga Magoli 29 Katika Mashindani Yote aliyoshiriki.
So, Liverpool tuwe makini.

 
Juzi tulikuwa tunakulaza bila coutinho ww.Usikimbilie nyuma sana wakati kipute kilipigwa juzi....
Halafu coutinho si yupo Liverpool halafu Roberto 20 kafa sindiyo???
Siku nyingine utakufa ww kuwa makini ndugu..
 
Tetesi

Liverpool watajaribu kumleta kiungo wa kati wa RB Leipzig na Guinea Naby Keita Anfield na wana nia ya kulipa zaidi kumpata mchezaji huyo wa miaka 22 mwezi Januari. (Telegraph)
 
Tetesi

Liverpool wanamtaka mshambuliaji wa Monaco na Ufaransa Thomas Lemar, 22, kuchukua mahala pake Philippe Coutinho - na wanataka kufanya hilo wiki hii. (Mirror)
 
mkuu hii rotation ya Klopp kwa zile mechi mbili..mechi ya Everton na Westbrom ndio zimeharibu mipango...
Klopp akiedelea na hizi emotion zake kuchagua kikosi atatuchanganya sana hata hii big four twaweza kuichungulia kwa tochi...
 
HAYA NI MAWAZO YANGU BINAFSI
Nimekuwa Nikiwaza Siku Nyingi Tokea Aliponunuliwa AOC
Kuwa Hivi Ni Kweli Klopp Katoa Katoa £35m Kwa Benched Player?

Sasa Nimepata Jibu Kuwa tokea Last window Coutinho alipoSubmit Transfer Request Klopp alijua Wazi Kuwa Coutinho Ni Lazima Ataondoka...

Sasa Akakimbilia Faster Kumsajili AOC kama temporary replacement in case Coutinho ataondoka January.

So, itakuwa Ni Ajabu Kwa Mtu kama Klopp Kutoa £35m Kwa Mchezaji Kuja Kumueka Benchi!! Lakini Ukweli Ni Kwamba AOC ndiye replacement ya Coutinho.

Kilichobakia Tumuunge Mkono Kocha na Tumsaport AOC iwapo atapewa Nafasi.
Kwani Naamini iwapo atapewa Nafasi ya Kutosha basi ataweza at least Kutupa Kile tunachokitaka.
 
Watu Wanatucheka Sana Kwa Kuuzwa Coutinho! Lakini Wanamcheka Mamba Kabla Hawajavuuka Mto...

WAJUE REAL MADRID ANAWASHA GREEN LIGHT KWA EPL

• Real inamaliza Msimu bila Kombe lolote
• Ronaldo Anazeeka Anahitaji Replacement
• Bale Kashaflop anahitaji replacement
• Benzema Kesha Anahitaji replacement
• Kipa Wao Hawamuamini
• Barca Kumchukua Coutinho Wanahisi Ni Pigo KwaoKwao

Sasa Watambue Kuwa Kuna Wachezaji EPL wapo Katika Target Zao na Ukweli Ni Kwamba Real anapohitaji basi jibu Ni "YES BOSS".
 

Pia ukiangalia hizo statistics zinaonesha msimu huu liverpool wamefanya vizur sana bila ya coutinho japo ni mchezaj muhumu ndo mana sikuweza kwa upande wangu kuona pengo la coutinho ndani ya liverpool nafikir salah kafanya kazi nzur mno bila ya huyo hata kama coutinho angeomba kuondoka sifikirii kama january hii wangemuacha aondoke wangemuachia kiangazi.

 
Sioni sababu Ya kusajili mchezaji yoyote hii January labda apatikane kipa mzuri tu au Keita
Kwa kikosi hiki wakiendelea Na hii momentum top 4 is very achievable
Tuombe tu ustaadh Salah au Mane wasiumie
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…