Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Matip, Coutinho 8/10
Kwanini mkuu SherrifIngawa tumeahinda lakini bangi Za Klopp zinanitisha
Vp bado unatamani mpira kuendeleaBado mawili
Bado mawili
Hamna kitu hapo..Vp bado unatamani mpira kuendelea
ni game plan yao kaka kwa uchezaji wetu hawa jamaa wanatujulia sana...Kidogo Nitalala Na Kwa Amani dah!
Hivi Hawa Lesta Tunapocheza Nao Ni Kwanini Wanakuwa Wagumu Hivi kwa Timu Yetu?
Can bana kuna mechi hua anapotea mpaka unajiuliza alilala bar au...bado ana safari ndefu ila kwa umri wake atakuja kua vizuri sana...ila sasa sioni akasaini mkataba tena AnfieldMchezaji Ambaye Leo Naweza Kumrate 9/10 Ni Emre Can!!
Yaani Huyu Jamaa Kama Atapewa Nafasi Season Nzima 100% ya Defensive Midfielder basi Anaweza Kuwa Binge la Box-to-Box defensive midfielder... Lakini Hendo Anaziba Kipaji cha Huyu Jamaa.
Tumia akili weweYani Kocha Hata Angekuwa Yule Omog Aliyefukuzwa Simba Basi Hawezi Kumueka Bench Gini au Lallana Na Kumchezesha Milner...
By the way! Wacha tumstahamilie Jürgen Rotation
Muulize man cityKidogo Nitalala Na Kwa Amani dah!
Hivi Hawa Lesta Tunapocheza Nao Ni Kwanini Wanakuwa Wagumu Hivi kwa Timu Yetu?
Haya mwambie Wenger aendelee kufanya kaziHamna kitu hapo..
Tumia akili wewe
Jini au lalana sio viungo wakabaji
Bora ya Can kwa mbali ambae nae si mkabaji
Sahihi kabisa, kwa mechi ya leo Firmino na Emre Can wamekuwa na mchango mkubwa sanaKiukweli kwa mpira wa leo nimemkubali sana Firmino. Kwa jinsi alivyokuwa anakuja kuichukua mipira kati na pembeni kwa ajili ya kuanzisha mashambilizi.
Huyu jamaa anajua sana, tumtafute tu namba tisa halisi ili jamaa acheze nyuma.