Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Hongera 3-3![]()
Wolvermpton![]()
Mkuu Habari Yako?
Na Leo pita hapa uje ucheke kama Jana...
Hongera 3-3![]()
Wolvermpton![]()
Ingekuwa hvy liver angekuwa ameshapita. Au wakati mechi ya tottenham na dortmnd inaendelea wakati totth ana point 10 na madrid anaongoza 4 bila ana point 10 pia but group leader alikuwa tottenham sababu head to head na madrid ni tottenham lakini magoli ni madrid ndio alikuwa nayo mengi.Mkuu mbona unadanganya umma?? Kitu kama hujui ni bora ukakaa kimya.
Rules za UEFA hivi hapa
Article 17 Equality of points – group stage
17.01 If two or more teams are equal on points on completion of the group matches,
the following criteria are applied in the order given to determine their rankings:
a. higher number of points obtained in the group matches played among the
teams in question;
b. superior goal difference from the group matches played among the teams in
question;
c. higher number of goals scored in the group matches played among the teams
in question;
d. higher number of goals scored away from home in the group matches played
among the teams in question;
e. if, after having applied criteria a) to d), teams still have an equal ranking,
criteria a) to d) are reapplied exclusively to the matches between the teams in
question to determine their final rankings. If this procedure does not lead to a
decision, criteria f) to l) apply;
f. superior goal difference in all group matches;
g. higher number of goals scored in all group matches;
h. higher number of away goals scored in all group matches;
i. higher number of wins in all group matches;
j. higher number of away wins in all group matches;
k. lower disciplinary points total based only on yellow and red cards received in
all group matches (red card = 3 points, yellow card = 1 point, expulsion for
two yellow cards in one match = 3 points)
Mie nimesoma Rules za 201718 ndo nimekuwekea hapoIngekuwa hvy liver angekuwa ameshapita. Au wakati mechi ya tottenham na dortmnd inaendelea wakati totth ana point 10 na madrid anaongoza 4 bila ana point 10 pia but group leader alikuwa tottenham sababu head to head na madrid ni tottenham lakini magoli ni madrid ndio alikuwa nayo mengi.
Na mechi ya madrid na ile.tottenham zotr zilikiwa ni za juzi tu msimu wa 2017/2018Mie nimesoma Rules za 201718 ndo nimekuwekea hapo
https://www.uefa.com/MultimediaFile.../Regulations/02/46/71/38/2467138_DOWNLOAD.pdf
inawezekana uko sahihi ila support hoja yako kwa kanunu.Mimi nilikua sijui ila niakenda kutafuta kanuni za 2017/18 nikakuta hiyo.
Mie nimesoma Rules za 201718 ndo nimekuwekea hapo
https://www.uefa.com/MultimediaFile.../Regulations/02/46/71/38/2467138_DOWNLOAD.pdf
inawezekana uko sahihi ila support hoja yako kwa kanunu.Mimi nilikua sijui ila niakenda kutafuta kanuni za 2017/18 nikakuta hiyo.

Halafu isome vzr hiyo kipengele "b" wanakwambia goal difference on teams in question( yaani hizo team mbili goals difference kati yao maana yake ni head to head kati yao wawili nani kamfunga mwenzake magoli.mengiIngekuwa hvy liver angekuwa ameshapita. Au wakati mechi ya tottenham na dortmnd inaendelea wakati totth ana point 10 na madrid anaongoza 4 bila ana point 10 pia but group leader alikuwa tottenham sababu head to head na madrid ni tottenham lakini magoli ni madrid ndio alikuwa nayo mengi.
we acha tu mpaka kichefuchefuhivi kwani akiwa Sadaland si alikua attacking mildfilda au na huko alikua kiungo mkabaji maana jana alikua Headless chicken...kocha amepata dirisha tatu za usajili na bado anaedelea kubana pesa...aidha wamiliki wa Liva ni shindaa au Klopp anadhani huku ni Dotimodi ya miaka hioooo
well said, jicho lako linaona kwa umakiniThe coach is always proud. Henderson cyo DM. Can plays better in that position though yeye cyo natural DM. Henderson hata akienda spurs hapat namba kwa first team. Cjui kwa nini huwa haoni. Klopp haoni matatizo madogo. Game kama ya Jana angeanza na strong 11. Mignolet angesave mojawapo ya zile goli tatu. I'm very sure about it. Hajifunzi kabisa. Ana number 3 nzuri mno kuliko moreno lakin hamtumiii. Anaua kiwango cha Robertson tu. Cjui huwa ana gamble kwa nini. Henderson anacheza defensive mid halafu haelewi majukumu yake. Defenders wanapata shida kweli kwa sababu kweli. He is very soft. Pooor Henderson. Yule hatufai kabisa. Aangalie wanyama anavyocheza hio namba ataelewa. Poor us! Coach aache pride, awe harsh. If you are poor huchezi. Cyo unawachezesha kwa matumaini kwamba wata improve.
Mkuu sijaona kosa lolote la karius kweny game ya sevila apo mchawi ni henderson kazidiwa ata na lovren juz kacheza freshThe coach is always proud. Henderson cyo DM. Can plays better in that position though yeye cyo natural DM. Henderson hata akienda spurs hapat namba kwa first team. Cjui kwa nini huwa haoni. Klopp haoni matatizo madogo. Game kama ya Jana angeanza na strong 11. Mignolet angesave mojawapo ya zile goli tatu. I'm very sure about it. Hajifunzi kabisa. Ana number 3 nzuri mno kuliko moreno lakin hamtumiii. Anaua kiwango cha Robertson tu. Cjui huwa ana gamble kwa nini. Henderson anacheza defensive mid halafu haelewi majukumu yake. Defenders wanapata shida kweli kwa sababu kweli. He is very soft. Pooor Henderson. Yule hatufai kabisa. Aangalie wanyama anavyocheza hio namba ataelewa. Poor us! Coach aache pride, awe harsh. If you are poor huchezi. Cyo unawachezesha kwa matumaini kwamba wata improve.
No team will beat Liverpool at Anfield
Even Barca cant beat us on our turf
Chelsea is a trash!!
Viva Klopp Viva
Proud of my team
Sare ya ugenini CL nzuri sana!
Chelsea kapigwa 3 ugenini
Bayern kapigwa 3 ugenini
Napoli kachukua tatu ugenini
Madrid kapigwa tatu ugenini
Liverpool anapata sare ugenini kwa Seville lkn tunaonyesha sisi ni wabaya akina Madrid ndiyo wazuri
Viva Klopp Viva
Few years back, hii thread ilikuwa na good reds ambao walikuwa wanaelewa na kuchambua mpira kwa akili sana bila kuwa biased na team/players.
But, now thread ina Top reds ambao wanaifanya hii thread kuwa ngumu hata kuchangia mawazo yako kwa sababu ya aina ya mawazo yao wanayoyatoa kuhusu team ni ya kitoto sana, mtu mzima anayeelewa mpira hawezi kuwa na mawazo ambayo ni kichekesho hata kwa mashabiki wachanga wa mpira.
Its ok kuwa over-confident about your club but kuitetea team kila inapofanya makosa ya kizembe hakukufanyi uonekane wewe ndo "mshabiki mkereketwa" na unaeipenda club kuliko mashabiki wengine.
Few years back, hii thread ilikuwa na good reds ambao walikuwa wanaelewa na kuchambua mpira kwa akili sana bila kuwa biased na team/players.
But, now thread ina Top reds ambao wanaifanya hii thread kuwa ngumu hata kuchangia mawazo yako kwa sababu ya aina ya mawazo yao wanayoyatoa kuhusu team ni ya kitoto sana, mtu mzima anayeelewa mpira hawezi kuwa na mawazo ambayo ni kichekesho hata kwa mashabiki wachanga wa mpira.
Its ok kuwa over-confident about your club but kuitetea team kila inapofanya makosa ya kizembe hakukufanyi uonekane wewe ndo "mshabiki mkereketwa" na unaeipenda club kuliko mashabiki wengine.
Few years back, hii thread ilikuwa na good reds ambao walikuwa wanaelewa na kuchambua mpira kwa akili sana bila kuwa biased na team/players.
But, now thread ina Top reds ambao wanaifanya hii thread kuwa ngumu hata kuchangia mawazo yako kwa sababu ya aina ya mawazo yao wanayoyatoa kuhusu team ni ya kitoto sana, mtu mzima anayeelewa mpira hawezi kuwa na mawazo ambayo ni kichekesho hata kwa mashabiki wachanga wa mpira.
Its ok kuwa over-confident about your club but kuitetea team kila inapofanya makosa ya kizembe hakukufanyi uonekane wewe ndo "mshabiki mkereketwa" na unaeipenda club kuliko mashabiki wengine.