Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu mbona unadanganya umma?? Kitu kama hujui ni bora ukakaa kimya.
Rules za UEFA hivi hapa
Article 17 Equality of points – group stage
17.01 If two or more teams are equal on points on completion of the group matches,
the following criteria are applied in the order given to determine their rankings:
a. higher number of points obtained in the group matches played among the
teams in question;
b. superior goal difference from the group matches played among the teams in
question;
c. higher number of goals scored in the group matches played among the teams
in question;
d. higher number of goals scored away from home in the group matches played
among the teams in question;
e. if, after having applied criteria a) to d), teams still have an equal ranking,
criteria a) to d) are reapplied exclusively to the matches between the teams in
question to determine their final rankings. If this procedure does not lead to a
decision, criteria f) to l) apply;
f. superior goal difference in all group matches;
g. higher number of goals scored in all group matches;
h. higher number of away goals scored in all group matches;
i. higher number of wins in all group matches;
j. higher number of away wins in all group matches;
k. lower disciplinary points total based only on yellow and red cards received in
all group matches (red card = 3 points, yellow card = 1 point, expulsion for
two yellow cards in one match = 3 points)
Ingekuwa hvy liver angekuwa ameshapita. Au wakati mechi ya tottenham na dortmnd inaendelea wakati totth ana point 10 na madrid anaongoza 4 bila ana point 10 pia but group leader alikuwa tottenham sababu head to head na madrid ni tottenham lakini magoli ni madrid ndio alikuwa nayo mengi.
 
Ingekuwa hvy liver angekuwa ameshapita. Au wakati mechi ya tottenham na dortmnd inaendelea wakati totth ana point 10 na madrid anaongoza 4 bila ana point 10 pia but group leader alikuwa tottenham sababu head to head na madrid ni tottenham lakini magoli ni madrid ndio alikuwa nayo mengi.
Mie nimesoma Rules za 201718 ndo nimekuwekea hapo
https://www.uefa.com/MultimediaFile.../Regulations/02/46/71/38/2467138_DOWNLOAD.pdf
inawezekana uko sahihi ila support hoja yako kwa kanunu.Mimi nilikua sijui ila niakenda kutafuta kanuni za 2017/18 nikakuta hiyo.
 
Mie nimesoma Rules za 201718 ndo nimekuwekea hapo
https://www.uefa.com/MultimediaFile.../Regulations/02/46/71/38/2467138_DOWNLOAD.pdf
inawezekana uko sahihi ila support hoja yako kwa kanunu.Mimi nilikua sijui ila niakenda kutafuta kanuni za 2017/18 nikakuta hiyo.
Screenshot_2017-11-23-09-31-48.png
Screenshot_2017-11-23-09-32-09.png
Chek hilo ndio group.lao na habari Skysport wanakwambia kuwa Tottenham Wamechukua Top spot yaani.kwamba hata madrid mechi ya mwisho ashinde 100-0 na tottenham afungwe 200-0 bado tottenham atabaki top sababu ya head to head
 
The coach is always proud. Henderson cyo DM. Can plays better in that position though yeye cyo natural DM. Henderson hata akienda spurs hapat namba kwa first team. Cjui kwa nini huwa haoni. Klopp haoni matatizo madogo. Game kama ya Jana angeanza na strong 11. Mignolet angesave mojawapo ya zile goli tatu. I'm very sure about it. Hajifunzi kabisa. Ana number 3 nzuri mno kuliko moreno lakin hamtumiii. Anaua kiwango cha Robertson tu. Cjui huwa ana gamble kwa nini. Henderson anacheza defensive mid halafu haelewi majukumu yake. Defenders wanapata shida kweli kwa sababu kweli. He is very soft. Pooor Henderson. Yule hatufai kabisa. Aangalie wanyama anavyocheza hio namba ataelewa. Poor us! Coach aache pride, awe harsh. If you are poor huchezi. Cyo unawachezesha kwa matumaini kwamba wata improve.
 
Ingekuwa hvy liver angekuwa ameshapita. Au wakati mechi ya tottenham na dortmnd inaendelea wakati totth ana point 10 na madrid anaongoza 4 bila ana point 10 pia but group leader alikuwa tottenham sababu head to head na madrid ni tottenham lakini magoli ni madrid ndio alikuwa nayo mengi.
Halafu isome vzr hiyo kipengele "b" wanakwambia goal difference on teams in question( yaani hizo team mbili goals difference kati yao maana yake ni head to head kati yao wawili nani kamfunga mwenzake magoli.mengi
 
hivi kwani akiwa Sadaland si alikua attacking mildfilda au na huko alikua kiungo mkabaji maana jana alikua Headless chicken...kocha amepata dirisha tatu za usajili na bado anaedelea kubana pesa...aidha wamiliki wa Liva ni shindaa au Klopp anadhani huku ni Dotimodi ya miaka hioooo
we acha tu mpaka kichefuchefu
 
The coach is always proud. Henderson cyo DM. Can plays better in that position though yeye cyo natural DM. Henderson hata akienda spurs hapat namba kwa first team. Cjui kwa nini huwa haoni. Klopp haoni matatizo madogo. Game kama ya Jana angeanza na strong 11. Mignolet angesave mojawapo ya zile goli tatu. I'm very sure about it. Hajifunzi kabisa. Ana number 3 nzuri mno kuliko moreno lakin hamtumiii. Anaua kiwango cha Robertson tu. Cjui huwa ana gamble kwa nini. Henderson anacheza defensive mid halafu haelewi majukumu yake. Defenders wanapata shida kweli kwa sababu kweli. He is very soft. Pooor Henderson. Yule hatufai kabisa. Aangalie wanyama anavyocheza hio namba ataelewa. Poor us! Coach aache pride, awe harsh. If you are poor huchezi. Cyo unawachezesha kwa matumaini kwamba wata improve.
well said, jicho lako linaona kwa umakini
 
Liverpool’s top scorer 16/17:
Alikuwa ni Philippe Coutinho alifunga Magoli 14 Kwa Mashindano Yote, akifuatiwa Na Sadio Mane magoli 13
.

November 18th in 2017/18:

Tayari Mo Salah Ameshafunga Magoli 14 kwa Mashindano Yote.

Wadhungu Wanasema Ridiculous
bargain!

22552596_1984678185142999_2135052696869041803_n.jpg
 
Stats:

DPQ0hJtX0AAJ1o_.jpgsmall.jpg


Naby Keita vs Monaco
√ 79% passing
√ 62.5% of passes went forward
√ 2 shots
√ 1 goal
√ 7 tackles
√ 4/4 take-ons
√ 2 aerial duels
√ 3 clearances
√ 2 interceptions

DO7iGceWsAEt2mz.jpgsmall.jpg


Philippe Coutinho v Southampton
√ 73% passing
√ 1 assist
√ 4 crosses
√ 6 take-ons
√ 1 interception
√ 5 shots
√ 1 goal

22552596_1984678185142999_2135052696869041803_n.jpg


Mo Salah v Southampton
√ 77% passing
√ 2 chances created
√ 4 crosses
√ 6 take-ons
√ 5 shots
√ 2 goals

200px-Jordan_Henderson_20141221_(cropped).jpg


Jordan Henderson vs Sevilla
√ 55% passing
√ 0 take-ons
√ 0 tackles won
√ 0 aerial duels won
√ 5 fouls
√ 1 booking

Halafu Klopp anataka Kutuaminisha Kuwa Huyu Bwege Ndiye Mtu Sahihi Wa Kuinongoza Liverpool.
 

Attachments

  • DPQ0hJtX0AAJ1o_.jpgsmall.jpg
    DPQ0hJtX0AAJ1o_.jpgsmall.jpg
    32.1 KB · Views: 44
The coach is always proud. Henderson cyo DM. Can plays better in that position though yeye cyo natural DM. Henderson hata akienda spurs hapat namba kwa first team. Cjui kwa nini huwa haoni. Klopp haoni matatizo madogo. Game kama ya Jana angeanza na strong 11. Mignolet angesave mojawapo ya zile goli tatu. I'm very sure about it. Hajifunzi kabisa. Ana number 3 nzuri mno kuliko moreno lakin hamtumiii. Anaua kiwango cha Robertson tu. Cjui huwa ana gamble kwa nini. Henderson anacheza defensive mid halafu haelewi majukumu yake. Defenders wanapata shida kweli kwa sababu kweli. He is very soft. Pooor Henderson. Yule hatufai kabisa. Aangalie wanyama anavyocheza hio namba ataelewa. Poor us! Coach aache pride, awe harsh. If you are poor huchezi. Cyo unawachezesha kwa matumaini kwamba wata improve.
Mkuu sijaona kosa lolote la karius kweny game ya sevila apo mchawi ni henderson kazidiwa ata na lovren juz kacheza fresh
 
Proud of my team
Sare ya ugenini CL nzuri sana!
Chelsea kapigwa 3 ugenini
Bayern kapigwa 3 ugenini
Napoli kachukua tatu ugenini
Madrid kapigwa tatu ugenini

Liverpool anapata sare ugenini kwa Seville lkn tunaonyesha sisi ni wabaya akina Madrid ndiyo wazuri

Viva Klopp Viva

The way unavyo-analyze mpira hata mtoto mdogo hawezi kukuelewa..

Draw siyo mbaya ugenini, but unaelewa kuwa we gave up a 3-0 lead?
 
Few years back, hii thread ilikuwa na good reds ambao walikuwa wanaelewa na kuchambua mpira kwa akili sana bila kuwa biased na team/players.

But, now thread ina Top reds ambao wanaifanya hii thread kuwa ngumu hata kuchangia mawazo yako kwa sababu ya aina ya mawazo yao wanayoyatoa kuhusu team ni ya kitoto sana, mtu mzima anayeelewa mpira hawezi kuwa na mawazo ambayo ni kichekesho hata kwa mashabiki wachanga wa mpira.

Its ok kuwa over-confident about your club but kuitetea team kila inapofanya makosa ya kizembe hakukufanyi uonekane wewe ndo "mshabiki mkereketwa" na unaeipenda club kuliko mashabiki wengine.
 
Few years back, hii thread ilikuwa na good reds ambao walikuwa wanaelewa na kuchambua mpira kwa akili sana bila kuwa biased na team/players.

But, now thread ina Top reds ambao wanaifanya hii thread kuwa ngumu hata kuchangia mawazo yako kwa sababu ya aina ya mawazo yao wanayoyatoa kuhusu team ni ya kitoto sana, mtu mzima anayeelewa mpira hawezi kuwa na mawazo ambayo ni kichekesho hata kwa mashabiki wachanga wa mpira.

Its ok kuwa over-confident about your club but kuitetea team kila inapofanya makosa ya kizembe hakukufanyi uonekane wewe ndo "mshabiki mkereketwa" na unaeipenda club kuliko mashabiki wengine.

Timu hii Klopp anatunyima confidence aisee....tupo humu muda wote,sometimes tunakuwa speechless tu
 
Few years back, hii thread ilikuwa na good reds ambao walikuwa wanaelewa na kuchambua mpira kwa akili sana bila kuwa biased na team/players.

But, now thread ina Top reds ambao wanaifanya hii thread kuwa ngumu hata kuchangia mawazo yako kwa sababu ya aina ya mawazo yao wanayoyatoa kuhusu team ni ya kitoto sana, mtu mzima anayeelewa mpira hawezi kuwa na mawazo ambayo ni kichekesho hata kwa mashabiki wachanga wa mpira.

Its ok kuwa over-confident about your club but kuitetea team kila inapofanya makosa ya kizembe hakukufanyi uonekane wewe ndo "mshabiki mkereketwa" na unaeipenda club kuliko mashabiki wengine.

Is a greatest enemy!!!

Jukwaa sasa lina hitaji kuisifia timu tu
 
Few years back, hii thread ilikuwa na good reds ambao walikuwa wanaelewa na kuchambua mpira kwa akili sana bila kuwa biased na team/players.

But, now thread ina Top reds ambao wanaifanya hii thread kuwa ngumu hata kuchangia mawazo yako kwa sababu ya aina ya mawazo yao wanayoyatoa kuhusu team ni ya kitoto sana, mtu mzima anayeelewa mpira hawezi kuwa na mawazo ambayo ni kichekesho hata kwa mashabiki wachanga wa mpira.

Its ok kuwa over-confident about your club but kuitetea team kila inapofanya makosa ya kizembe hakukufanyi uonekane wewe ndo "mshabiki mkereketwa" na unaeipenda club kuliko mashabiki wengine.


The most crazy ideas unamkutia Mtu Anajifariji Kwa Kufanya Comparison na Timu Nyengine Kama Chelsea, Real na Arsenal....

As long as Real na Chelsea au Arsenal wamefungwa, Basi Kwake yeye na Liverpool Kufungwa sio tatizo! Ridiculous.....!

As long as Arsenal, Chelsea au Spurs Haitachukua Kombe lolote! Basi Kwake yeye na Liverpool si tatizo Kuwa isichukue Kombe lolote... Childish thought....!

Yani Mshabiki Anajifariji Kwa Matatizo Ya Wengine ili Kufuta Matatizo ya Kwake...

Sidhani Kama Mshabiki Wa Kweli hasa anaridhika Kuwa Timu Yake Mara Zote iwe inagombania Top Four badala Ya Kombe!!

We are Liverpool, But we are not blind kiasi ya Kwamba tushindwe Kuona Matatizo ya Timu yetu..
 
Liverpool imewasiliana na PSG kuhusu uhamisho wa mkopo wa kiungo wa kati wa Ujerumani Julian Draxler, 24. (L'Equipe via Daily Mail)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom