Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Teh teh teh teh teh teh 😀😀😀 yaani Hii ndiyo Raha Ya Kutojipa Pressure na Malingi Mengi...!
Msimu huu Kwa Liverpool ninaligi Yangu Moja tu Ya Champion League inazidi Kunifanyisha Kitambi Kwa Raha Za Liverpool.

Weekend Tukapige Mazoezi tu Kwa Chelsea ili tukamilishe ratiba ya 2017/2018
 
Hii mechi Ya Leo Kama King of Egypt Muhammed Salah Hajafunga basi ishaninyima Usingizi..
Coz huyu jamaa amini usiamini iwapo ataendelea hivi hivi Kuna Magwiji Watakujalia na Tunzo za FIFA...
 
Hii mechi Ya Leo Kama King of Egypt Muhammed Salah Hajafunga basi ishaninyima Usingizi..
Coz huyu jamaa amini usiamini iwapo ataendelea hivi hivi Kuna Magwiji Watakujalia na Tunzo za FIFA...
Atakosaje kwa mfano upe muda uongee
 
FT:
Sevilla 3 - 3 Liverpool

No comment.... Nimeshayazungumza vya Kutosha... Furaha Ya Pekee ni Kuwa Bado Ninaongoza Group E
 
Teh teh teh teh teh teh 😀😀😀 yaani Hii ndiyo Raha Ya Kutojipa Pressure na Malingi Mengi...!
Msimu huu Kwa Liverpool ninaligi Yangu Moja tu Ya Champion League inazidi Kunifanyisha Kitambi Kwa Raha Za Liverpool.

Weekend Tukapige Mazoezi tu Kwa Chelsea ili tukamilishe ratiba ya 2017/2018

Hongera 3-3
 
Klopp Japokuwa ndiyo Mbinu Zako Mkuu! Lakini Jua Kwamba "Maradhi Ya Kusudi Hayaambiwi Pole"
 
Kudos kwa Sevilla, walirudi vizuri sana kwenye game japo ya kuwa nyuma 3:0 first half.
Moreno licha ya kucheza vizuri kwa 70% ila ameicost timu kwa makosa madogo madogo.
mi nadhani ikiwa mpaka mapumziko tunaongoza 3 kwa timu kama Sevila basi kipindi cha pili ni kurudi na mfumo mpya 4-4-2....hii 4-3-3 dakika 90 ndio shinda maana wachezaji wanakua hoi ule mchaka mchaka wa kukaba na kushambulia kama unit unakua haupo...
kwa matokeo kama haya ni kocha tu mbinu zake...maana huyu hajui hata kupaki kibajaji muda wote ni heavy metal football
sevila wamekua wavumilivu sana na pia sub zao katika mechi hizi mbili tumekutana nao wametusumbua...
Klopp inabidi aamke jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom