Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sawa nimekuelewa, kwa nini Clyne hajajumuishwa?

Mkuu Clyne na Lallana Hawajajumuishwa Kwenye Kikosi Kwasababu wana injuries za Muda Mrefu na Mpaka sashivi Haijajulikana Kuwa Watarejea Lini..
 


Post yako hii Haijafikia Standard Za Kuweza Kujibiwa na Mshabiki yeyote wa Liverpool... Nakushauri Post kama hizi peleka Kwenye Thread Ya Arsenal ndiyo saizi yake na Sio hapa...
I swear I will Kick Conte's damn ass without Coutinho..
 
Kabla Mourihno ajatua darajani ..nilikuwa mshabiki namba tatu Chelsea kwa hapa bongo [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app


Na Ndiyomaana Ninajiamini Kusema Kabla ya Mwaka 2004 (Kabla ya Kuja Morinho) Chelsea Haikuwa na Mshabiki Wowote Ndani ya Bongo.. Na Ndiyomana Washabiki Wengi Wa Chelsea ni Watu Wasiojua Mpira Kama Wewe! Zile Stats tu Za Timu yako dhidi ya Mpinzani Zinawashindeni...

Na Ukenda Mbali Kidogo Tu Ukwaambia Wale Compulsive Liars Wanaojidai Kuipenda Chelsea Kabla Ya Morinho Wakutajie Vikosi vya Man U na Chelsea ambavyo Chelsea iliidungua Man U goli 5 kwa Bila Mwaka 1999 na ikaamsha Furaha Kwa Sote wapinzani Wa Man U, Basi Munashondwa Kutaja...
 
Kabla Maihno ajatua darajani ..nilikuwa mshabiki namba tatu Chelsea kwa hapa bongo [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo wewe umeletwa na abramo hapo darajani? Mimi sio chelsea fan ila nimeijua chelsea kipindi gullit anawalaza wachezaji wenu na vichupi kwenye hostel za mabint kisa wazembe uwanjani
 
Kwahiyo wewe umeletwa na abramo hapo darajani? Mimi sio chelsea fan ila nimeijua chelsea kipindi gullit anawalaza wachezaji wenu na vichupi kwenye hostel za mabint kisa wazembe uwanjani
ahahahah umeua baba
 
Unaweza kujua zaidi yangu ..lakini haiondoi ukweli kwamba kikosi chenu ni finyu sana ...mbaya zaid mna mashindano mengi ...utakuja niamini pale Hazard, Morata na Willian watakapo zichana nyavu za Anfield.

Sent using Jamii Forums mobile app

 
Unaweza kujua zaidi yangu ..lakini haiondoi ukweli kwamba kikosi chenu ni finyu sana ...mbaya zaid mna mashindano mengi ...utakuja niamini pale Hazard, Morata na Willian watakapo zichana nyavu za Anfield.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu mbona unaongea sana mpira dk 90 tusubir hiyo SK zikiisha ndio tuongee tatizo la watanzania tunapenda sana kucheza mpira Kwa kutumia mdomo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kujua zaidi yangu ..lakini haiondoi ukweli kwamba kikosi chenu ni finyu sana ...mbaya zaid mna mashindano mengi ...utakuja niamini pale Hazard, Morata na Willian watakapo zichana nyavu za Anfield.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu mbona unaongea sana mpira dk 90 tusubir hiyo SK zikiisha ndio tuongee tatizo la watanzania tunapenda sana kucheza mpira Kwa kutumia mdomo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika mashabiki wasiojitambua EPL,mashabiki wa Liverpool mnaongoza,hamna tafauti na mashabiki wa Asernal yaani mmpomupo tu.
 
Hii comment inaonyesha wewe ni mgeni hapo darajani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…