Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tupo vyema sana jamani!
Klopp sasa alete beki wa kati tu ili Lovren awe anacheza FA Cup na Capital One
Tutakuwa tupo ok sana!
Klopp is a best coach
 
Mshabiki wa Liverpool hata HAPA!
Team ikipoteza mnakuja sana hapa kumponda Klopp
Team ikifanya makubwa kama yale ya jana HAMNA anayetoa hata pongezi
TUBADIRIKE!
Klopp ni mmoja wa makocha wazuri tena wa Low budget dunia ya soka kuwa nao!
Kauli zetu tukifungwa kumponda KLOPP huwa zinanishangaza sana!
Hata the Greatest Bill Shanky na Babu Farguson walikuwa wanapoteza games
 
game ya jana imenikumbusha ile LFC ya first phase ya msimu uliopita (August - December 2016).

kwa mpira ule hakuna yoyote kwenye top 6 (au timu yoyote nyengine itakayojifanya kutuchezea attacking football) atakayebaki salama. watakuwa wanatufunga lakini am sure tutakuwa tuna over-score.

kwenye UCL, sina hofu kwa vile tunakwenda kama underdogs. kuna watu tutawashangaza huko...roho yangu kwatu kabisa!

improvement inayotakiwa kufanyika IMHO...

1. JK amchukue Jammie Carragher kama mmoja wa technical assistants for a counselling role to Lovren & co pale nyuma.
bado mimi naamini tatizo la defence yetu haliko kwenye personnel. lipo kwenye system!

2. reinforcements kwa ajili ya kuongeza depth. tupate CB 1 na achorman 1 (tukipata the likes of Matip & Can si vibaya kwani kupata A-listers equivalents to VVD / Keita kwa sasa hivi is not feasible anymore labda next window).
pia pale mbele - tunahitaji 1 physical (almost a giant) CF. hii ni kwa ajili ya plan B pale penetration system pale mbele itakapogoma.

YNWA!!
 
Mshabiki wa Liverpool hata HAPA!
Team ikipoteza mnakuja sana hapa kumponda Klopp
Team ikifanya makubwa kama yale ya jana HAMNA anayetoa hata pongezi
TUBADIRIKE!
Klopp ni mmoja wa makocha wazuri tena wa Low budget dunia ya soka kuwa nao!
Kauli zetu tukifungwa kumponda KLOPP huwa zinanishangaza sana!
Hata the Greatest Bill Shanky na Babu Farguson walikuwa wanapoteza games

hongera kwa kuliona pia,yaani ni sekunde tu watu imani inawatoka,
 
Dogo yupo vizuri sana, Ila imekua tofauti kwa Gomez msimu ule kabla ajapata majeraha alikuwa poa sana ila sasa hivi nina mashaka sana na kiwango chake, ila ngoja tuone time will tell.

YNWA.
....jana Gomez kachangia pakubwa goli la pili !
 
a71d7107d6c9e193eabe97757558e478.jpg
 
Mshabiki wa Liverpool hata HAPA!
Team ikipoteza mnakuja sana hapa kumponda Klopp
Team ikifanya makubwa kama yale ya jana HAMNA anayetoa hata pongezi
TUBADIRIKE!
Klopp ni mmoja wa makocha wazuri tena wa Low budget dunia ya soka kuwa nao!
Kauli zetu tukifungwa kumponda KLOPP huwa zinanishangaza sana!
Hata the Greatest Bill Shanky na Babu Farguson walikuwa wanapoteza games

Wakuu Kama umetuquote vizuri basi ni kwamba hatupondi ufundi wa Klopp bali tunalalamikia Falsafa yake anayopenda kuwaaminisha watu...

To be honest Klopp ni Kocha Mzuri! lakini Timu anayotutengenezea ni timu ya kupambana si zaidi ya Miezi 4 (August to end of November)....
Kikosi tulichonacho hakiwezi Kucheza Ligi zaidi ya Moja (Yaani EPL, EFL, FA and UEFA)..
Kwavile hatuna Kikosi Kipana, atalazimika Kupumzisha Wachezaji kwa ajili ya UEFA hapo ndiyo tutaona kikosi cha kina Woodban na origi kinavyotugalagaza EPL kikosi ambacho katu hakiwezi kuwa na Plan B..
Mkuu Klopp ni Lazima asajili ili tuwe na kikosi kipana... Kwa ajili ua FA, EFL, EPL na UEFA.


hongera kwa kuliona pia,yaani ni sekunde tu watu imani inawatoka,
 
Wakuu Kama umetuquote vizuri basi ni kwamba hatupondi ufundi wa Klopp bali tunalalamikia Falsafa yake anayopenda kuwaaminisha watu...

To be honest Klopp ni Kocha Mzuri! lakini Timu anayotutengenezea ni timu ya kupambana si zaidi ya Miezi 4 (August to end of November)....
Kikosi tulichonacho hakiwezi Kucheza Ligi zaidi ya Moja (Yaani EPL, EFL, FA and UEFA)..
Kwavile hatuna Kikosi Kipana, atalazimika Kupumzisha Wachezaji kwa ajili ya UEFA hapo ndiyo tutaona kikosi cha kina Woodban na origi kinavyotugalagaza EPL kikosi ambacho katu hakiwezi kuwa na Plan B..
Mkuu Klopp ni Lazima asajili ili tuwe na kikosi kipana... Kwa ajili ua FA, EFL, EPL na UEFA.
Hili ndio nilikuwa nalizungumzia hata mimi mkuu sio kuwa naponda ila tuongee tuu ukweli kikosi sio kipana tunahitaji kuongeza wachezaji haswa kwenye midfield na kwenye defence ila sidhani kama ilo litatokea maana muda ushaenda na kocha nae kashaonesha na squad ya sasa , watu wanaridhika na game za mwanzo tuu wakati league na tournaments nyingine hazijachanganya, ngoja tuone itavokuwa.

YNWA
 
Inadaiwa dogo yupo very low ! Kuna wapambe wanamshawishi aite press conference kushinikiza exit
sasa kama yupo very low nyinyi wa nini sasa muacheni dogo akatafute maisha sehemu nyingine chukueni hela hizo
 
sasa kama yupo very low nyinyi wa nini sasa muacheni dogo akatafute maisha sehemu nyingine chukueni hela hizo

Ilikuwa ukawashauri Barca Kwanza, Kwanini matajiri Wanapomtaka Messi wao Hawamuachii Bali huruka kidete na Kusema "Messi hauzwi Kwa gharama yoyote"?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom