Tunashiriki ila itabidi kucheza round za mwanzo kupata nafasi ya makundi moja kwa moja so round za Mwanzo unapelekwa zile nchi za barafu mbaliiii timu za Alhamisi.Hi inamaana man u akishinda uropa hatushiriki uefa au??
Mkuu Pazi upo??! sijakuona jukwaani kitambo aise, wanakopites hivi round za mwanzo katika UEFA huwa wanazingatia kitu gani katika kupangilia zile mechi kabla ya kufika hatua ya makundi?Tunashiriki ila itabidi kucheza round za mwanzo kupata nafasi ya makundi moja kwa moja so round za Mwanzo unapelekwa zile nchi za barafu mbaliiii timu za Alhamisi.
Tunashiriki ila itabidi kucheza round za mwanzo kupata nafasi ya makundi moja kwa moja so round za Mwanzo unapelekwa zile nchi za barafu mbaliiii timu za Alhamisi.