Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Moja kati ya performance mbovu kabisa Liverpool wame perform. Hatuwezi kupata top 4 kwa aina hii ya uchezaji. 90 minutes tunapiga shot 4 tena off targets! Top four tukipata si kwa sababu sisi tumefanya vizuri, hapana ni kwa sababu timu kina united na Arsenal wamefanya vibaya.
Kikosi hiki kinatakiwa kufanyiwa over haul. Yaani sub zetu ni sturridge na Moreno! Tuacheni utani hii timu ni mbovu hakuna haja ya kujifariji.
 
Sijaelewa ni nini hasa goalkeeper wa soton alimwambia milner kabla ya kupiga ile penalty. Je alimuhadaa? Sababu inaonekana wanazungumza kama kwamba wanapeana kuna kitu cha siri kati yao.

Mimi nadhani alimdanganya sisi gatyna cha kupoteza piga piga kushoto mimi niruke kulia. Alipopiga tu naye karuka kushoto, na akaicheza ile penalty.
 
Moja kati ya performance mbovu kabisa Liverpool wame perform. Hatuwezi kupata top 4 kwa aina hii ya uchezaji. 90 minutes tunapiga shot 4 tena off targets! Top four tukipata si kwa sababu sisi tumefanya vizuri, hapana ni kwa sababu timu kina united na Arsenal wamefanya vibaya.
Kikosi hiki kinatakiwa kufanyiwa over haul. Yaani sub zetu ni sturridge na Moreno! Tuacheni utani hii timu ni mbovu hakuna haja ya kujifariji.

Nakubaliana na wewe kabisa na ukweli ni mchungu siku zote, kuingia top 4 kwa kikosi hiki na ushindi wa kubahatisha bahatisha tusahau kabisaa, hapa ni kocha ajipange msimu ujao anunue wachezaji wazuri la sivyo namba yetu ya siku zote inatuita.

YNWA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom