daniel enocy
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 380
- 413
According to echo fab is not top target of klop
You are not serious aiseeTop 4 ileeee tunaikosa....rejea maneno ya anceloti alivotaka pewa kazi ya ukocha
You are not serious aisee
Liverpool anamaliza wa 3 mbele ya Man City
Man U atacheza CL sababu atachukua Europa Cup
Arsenal,Everton na mwingine yyt watacheza Europa ligi
palace wangese, washapigwa 3 na cit kama wamesimama wakt tulivyocheza nao walituaibisha

Leo ushindi unatuhusu wa goli kama sita
Tunavo uhitaji huo ushindi leo ntaumia sana leo tukifungwaLeo mnakalishwa 3-1 hamwezi wafunga madogo. ...
Yule jamaa anakazi nzito sana ila kuna watu hawaoni kabisa yule mtu kwake ni kati ni mtam sana hucheza kwa ajili ya team tu namkubali sanaHii issue ya gini kutakiwa Madrid ipoje pls
Isiwe kwa pesa nyingi mana anaelekea tayarJuergen Klopp wants to sign Cesc Fabregas. (Express)
Pengo la Mane Sadio linaonekana waziwazi...Origi haupo mchezoni unachezea bahati hiyo ohooo wazungu hao
Sana mkuu huyu anapata bahati yakupangwa hata jitihada hafanyiPengo la Mane Sadio linaonekana waziwazi...