Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

df9c113740df6653d91a02133dd3ea25.jpg


Ni Kweli Tumepigwa Ban Kutosaini Mchezaji Yoyote Kutoka Katika Vilabu Vya Kiiengereza Kwa Ngazi Ya Academy Kwa Muda Wa Miaka 2.... Lakini Ban Hii Haitahusisha Wachezaji Wa Kigeni Kutoka Nje Ya Uiengereza Kwani Tunaruhusika Kuwasajili....
Hata Hivyo Kwa Kiasifulani ni pigo kwa Timu yetu....

"Liverpool have been handed a two-year ban on signing any player who has been with another Premier League club or any English Football league Club in the previous 18 months. Foreign deals are not affected."
 
Spurs Ameshalaliwa Kamoja... Kama Naiyona Nafasi Ya Pili ikitunukia Msimu huu iwapo na Man City atalaliwa pia.....
 
39 mins - Goal! Liverpool 1, Bournemouth 1. Philippe Coutinho (Liverpool) right footed shot from the centre of the box to the bottom left corner. Assisted by Roberto Firmino with a through ball.
 
58 mins - Goal! Liverpool 2, Bournemouth 1. Divock Origi (Liverpool) header from very close range to the high centre of the goal. Assisted by Georginio Wijnaldum with a cross.
 
Tumeshamaliza Mechi Zote Na Timu Kubwa (Top 6) ambazo Ndio Zilizotupa Points Nyingi Sana....
Sasahivi Tumebakisha Mechi 7 na Vibonde! Sijui Kama Tutashinda Angalau 4 kati ya Hizi 7 manake Klopp Kwa Vibonde Huwa Hana Mbinu.....
Na Huu Mzimu wa Mane Nahisi Unataka Kutuandama tena.....
 
Liverpool XI vs. Stoke: Mignolet; Clyne, Lovren, Klavan, Matip, Milner; Can, Wijnaldum; Alexander-Arnold, Woodburn, orig
 
Kikosi cha leo...

Liverpool:
Mignolet, Clyne, Matip, Klavan, Milner, Can, Wijnaldum, Lallana, Mane, Coutinho, Origi

Subs:
Karius, Gomez, Moreno, Lucas, Woodburn, Wilson, Alexander-Arnold

Hapa Ukiangalia Kwenye Subs ndio Utaona Rasmi Uzembe Wa Klopp Kuifanya Timu Yetu Kuwa na Kikosi Chembemba Namna hii....
Yani haina Strong Bench kabisa!!! Tukipata injury basi atakaeingia basi wakuingiza Sub hatuna.....
kwel kabisa mkuu yaan tunachezesha hadi yule dogo mwenye miaka 17 kweny big match
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom