Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

88 min Woodburn’s fierce 25-yard shot is blocked. He looks a tremendous prospect.

3381.jpg

Woodburn rues his missed chance.
 
63 min The goalscorer Can is booked for a foul on Barnes. The resulting free-kick almost leads to an instant equaliser for Burnley. It pinballed around the area until Barnes’s close-range shot was desperately blocked by a combination of Klavan and Lallana.

2679.jpg

Barnes and Can clash
 
55 min A good counter-attack from Burnley. Barnes peels away to the left to receive Barton’s crossfield pass. He has Gray in the centre but his cross is cleared by Klavan. A few seconds later, Barnes hoofs a volley into orbit from a tight angle.

3123.jpg

Barnes sends one into orbit.
 
GOAL! Liverpool 1-1 Burnley (Wijnaldum 45+1)


Liverpool equalise on the stroke of half-time. After a very neat passing move, Origi curls in a cross from the left towards Wijnaldum. His flick hits Mee and lands invitingly in front of goal, where Wijnaldum has time to compose himself and force the ball past Heaton.

4071.jpg

Wijnaldum scores the equaliser.
 
Hivi wewe umeshawahi angalau Kucheza Chandimu ili tujue ufahamu wako Katika Soka ni Upi?

Kwanza Ufahamu Wazi Kuwa Hakuna Hata Mchezaji Moja Duniani Mwenye Jina Kubwa Ambaye Chelsea ikawa ni timu ya Ndoto Yake!!!! Takriban Wachezaji Wote Wanaojiunga Na Chelsea basi si Kwasababu Ya Ukubwa Wake, bali ni All about money! Nothing else...... Wachezaji Wangapi Wenye Majina Wasiohadalika Na Hela Waliikataa Chelsea? Au umeshasahau Kina Robinho, Ronaldinho?

Hao Kina Hazard Wote Ndoto Zao Zipo Kwa Real Madrid na Barcelona na Wala si Chelsea! Bali Wameekwa Pale Chelsea Na Hela tu £200000+ per week.....

Kwahiyo Ni Aibu Kuisema Vibaya Milan na Ukasema Si Timu Kubwa bali Timu Kubwa ni Kigenge cha Chelsea.....

Kwa Kipi Ulichikifanya Hata Chelsea Ukamzidi Man U, Liverpool na Arsenal kwa Ukubwa??

Timu Hata Washabiki Haina ikisha Unaita Timu Kubwa?? Liverpool na Manchester Zina Matawi Dunia Nzima na Mabalozi Wanaowakilisha Matawi Hayo Waoi Dunia Nzima! Je Chelsea umewahi Kusikia ina Tawi Pahala popote?
Mashabiki wewenyewe Mumenunuliwa na Abramovic Kutoka Man U na Arsenal mwaka 2004 halafu timu ya Mashabiki Wa Kununua eti inajiita Timu Kubwa...!!!

Kwa Suala la Chelsea Kuwa Timu Kubwa Kwa Ngazi Ya Ulaya hilo Bado sana! Sahau hasa.......
Robihno yule aliyepita Man city ndo hadanganyiki na hela?seriously?

Hizo pesa zinazomwagwa na Barcelona na Madrid kila msimu kukununua wachezaji huzioni, hao wachezaji kwenye ndoto za kuchezea huko si wangeenda kwa pay cut basii angalau ningeelewa kidogo.

Gerald alibaki Liverpool akiwa katika peak yake kwa sababu ya mapenzi na timu, ila hata Lampard na Terry wote walibaki Chelsea sababu ya mapenzi na timu, au kwa kuwa ni Chelsea hairuhusiwa kuitwa ni mapenzi ya timu?

Hivi uko serious kabisa kuwa huamini kuwa Chelsea ilikuwa na mashabiki africa /Tanzania kabla ujio wa mrusi? Kwa maana sisi tuliokuwa tunawashabikia weusi wenzetu akina Njitap,Babayaro ,Desailly na wengine hatu-qualify kuitwa mashabiki wa Chelsea kwa vigezo vyako?

Andy Carol Wakati anasajiliwa Liverpool ilimbidi Ku google team mates wake maana ukiacha Gerald na wengine wachache alikuwa haijui hata first eleven ya Liverpool, na huyu yuko huko huko U.K.

Hivi umesahau saga la usajili wa Mikel Obi? Alipoulizwa kwa nini amesaini na Chelsea Wakati alishasaini pre agreement na Man Utd alijibu tu kuwa mapenzi yake yako Chelsea ila Mawakala walim pressurelize asaini na "Timu kubwa" mwisho wa siku akachezea Chelsea na sasa yuko huko China anazichuma pesa ,si kweli kuwa wachezaji wote wanaocheza Chelsea wako hapo kwa ajili ya mshahara tu , wapo wengi wanaoweza kwenda kuchukua mishahara mikubwa ila wameamua kubaki chelsea.
 
Hongereni maini(liver mmeshinda team ndogo ng'ang'ania hapo hapo man u aendelee wa sita kwani nini...
 
Winning ugly is something we need to do more of! We can win playing great, we've shown that. This is a new face we need to show more often.
 
MAJOGOO yanaenda kumpiga Man City kwake
Burnely ni mechi ngumu zaidi ya Man City
Kitakacho waponza Man City watajaribu kucheza mpira na ndipo hapo watapigwa easy!
 
Robihno yule aliyepita Man city ndo hadanganyiki na hela?seriously?

Hizo pesa zinazomwagwa na Barcelona na Madrid kila msimu kukununua wachezaji huzioni, hao wachezaji kwenye ndoto za kuchezea huko si wangeenda kwa pay cut basii angalau ningeelewa kidogo.

Gerald alibaki Liverpool akiwa katika peak yake kwa sababu ya mapenzi na timu, ila hata Lampard na Terry wote walibaki Chelsea sababu ya mapenzi na timu, au kwa kuwa ni Chelsea hairuhusiwa kuitwa ni mapenzi ya timu?

Hivi uko serious kabisa kuwa huamini kuwa Chelsea ilikuwa na mashabiki africa /Tanzania kabla ujio wa mrusi? Kwa maana sisi tuliokuwa tunawashabikia weusi wenzetu akina Njitap,Babayaro ,Desailly na wengine hatu-qualify kuitwa mashabiki wa Chelsea kwa vigezo vyako?

Andy Carol Wakati anasajiliwa Liverpool ilimbidi Ku google team mates wake maana ukiacha Gerald na wengine wachache alikuwa haijui hata first eleven ya Liverpool, na huyu yuko huko huko U.K.

Hivi umesahau saga la usajili wa Mikel Obi? Alipoulizwa kwa nini amesaini na Chelsea Wakati alishasaini pre agreement na Man Utd alijibu tu kuwa mapenzi yake yako Chelsea ila Mawakala walim pressurelize asaini na "Timu kubwa" mwisho wa siku akachezea Chelsea na sasa yuko huko China anazichuma pesa ,si kweli kuwa wachezaji wote wanaocheza Chelsea wako hapo kwa ajili ya mshahara tu , wapo wengi wanaoweza kwenda kuchukua mishahara mikubwa ila wameamua kubaki chelsea


Robihno yule aliyepita Man city ndo hadanganyiki na hela?seriously?

Hizo pesa zinazomwagwa na Barcelona na Madrid kila msimu kukununua wachezaji huzioni, hao wachezaji kwenye ndoto za kuchezea huko si wangeenda kwa pay cut basii angalau ningeelewa kidogo.

Gerald alibaki Liverpool akiwa katika peak yake kwa sababu ya mapenzi na timu, ila hata Lampard na Terry wote walibaki Chelsea sababu ya mapenzi na timu, au kwa kuwa ni Chelsea hairuhusiwa kuitwa ni mapenzi ya timu?

Hivi uko serious kabisa kuwa huamini kuwa Chelsea ilikuwa na mashabiki africa /Tanzania kabla ujio wa mrusi? Kwa maana sisi tuliokuwa tunawashabikia weusi wenzetu akina Njitap,Babayaro ,Desailly na wengine hatu-qualify kuitwa mashabiki wa Chelsea kwa vigezo vyako?

Andy Carol Wakati anasajiliwa Liverpool ilimbidi Ku google team mates wake maana ukiacha Gerald na wengine wachache alikuwa haijui hata first eleven ya Liverpool, na huyu yuko huko huko U.K.

Hivi umesahau saga la usajili wa Mikel Obi? Alipoulizwa kwa nini amesaini na Chelsea Wakati alishasaini pre agreement na Man Utd alijibu tu kuwa mapenzi yake yako Chelsea ila Mawakala walim pressurelize asaini na "Timu kubwa" mwisho wa siku akachezea Chelsea na sasa yuko huko China anazichuma pesa ,si kweli kuwa wachezaji wote wanaocheza Chelsea wako hapo kwa ajili ya mshahara tu , wapo wengi wanaoweza kwenda kuchukua mishahara mikubwa ila wameamua kubaki chelsea.

kalou bhana..

hiyo ishu ya Andy Caroll sijawahi isikia kabisa. Naisikia kwako kwa Mara ya kwanza Aisee.

And Obi??? Man cried baada ya Move yake ya Utd ku-collapse..

i hate Man utd more than any other club in this world, but lets be honest here, who w'd choose Chelsea over United? Iwe kwa mapenzi binafsi au kwa pesa.

fatilia saga ya Obi Mikel, kiundani kidogo, Chris Hatherall wa Telegraph alishawahi kuireport kwa kifupi sana

Obi Mikel cried when Man Utd move failed - Telegraph Obi Mikel cried when Man Utd move failed
 
Liverpool will wear a new crest on next years kit to commemorate the 125th anniversary, which will be revealed in April.
 
MosDef nipe hiyo link ya Mikel kulia baada ya deal yake ku collapse ,

Mos bhana, kwa hiyo no player would choose Chelsea over Man Utd?

Alan Shearer says he has no regrets over his decision to snub Manchester United.

Shearer: No United regrets


wako wengi tu mkuu, labda kama unataka more links za wachezaji walioikataa "Timu Kubwa" kama Man United au Liverpool wakaamua kuchezea "Timu ndogo" kama Chelsea kwa mapenzi tu wala sio pesa
 
MosDef nipe hiyo link ya Mikel kulia baada ya deal yake ku collapse ,

Mos bhana, kwa hiyo no player would choose Chelsea over Man Utd?

Alan Shearer says he has no regrets over his decision to snub Manchester United.

Shearer: No United regrets


wako wengi tu mkuu, labda kama unataka more links za wachezaji walioikataa "Timu Kubwa" kama Man United au Liverpool wakaamua kuchezea "Timu ndogo" kama Chelsea kwa mapenzi tu wala sio pesa

Chris Hatherall ashawahi kureport hii Saga ya Obi Mikel. He wanted to join Utd..

And maneno ya wachezaji baada ya kusign kwenye new club huwa ni kukeep it proffesional tu..nothing else..

Obi Mikel cried when Man Utd move failed - Telegraph Obi Mikel cried when Man Utd move failed
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom