Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Acha kuongea kwa kujifuraisha wewe ..unampiga man city moja wakati uko nyumban!! Mimi nilimpiga tatu akiwa kwakee ...upoo!! Ivo ata Toti atakufa tu maake hamna namna sasa. ..
Ujiandae na wewe Costa mtoa roho yuko njiani kuja kwako.
Haina Haja Ya KukuQuote Wewe Tena Baada Ya Reply hii Kwani Umeonesha Wazi Kuwa NinamQuote Mtu Asiyejua Mpira...
Mpira Haupimwi Kwa Makisio Ya Timu Nyengine...
Huwezi Kusema Eti City nimeifunga Moja Uwanjani Kwangu Wakati wewe Umeifunga Tatu Uwanjani Kwake!!! Lol....
Kama Hichi Ndiyo Kipimo Cha Ubora, Mimi Arsenal Nimempiga 4 uwanjani Kwake na Kwenye Uwanja Huohuo Kakupiga wewe 3! Je, Huoni Kama Nawewe Away Game Za Top 4 zinakuzingua??
Mkuu Usitutie Aibu Kwenye Jukwaa Letu, Sisi Hapa Hutuendani Na Uchambuzi Uchwara Kama Huo....
