Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu Liverpool siyo timu wala club bali ni culture.

Hakuna anayefanya maamuzi ya kushabikia Liverpool maana ni lazima kushabikia Liverpool.

Hata hawa haters, deep down ni die hard fans wa Liverpool ndo maana hawakauki kwenye huu uzi.

Kwa maana Liverpool ni utamaduni, nami nimeishi kwenye utamaduni huo tangu nikiwa mtoto mdogo kabisa.
Y.....................................N...............................................W........................................A
Excellent.!!! mkuu pamoja.....YNWA
 
sturridge akiwa fit huwa kuna vitu vya utofaut anavyo japo sometimes anazingua sna, kama leo ameonyesha umuhimu wake, all in all kulikua na excellent team performance
 
Hivi Sturridge bado mgonjwa ama?
Kwani hukumuona zile DK za msalie Mtume? naona Wenye chuki hawajaongelea Barkleys angepewa Red Card walisubiri iwe upande wetu tehteh! Leo Lovren Manofthematch ubavu ule Lovren anacheza kwa kutulia kuliko kushoto, Raha sana kuwafunga Watani sababu hawa Watani wetu wanashindana na wale wapinzani wetu Manure, Manure upinzani hakuna wacha washindane na Everton tu. Beki leo zilitulia.
 
229e22b0e0d78bfeaf8e85d7bdb927d0.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom