Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jana Pulis alipigiwa mpira mpaka akachanganyikiwa ndani ya dk 15 za mwanzo wa game amemaliza sub zote

Pulis. Aliangalia sana ile game yetu na Man utd na yeye akaset up timu yake vile vile kama mourinho mbaya zaidi Liverpool lallana alianza na tukatumia quick passes na counterattack kumfunga na bado tulikuwa tunapossess mpira.

Man utd did a great jib kutoka na point anfield ile jumatatu. WBA walikosa valencia na baily

Naona tuna improve kidogo kwenye defense, kwenye game na man utd tulitoa kona moja tu throughout the game, na jana kona moja au mbili, ni good progress sasa kazi inaamia kwa crystal palace next Saturday

Janjaweed , The Boss ,Asprin njooni naona kama kuna uelekeo mzuri huku
Ahsante kwa mwaliko huu. Kwakweli inatia matumaini...

Huyu Chelsea naye vipi?? Naona anakuja kwa kasi huyu....
 
Domokaya akatumia zaidi ya wiki mbili kutafuta namna ya kuja kupaki makontena ya 40ft Liverpool, alipobahatisha kupata sare akaanza kuchonga wiki nzima badala ya kushughulikia kuyahamishia makontena yake London! Leo tuone atasingizia nini...
 
Crystal palace tutawafunga kwao kwa kuwa wanacheza mpira wa kufunguka.Watakuja sana golini kwetu kutaka kufunga na kuondoka ns poit zote following their recent results.Kasi yetu itatusaidia kuwafunga kwa transition.

Benteke ndio anaweza kutufunga lakini goli lake litakuwa la kufutia machozi.Point tatu zote tutazichukua ukizingatia hakuna internatinal break hapo katikati
But tuna tough game na totts
 
Nikimuona owen huwa nabadili hadi channel, I just brand him 'Judas' .... alini-disappoint sana.

Hivi bado tu ni official ambassador?
Kinafiki sana sikipendi mie siku hizi juzi kajifanya alitaka Liverpool ishinde ligi ilivyoanza alikuwa anasifia United! akitangaza mpira lazima uweke Mute! Benitez alipatia kukauzia mbali.
 
sorry kaliandika ametaka LFC ishinde zidi ya westbroom, Ligi ilivyoanza kasema United ni kali itashinda ligi akawa blah blah nyingi watu kumjia juu kuhusi avuliwe ubalozi kaanza kujifanya anaijali LFC! wenye kuijali wanataka kurudi kina Steven Gerrard atapewa Under 23 au Tole ya England.
 
Klopp: "'Who needs clean sheets when you get three points?"
Hahah Klopp said this to the press. But in the dressing room, they (Klopp and Players) both talk about & aim for the clean sheet.

this is called professionalism. Leave the press for Mourinho and alike.

Anyway, we need three points that's all!

YNWA!

Let us now restore our European respect! Let us show them what Liverpool real is. They seemed to forget abit!
 
I never worry when we play big five teams. We usually work it out! I used to worry about midtable teams, but for now I think Klopp's already put that in his concern. For any team to lift up the trophy, it must collect the points from these midtables' teams.

Anfield is thirsty for the glory. Hello! Hello! Hello! We are coming for what is ours!

THE FAMOUS RED TEAM IN THE WORLD!

Let us bring back our fear factor!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom