Lets talk about Michael Owen.
Suala lake la kwenda Man utd, lilifanya tufute kumbukumbu zake zote alizoifanyia LFC, but to be honest, Michael owen ni one of greatest strikers ambao tuliwahi kuwa nao.
Ofcourse kwenda kwake utd, kuliinua chuki kwa mashabiki wa LFC, na tangu siku hiyo Michael Owen amekuwa kama Stranger kwa LFC fans, i can say status yetu sisi LFC fans kwa Owen haina tofauti na ile ya kina Milan Jovanovic. I admit mimi pia nilimchukia sana Owen, simply because he went to utd.
But baada ya muda mrefu alitoa dukuduku lake, alisema he tried kurudi LFC, alijaribu hata kumuomba Carragher aongee na wahusika ili apate nafasi ya kurudi LFC, but we rejected him, then Fergie akamfata, i mean at that time wakat career yake ishaisha, Owen was a nobody kipind kile, na BOOM anapewa nafasi ya kushinda Premier league title na Fergie, angekataa? wakat kishaomba kurudi LFC na tukamtosa? Lets be honest here, even Our greatest player ever (in my opinion) Steven Gerrard tried to leave us for Chelsea (sad truth). Sababu ya msingi ilikuwa ni kushinda PL title. Shit happens kwenye football.
So lets just move on. Michael Owen anajua alifanya mistake, thats why he's trying so hard kujirudi right now, he had no choice to be honest. A lot of LFC fans (including me) bado wanampenda Luisito, but damn man tried to leave us for Arsenal. Torres left us for Chelsea but sijawahi kumchukia, matter of fact he's my favorite LFC striker to ever wear the famous red jersey.
I've decided to move on kuhusu Owen. As a LFC fan nishapitia a lot of dissapointments, but sijawahi kurudi nyuma au kuichukia club.and will never trade this club for anything. Maybe naweza nikaitrade na Simba SC or Kaizer lol (btw i happen to follow Simba and kaizer aswell) so my fellow Redmen ambao mnasupport Yanga na Bucs me ni rival wenu mkubwa kwa hili eneo jingine loooool hahaha. Barcelona wakipoteza game naumia pia. Fan of Al-Ain pia.
But i've to admit what matters the most ni Liverpool football club. Happy to say me ni supporter wa LFC siyo fan wa LFC. And nitamtambua Owen kama Legend mmoja wapo wa LFC.