DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,542
- 2,741
Ndoto hii inaweza kutimia msimu huu Mkuu?Klopp kocha mzuri sana
Hawezi ondoka Uingereza bila kutupa ubingwa huyu
Ndoto hii inaweza kutimia msimu huu Mkuu?Klopp kocha mzuri sana
Hawezi ondoka Uingereza bila kutupa ubingwa huyu
Leo utakuwa umetupia jezi yako ya LiverpoolThe funny thing, makocha wanaosifika kwa kuruka-ruka pembeni mwa uwanja wote wametulia...
Kama JK atapata mbinu za kuzifunga teams so called ndogo tunakuwa mabingwa mwaka huu!Kumbuka kuwa JK atazifunga hizi Man City na United kiurahisi tuNdoto hii inaweza kutimia msimu huu Mkuu?
Leo utakuwa umetupia jezi yako ya Liverpool
Wakati nilipotaka kuanza kujiaminisha kuwa leo wanaweza kushinda...wakanikumbusha kuwa wao ni majogoo wasiowika... hukawii kuona wanakuja kufungwa hii mechiHaya ndio matatizo ya Liverpool, huwezi kubet kuwa watashinda. Hata Pazi mwenyewe leo atakuwa hajakwendwa mitaani lol.
Kabisa!Kama JK atapata mbinu za kuzifunga teams so called ndogo tunakuwa mabingwa mwaka huu!Kumbuka kuwa JK atazifunga hizi Man City na United kiurahisi tu
Nikiifunga Hull bila tatizo na teams Kama WBA au Watford nakuwa bingwa
Dah mkuu ulipitia JKT Makutupora nini? Mbona unakuwa na moyo mgumu hivi..Kama JK atapata mbinu za kuzifunga teams so called ndogo tunakuwa mabingwa mwaka huu!Kumbuka kuwa JK atazifunga hizi Man City na United kiurahisi tu
Nikiifunga Hull bila tatizo na teams Kama WBA au Watford nakuwa bingwa
Mkija kucheza soka la heavy metal pressing na Liverpool tunawafunga kiurahisi tuDah mkuu ulipitia JKT Makutupora nini? Mbona unakuwa na moyo mgumu hivi..
Yaani hiki kimeo kiifunge City na Utd tena kirahisi kabisa?
Kwani itakuwa ni mara ya kwanza?Dah mkuu ulipitia JKT Makutupora nini? Mbona unakuwa na moyo mgumu hivi..
Yaani hiki kimeo kiifunge City na Utd tena kirahisi kabisa?
Nimeisave hii comment yako kwa ajili ya matumizi ya baadaeKwani itakuwa ni mara ya kwanza?
Hilo jiji la Manchester na jiji la London yote tunayavuruga tu!
Mkongwe huyoLucas atawapa Chelsea advantage, ingawaje Coutinho was no existence mechi nzima