Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hata Lovren ataanza Ijumaa
What as depth?
Lovren na Matip na mbele yao Can kama atapona au Lucas ataendelea
Mbele Dan atasubiri sabababu Coutihno atakuwa 100% fit
Na uchovu wake wa masaa mengi angani alipo ingia akaupiga mwingi sana!!


Yeah.

Ijumaa, itakuwa ni Matip-Lovren, hakucheza jana kwasababu alipata matatizo kidogo Ijumaa kwenye training, so Klopp akamweka pembeni kabisa ili ijumaa awe fit. Nadhan J3 ataendelea na mazoezi kama kawaida.

Can kafanya mazoez kwanzia Alhamis..ila hakuwa match fit, so Ijumaa atakuwepo..Can, Hendo na Lallana ndo utakuwa midfield..ni vizuri amerudi Aisee.

Ijumaa, DS akianzia bench malalamiko kwenye vyombo vya habar yataanza tena, people wanatakiwa waelewe kuwa kwenye away big games, Firmino lazima aanze, hata kama hafungi lakin pressing yake inatusaidia sana, DS cant press..ndo maana Klopp anamwanzisha kwenye game za home. Na klopp anajua DS ni our important player na anajitahid kumweka injury free..but english medias kutwa zipo na LFC, zina agenda na LFC.
 
Itakuwa BANTER ya century kama Dahoud akienda club nyingine. Hahahaha
 
We've spent 0 money on Matip, nakumbuka jinsi wembeee alivyokuwa akijaribu kunielezea kuhusu huyu mtu. He's only 24.

Debut yake ya kwanza ilikuwa dhidi ya Spurs, at WHL, one of the most attacking teams in the league, but Man played with no pressure, kept Kane on his back pocket, made 0 mistakes..na ilikuwa ni debut, then jana kacheza pia na Champions wa Last season, ambao pia ni attacking team..ungeweza kuona jinsi alivyokuwa composed and calm..keeping it simple. BUT huwezi kuona media/english pundits wakimpa sifa zake, kuna Beki alikuwa anakutana na Farmers na defending teams kwa games tatu mfululizo, kila siku alikuwa kwenye headlines, stats kila kona, arse licking pundits walikuwa all over him..jana katutana na attacking team ambayo ilikuwa without the best ST in the league na naweza kusema ilikuwa toothless upfront (with kids upfront)..Man got destroyed like it was nothing, him and his fellow holland captain. But Bravo's howler ndo ikawa headline.

Imagine if Matip angekuwa destroyed namna ile, and the reason why Lovren had a poor start kwenye career yake ya LFC ni kwamba kila akiwa destroyed ile price tag yake ilikuwa inawekwa on the equation. Now they'll tell you a certain player is adopting kwenye new league after spending years in italy, but Ozil and Firmino were called a "flop" and bullied by medias after their 3-4 games.
 
Yeah.

Ijumaa, itakuwa ni Matip-Lovren, hakucheza jana kwasababu alipata matatizo kidogo Ijumaa kwenye training, so Klopp akamweka pembeni kabisa ili ijumaa awe fit. Nadhan J3 ataendelea na mazoezi kama kawaida.

Can kafanya mazoez kwanzia Alhamis..ila hakuwa match fit, so Ijumaa atakuwepo..Can, Hendo na Lallana ndo utakuwa midfield..ni vizuri amerudi Aisee.

Ijumaa, DS akianzia bench malalamiko kwenye vyombo vya habar yataanza tena, people wanatakiwa waelewe kuwa kwenye away big games, Firmino lazima aanze, hata kama hafungi lakin pressing yake inatusaidia sana, DS cant press..ndo maana Klopp anamwanzisha kwenye game za home. Na klopp anajua DS ni our important player na anajitahid kumweka injury free..but english medias kutwa zipo na LFC, zina agenda na LFC.
Matip tumepata mtu sana,wasi wasi wangu ni January yy na Mane wakienda African Cup of nations!Matip kazaliwa Germany lkn mmoja wa mzazi wake ni Cameroonian na anachezea team yao ya Taifa!Yy na Mane wakiondoka sijui itakuaje aisee

DS jana kacheza kama JK anavyotaka,hajakaa tu mbele kaja hadi nyuma kukaba na naona mabadiliko makubwa kwake ingawa kakosa bao la wazi sana!!

Ijumaa ataanzia bench!Lkn Ings tumem keep wa nn ikiwa hatuna mashindano yyt ya kimataifa?
 
Matip tumepata mtu sana,wasi wasi wangu ni January yy na Mane wakienda African Cup of nations!Matip kazaliwa Germany lkn mmoja wa mzazi wake ni Cameroonian na anachezea team yao ya Taifa!Yy na Mane wakiondoka sijui itakuaje aisee

DS jana kacheza kama JK anavyotaka,hajakaa tu mbele kaja hadi nyuma kukaba na naona mabadiliko makubwa kwake ingawa kakosa bao la wazi sana!!

Ijumaa ataanzia bench!Lkn Ings tumem keep wa nn ikiwa hatuna mashindano yyt ya kimataifa?

Kuhusu AFCON, january ataondoka Mane tu, Matip hatojiunga na Cameroun..that means hatakuwepo kwenye AFCON, so tutaendelea kuwa nae kama kawaida. BUT kuna nafasi kubwa ya kumkosa Mane hiyo January. Dont worry about Matip.

Kuhusu Ings, nadhan Klopp alisema anahitaji 4 STs kwa huu msimu, so we have DS, Origi, Ings na Firmino (False #9)..Klopp likes Ings, but anahitaji Match fitness, ila unaweza ukaona kuwa Klopp rejected zaid ya offers 5-6 za clubs tofauti ambazo zilikuwa zinamtaka Ings..kwasasa anamrudisha taratibu ndo maana anacheza sana kwenye games za U23s, leo pia alikuwa anacheza kwenye game ya LFC U23s dhidi ya Leicester U23s..na Klopp alikuwepo leo uwanjani pia kwenye hiyo game.

Nadhani idea ya kuwa na STs wanne ni nzuri, maana tuna tatizo la injuries, so Ings akiwa match fit, itakuwa ni good option from the bench, jamaa ni poacher, atatusaidia. Ngoja apate kwanza Match fitness..kwa aina ya style ya Klopp (heavy metal football), unatakiwa kuwa fit kuweza kulast 90mins..na ndiyo anachokihitaji Klopp.
 
Matip tumepata mtu sana,wasi wasi wangu ni January yy na Mane wakienda African Cup of nations!Matip kazaliwa Germany lkn mmoja wa mzazi wake ni Cameroonian na anachezea team yao ya Taifa!Yy na Mane wakiondoka sijui itakuaje aisee

DS jana kacheza kama JK anavyotaka,hajakaa tu mbele kaja hadi nyuma kukaba na naona mabadiliko makubwa kwake ingawa kakosa bao la wazi sana!!

Ijumaa ataanzia bench!Lkn Ings tumem keep wa nn ikiwa hatuna mashindano yyt ya kimataifa?

Matip alifanya kitu ambacho nina muda sana sijakion kwenye defense line yetu baada ya mistake ya Mignolet-Lucas Matip haku-complain instead he applauded nikitu ambacho kilimpa moyo sana Lucas

Mane ndo alikuwa man of the match kwangu, he was constant threat kwenye lango Leicester jana. Wachezaji wetu wengine wangekuwa na fighting spirit kama aliyonayo Mane basi tunaweza fanya makubwa zaidi msimu huu
 
Balotelli destroying the farmers kwenye ligue 1.

What a shit league, full of part-time shoe shiners.

Stats padding league.
 
Matip alifanya kitu ambacho nina muda sana sijakion kwenye defense line yetu baada ya mistake ya Mignolet-Lucas Matip haku-complain instead he applauded nikitu ambacho kilimpa moyo sana Lucas

Mane ndo alikuwa man of the match kwangu, he was constant threat kwenye lango Leicester jana. Wachezaji wetu wengine wangekuwa na fighting spirit kama aliyonayo Mane basi tunaweza fanya makubwa zaidi msimu huu
JK ampe Lucas tena Ijumaa kumuinua morale kuwa that mistake was just a part of the game
Lkn ni ngumu sana kuanza kama Lovren na Can watakuwa fit
 
Baloteli kaenda ligi sahihi sana kwake
Kule ataongoza kwa ufungaji mabao
Ataitwa back "Azzuri"
Anataka sana acheze WC Russia 2018
mie sina tatizo na Ballotelli kufanya vizuri kama alivyosema LfC alikosea kuja na LFC ilikosea kumleta! Ballo sio mchezaji mbaya mambo yake ndio anajiangusha mwenyewe tu watu hata hawamuangushi akitulia na akajirekebisha yake tulioyasema basi ni mchezaji mzuri.
 
Lallana anatarajia kusign mkataba mpya ....

Jana nilikuwa nacheki marudio ya game vs the foxes nikagundua kuwa Anfield sasa inatumia nyavu nyeupe nimetafuta sababu sijapata kuna yoyote anajua reason behind?
 
Against the Foxes (Leicester), ile ndiyo tunaita "champagne football". MOTM for me was none other than Mane.

I think we are already in a conversation for an EPL title as soon as the next season - seriously. Jurgen yupo very confident na hii timu kiasi kwamba ameniambukiza hata mimi.

Infact kuna baadhi ya renown pundits tayari wanaipa nafasi LFC kubeba ndoo ya EPL msimu huu (one of them Robbie Savage - a former Manure and former Fox - ame-concede kuwa with some consistency ndoo inatua Anfield msimu huu).

Watch here....



I have a personal view on how to shuffle our front park:

1) Against the Burnley's of this world (which could include Chelsea because they have got an Italian tactician) inahitaji a very pacy frontline... so I would start Mane, Firmino & Sturridge uptop - with one of Cou or Lalana making up the full fray.

2) Against the likes of Arsenal, ManCity, etc it should be Cou, Mane, Firmino - with Sturridge & Lalana competing for the remaining slot.

YNWA
 
Lallana anatarajia kusign mkataba mpya ....

Jana nilikuwa nacheki marudio ya game vs the foxes nikagundua kuwa Anfield sasa inatumia nyavu nyeupe nimetafuta sababu sijapata kuna yoyote anajua reason behind?

Hii Ni Tabia Ya Liverpool Kubadili Rangi Za Nyavu Zake Mara Kwa Mara Kutegemea Na Kocha Aliyepo Kwa Wakati Huo! Ni Makocha Baadhi Huoendekeza Kutumia Nyavu Nyeupe Kuliko Nyekundu, Na Wengine Hilo Sio Tatizo Kwao Kwani Wanahisi Rangi Ya Nyavu iwe nyekundu Au Nyeupe Haiathiri Mchezo!!

Lakini siku Moja Kabla Ya Mchezo Yaani Siku ya IJUMAA kocha JK alisema Nyavu Nyekundu Ziondolewe Golini Na Ziekwe Nyeupe.

Sababu Ya JK na Makocha Wliomtangulia Waliokuwa na Mtazamo Kama Wake

Ni Kwamba Mashabiki Wanaokaa Kwenye Jukwaa lililopo Nyuma Ya GOLI ni Kwamba Wote Huvalia T-Shirt Nyekundu Na Jukwaa ni La Rangi Nyekundu! Sasa inawapa Ugumu Mastrikers Kulilenga Goli Kwani Rangi Ya Sare Za Mashabiki inaingiana na Rangi Ya Nyavu Kwahiyo Huwachanganya Washambuliaji.
Lakini Rangi Nyeupe Wanakuwa Wanaiona Kiurahisi Palipo Na Mashabiki Waliovalia Wekundu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom