Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii ya Coutinho itaeenda mwisho utasikia wanachukua pesa wenzetu wapo Kibiashara sie tupo na uchungu wa timu, LFC owner wasituzingue hapana kuuza wao wanunue vifaa.. Ukiona Paul Joyce wa Express kaongea ujue kuna ukweli, LFC owner asilete ujinga nitaondoka na Linda shaurizake naye atawekewa dau.
 
price inayoongelewa ya Phil iko around £45,..
summer summer don't "summer sort" us negative
we've to sign talented players mana huku Guardiola,Morinho,Conte,"Wenger" Pochetino, Ranieri ligi inatuhitaji usajili wa nguvu,..ukzubaa tu...
owners we are not Shamba la bibi,..
 
Cou anawa-inspire madogo wengi sana pale academy move yake ikitokea wengi watavunjika moyo...

PSG kweli hapamfai ila kama naye yupo after money kuliko football ata-move

Barca wakiamua kukaza najua lazima aende tu nadhani Suarez atakuwa anamsimulia mambo mazuri

All the best kwa little magician
 
June ndio imeanza tayari majogoo mmeanza kukata tama ? Ni wakati wa fununu na tetesi za uzushi wa kutosha unaweza ukaskia Liverpool wanamtaka kumsaili Juan Mata
Hivi Malafyale bado anavuna mihogo kule Ikwiriri
 
June ndio imeanza tayari majogoo mmeanza kukata tama ? Ni wakati wa fununu na tetesi za uzushi wa kutosha unaweza ukaskia Liverpool wanamtaka kumsaili Juan Mata
Hivi Malafyale bado anavuna mihogo kule Ikwiriri
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
June ndio imeanza tayari majogoo mmeanza kukata tama ? Ni wakati wa fununu na tetesi za uzushi wa kutosha unaweza ukaskia Liverpool wanamtaka kumsaili Juan Mata
Hivi Malafyale bado anavuna mihogo kule Ikwiriri
nimecheka sana anakutafuta akuuzie Kisamvu upitishe ofisi ya TFF kula Green muhimu wapate akili ya kukuza vipaji.
 
June ndio imeanza tayari majogoo mmeanza kukata tama ? Ni wakati wa fununu na tetesi za uzushi wa kutosha unaweza ukaskia Liverpool wanamtaka kumsaili Juan Mata
Hivi Malafyale bado anavuna mihogo kule Ikwiriri
Hahahaaaaa hatujakata tamaa mkuu, nasi nyie tutawapa Henderson.

Unataka akuletee nini?
 
Cou says he misses winning cups - but the 3 trophies he won with Inter, he never played in any of the finals.
 
Kuna mkuu mmoja hapo juu kamtaja Ayre! Yaani imeniharibia kabisa utulivu niliokuwa nao muda huu... Ayre ananikumbusha yule muhuni BR.
 
June ndio imeanza tayari majogoo mmeanza kukata tama ? Ni wakati wa fununu na tetesi za uzushi wa kutosha unaweza ukaskia Liverpool wanamtaka kumsaili Juan Mata
Hivi Malafyale bado anavuna mihogo kule Ikwiriri
Mkuu za siku nyingi?
Ndiyo nafika Ikwiriri toka kwa wakwe Bukoba!
Tusongeshe sasa gurudumu letu
Ntuzu
RRONDO
everlenk
Hamjambo?
 
Reports have suggested Liverpool were lining up a bid for Jonas Hector, but it is understood the Reds have no interest in signing the Koln left back at this stage.

The 26-year-old, who is in the Germany squad for Euro 2016, has been linked with Jurgen Klopp’s side throughout the summer, but the ECHO understands there is no intention of a deal at this time.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…