Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Leo ataigharimu tena. Ngoja tuone.Ana mambo yake ya kuigharimu timu .... kwakua umeelewa ile kauli ya klopp pale juu basi no doubt sababu yeye ndiyo najua plan
Ila Kila LA kheri
Leo ataigharimu tena. Ngoja tuone.Ana mambo yake ya kuigharimu timu .... kwakua umeelewa ile kauli ya klopp pale juu basi no doubt sababu yeye ndiyo najua plan
Shukrani mkuu nawe pia muirahisishe kazi ya ranieriLeo ataigharimu tena. Ngoja tuone.
Ila Kila LA kheri
Sitamuangusha Ranieri Leo. Spur lazima akaeShukrani mkuu nawe pia muirahisishe kazi ya ranieri
Daaahhh, Leicester city ndo wanachukua epl hii ni aibu kubwa kwa Liverpool na Arsenal. Kama Spurs akipoteza leo Leicester akishinda mechi mbili zijazo basi ndo atakuwa bingwa zikiwa zimebaki mechi 3 kama SAF alivyotabiri.Sitamuangusha Ranieri Leo. Spur lazima akae
Mwakani tutachukua ubingwa,Liverpool imebadilika sana na inacheza soka la hali ya juu sanaMoreno
Na BVB Alhamis awaanzishe Origi na Dan pamoja!!Hawa wanamieleka wa stoke leo tungewarudishia zile sita!
Dogo amefanya milner awe freeHuyu dogo Kevin Stewart ni mpambanaji balaa.
So sorry Ojo alitoka mapema kwa kuumia.

True trueHuyu Stewart anaweza kukufanya ukawaombea mabaya wakina Henderson![]()
![]()
Kwanza nipe pole ndugu, maana leo.Daaahhh, Leicester city ndo wanachukua epl hii ni aibu kubwa kwa Liverpool na Arsenal. Kama Spurs akipoteza leo Leicester akishinda mechi mbili zijazo basi ndo atakuwa bingwa zikiwa zimebaki mechi 3 kama SAF alivyotabiri.
Kante, nimeshangaa Peter schmeical alichosema kuhusu yeye alikuwa anatembea kwa miguu kutoka kwake kwenda mazoezini mpaka klabu ikaona aibu wakampa gari ya zamani and he hasn't changed. Leo hii anawindwa na vilabu vikubwa duniani hapa ndipo wachezaji wetu wajifunze success haiji kirahisi kama wanavyotaka wao