tukipoteza hiyo kesho, itakuwa ni moja kati ya j2 mbovu sana kwangu kuwahi kutokea tangu nizaliweeee, winning a trophy is EVERYTHINGGGG MAN..
Machale yananicheza... leo tutashuhudia maajabu.tukipoteza hiyo kesho, itakuwa ni moja kati ya j2 mbovu sana kwangu kuwahi kutokea tangu nizaliweeee, winning a trophy is EVERYTHINGGGG MAN..
Ngoja nifumbe macho niombeAll the best to Klopp and the gang.
Klopp akichukua kombe na hawa average charges, msimu ujao sitashangaa tukibeba EPL.