Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Game ya jana sijaiona, how did we fare? Kwa kupata draw mbona runaongeza mechi nyingi tena ndani ya muda mfupi na hapo tuna europa league inakuja mwezi February

Sent from my K019 using JamiiForums mobile app
Bora hujaangalia Benteke is too shit ...... Ila nimefurahi kuona physical fitness kwa timu yetu inaanza kurudi ..... Jana hatukuwa na sababu ya ku-draw kabisa
 
nadhan mwisho wa msimu Teixeira anaondoka kwetu yes his chances ni ndogo mno cz tuna watu wengi wa muundo wake pale kwetu pia alivunjika mguu na aliumia mgongo alispend kama miaka miwil nje hiyo imemchelewesha sana..
Kwa youngstars kupoteza mwaka mmoja tu of development kunaez kukupoteza kbsa uwezo wako nadhan nafasi ya kubaki ni ndogo sana
I like this kid itaniuma akiondoka
 
Mi naona vijana wanacheza vizuri sana kuliko hata hao wakubwa mfano Benteke hamna kitu kabisa , control yenyewe ni ya chini kabisa.
 
Agger made his lfc debut 10 years ago today
8c8562be0913fba9c53af9c0dab22152.jpg
 
Every one seems to have given up on Alex Teixeira.

I haven't.

Crazy things happen on the death point....

Determination!!
 
J Klo needs to stop us from conceding cheap goals. This has got to stop NOW!

He's the coach (arguably one of the greatest on the planet at the moment) for heavens sake - it's his responsibility!

We must put pressure on Klopp - he's got to set up his defence to defend effectively and efficiently. The defending personnel is crap - granted - but he's the fuc&@£*#king experienced coach and he's got to make do with what he's got.

I hope you guys see it the same way.
 
So far so good. A reasonably entertaining 1st half.

The footballing brains of Moreno & Lalana - we have a long way to go if we have to rely on the brains of these two!

On a positive note, I can't fault the performance of the backline. Mignolet has been brilliant. Moreno needs to stay composed a wee bit!
 
Yaani hivi ilikuwaje kuwaje nikawa mshabiki wa Liverpool FC?

Duh, ngoja tuone msimu ujao ambao labda Klop atakuwa amefanya usajili.
 
This kind of defeat (if it ends like this) must put Klopp on the spotlight.

Tukishindwa hivi halafu watu bado wanamtetea Klopp I'll seriously start questioning the genuity of their support to our great club.

He's a great coach - he certainly must win against these relatively smaller teams. We won against them only in December with more or less the same lineup for Gods sake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom