MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Duh...sorry wakuu...nimejisahau nimekuja na fake ID humu
Hahahahahahahahahahaha
Duh...sorry wakuu...nimejisahau nimekuja na fake ID humu
Duh...sorry wakuu...nimejisahau nimekuja na fake ID humu
Confirmation that Liverpool DO have the option to recall Markovic and Klopp is considering it.
Jamani hii timu niliipenda mpaka kuwa na huzuni,sasa naona hata Lucas na kocha wako safi hata furaha imerudi kwa wachezaji,BR alitaka kuondoa malegendary woote hata tusiwe na kiongozi uwanjani. Nashukuru sasa naweza kaa na kuangalia hata mechi. Asante woote kwa habari nzuri,nikaribishe hapa ni mgeni wenu na shabiki wa hili chama kubwa kabisa. YWNWA
Jamani hii timu niliipenda mpaka kuwa na huzuni,sasa naona hata Lucas na kocha wako safi hata furaha imerudi kwa wachezaji,BR alitaka kuondoa malegendary woote hata tusiwe na kiongozi uwanjani. Nashukuru sasa naweza kaa na kuangalia hata mechi. Asante woote kwa habari nzuri,nikaribishe hapa ni mgeni wenu na shabiki wa hili chama kubwa kabisa. YWNWA
Karibu sana liverpool
Mkuu si uliamia man u au umerud
Koma wwe mtoto am the liverpool support
Mkuu si uliamia man u au umerud
Kumbe upo?
sturridge karudi wodini
Jamaa anaboa sasa
He is not good for out team any moreKlopp atauza yule, anabana nafas za watu wengine, 150k per week, na kila siku yupo wodini..