Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jamani hii timu niliipenda mpaka kuwa na huzuni,sasa naona hata Lucas na kocha wako safi hata furaha imerudi kwa wachezaji,BR alitaka kuondoa malegendary woote hata tusiwe na kiongozi uwanjani. Nashukuru sasa naweza kaa na kuangalia hata mechi. Asante woote kwa habari nzuri,nikaribishe hapa ni mgeni wenu na shabiki wa hili chama kubwa kabisa. YWNWA
 
Jamani hii timu niliipenda mpaka kuwa na huzuni,sasa naona hata Lucas na kocha wako safi hata furaha imerudi kwa wachezaji,BR alitaka kuondoa malegendary woote hata tusiwe na kiongozi uwanjani. Nashukuru sasa naweza kaa na kuangalia hata mechi. Asante woote kwa habari nzuri,nikaribishe hapa ni mgeni wenu na shabiki wa hili chama kubwa kabisa. YWNWA

Karibu...YNWA!
 
Jamani hii timu niliipenda mpaka kuwa na huzuni,sasa naona hata Lucas na kocha wako safi hata furaha imerudi kwa wachezaji,BR alitaka kuondoa malegendary woote hata tusiwe na kiongozi uwanjani. Nashukuru sasa naweza kaa na kuangalia hata mechi. Asante woote kwa habari nzuri,nikaribishe hapa ni mgeni wenu na shabiki wa hili chama kubwa kabisa. YWNWA

Karibu sana liverpool
 
Player of the month
 

Attachments

  • 1445617631052.jpg
    1445617631052.jpg
    22 KB · Views: 76
  • 1445617657432.jpg
    1445617657432.jpg
    25.1 KB · Views: 75
  • 1445617680064.jpg
    1445617680064.jpg
    22.6 KB · Views: 78
COUTINHO rumours za barca znamchanganya sana, dogo anacheza chini ya kiwango sana,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom