Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Lol, LVG alipigwa chini akiiacha team ikiwa ya 12 na 3 points off the relegation zone..
Mafanikio makubwa ya LVG ni akiwa ya Ajax, na barca ya 1997's..but katika Bundesliga Klopp ana Record nzuri kuliko LVG..na kwenye EPL van Gaal bado HAJA-PROVE CHOCHOTE..
Since 2010 mpaka sasa, only JM, CA and Pep ndo better zaidi ya Klopp..
Usifananishe manager kijana na mzee ambaye kaanza kazi ya ukocha tangu 1986, na CV yake kubwa anayojivunia mpaka sasa ni ile ya Ajax enzi hizo ya 1990's..
For the past 5-6 years, klopp amefanya vizuri kuliko LVG..
Oh, kumbe! Kwa hiyo kwa kuwa ni mafanikio ya miaka ya 1990 hayahesabiki siyo? Kwa hiyo mafanikio ya Loserfools pre-EPL hayahesabiki? To put it better, mafanikio ya Loserfools katika Premier League, oh wait, the Football League 1st Division ni ya miaka pre-1990
Kuipa Uholanzi 3rd spot kwenye WC, naona it happened in the 1990s, right?
LvG kakaa misimu miwili Bundes msimu wa 2009/10 kachukua makombe yote ya Ujerumani. Klap kakaa misimu mingapi Bundes? Oh! Nimesahau, hili hali-count kwa sababu it was only seven seasons for him!
Haja-prove chochote kwa nani, Loserfools? Kwa #ManUnited amesha-prove his value kwa kuirudisha timu UCL; that's a big milestone, considering what DM did.
Mbona hueleweki, mara useme mafanikio ya LvG makubwa ni Ajax na Barca, mara CV anayojivunia ni ile ya Ajax miaka ya 1990!
For the past years Klap kafanya vizuri kwenye nini? Kwa sababu baada ya kutimuliwa Bayern, LvG toka 2011 yupo na timu ya taifa, na kaifikisha semi-finals ya WC. Sasa sijui unawalinganisha vipi hawa? Mmoja kwenye klabu, mwingine national team 😳