Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Lol, rodgers told Sakho ni 3rd choice CB behind Skrtel and Lovren....HAHAHAHAHAHAHAHA
Nilimshangaa BR ... Sakho saa hizi anaonekana kama a 7 days angry lion left the cage
Lol, rodgers told Sakho ni 3rd choice CB behind Skrtel and Lovren....HAHAHAHAHAHAHAHA
lol, imagine gettn trolled na mtu ambaye kwenye team yake Depay ndo amerithi jezi number 7.
We jamaa pumba kabisa lvg kapewa timu kwenda nayo pre season akarudi kapigwa na swansea nk kapewa timu masaa 72 anacheza mechi yake ya kwanza ugenini anadraw acha ulinzi show some respect
At least he got goals and assists 💪🏿
Yawezekana siyo muda magazeti ya uingereza watampamba na kumfananisha na kina lewandoski
i'd take Mbwana Samatta over him..
Do you want me to show respect to Klap? What he got to earn my respect? 2 Bundesliga titles, few Mbuzi cups and relegation battles?!? 😂😂😂😂
Of course you would...Samatta fits perfectly with Loserfool's philosophy.
relegation battle ipi?
ile ya LVG na barcelona mwaka 2003 tuiite nn?
relegation battle ipi?
ile ya LVG na barcelona mwaka 2003 tuiite nn?
Depay is shit bro...usiwe unamtolea mifano watu wanapokuwa wanadiscuss mambo ya soccer
Sure. But, Firminho is the 'shittest' 😂
Jamaa unaongea pumba sana, sio lazima kila mtu awe mchambuzi we baki shabiki,u dont know a shit about our player
The team finished 6th in the league and played a quarter final of the UCL.
But, wait a minute, inamaana unamlinganisha Klap na LvG?
What have you been smoking? 😳
Sure. But, Firminho is the 'shittest' 😂
Oh! Kumbe umeona nimefanya uchambuzi?! Doh! Basi sawa.