Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

uliadimika Sana kijana hapa jukwaani aisee..


wenzio tulipata nguvu ya ziada baada ya BR kutimuliwa tukaja hapa kwa kasi ya kimbunga

HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA!!!!!

Aiseee nilikuwa naumia sana kuona LFC ikicheza chini ya Rodgers, nikaamua nipige kimya kwanza...ila nashukuru blue noses walishindwa kutufunga...team la kijinga sana lile..


Sahiv nataka nianze kushuhudia GEGE N' PRESSINGPOOL...hiyo watu wanakuwa wanakuja tu kwako muda woooote..
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahaha
 
ImageUploadedByJamiiForums1444279009.993277.jpg
 
LOL, GARY NA SOD wamepigwa chini pia...feel for Gary Aisee
 
Klopp akiwa Dortmund Airport, boarding a private jet mpaka John Lennon Airport (UK)..he'll sign a 3 year-deal leo hii..
ImageUploadedByJamiiForums1444317065.754621.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom