everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Yanipoteze kabisa
Yeleuwiii!!!! Nitalia mimi ukipotea. ..... Toroka uje mtani mpka nishushe chopa au?
Yanipoteze kabisa
Hahahaa na Rodgers unampenda pia...
hahahaaa usijali atafanikiwa kuwatoa nje ya top 4
Hahaha mumy bana!! huku kuna watu wakali humu shukuru Mungu BR kawahamisha kambi unaweza pewa neno moja tu ukasahau hata mlango ulioingia , huku anawaweza kaka Nzi tu....
Sasahivi wamekimbia kambi ndo maana namuonea huruma Ed n Edd nEddy kabaki legend mwenyewe.
Amenitoka kabisa
Taratibu nakuona kadri siku zinavyoenda uzalendo unKushinda......hahahaha Toraka uje mtani..Atutoe Mara ngapi? Huyu mjinga anatakiwa aondoke tu
Halafu mamy hukunijibu..niliuliza mbona kugodoro cha huku haukipendi?
Yeleuwiii!!!! Nitalia mimi ukipotea. ..... Toroka uje mtani mpka nishushe chopa au?
Wako mapumziko kidogo watarudi siyo muda mtani
Watu wa huku hatupendi vigodoro maana vina vumbi
Taratibu nakuona kadri siku zinavyoenda uzalendo unKushinda......hahahaha Toraka uje mtani..
Mpaka BR aondoke......
Ahahahahaha mambo mazuri kila siku utayaangalia kwa majirani, sikuhizi naona mchepuko anachukua nafasi ya njia kuu.
Hahaha mumy bana!! huku kuna watu wakali humu shukuru Mungu BR kawahamisha kambi unaweza pewa neno moja tu ukasahau hata mlango ulioingia , huku anawaweza kaka Nzi tu....
Sasahivi wamekimbia kambi ndo maana namuonea huruma Ed n Edd nEddy kabaki legend mwenyewe.
hapoAhahahahaha mambo mazuri kila siku utayaangali kwa majiran mchepuko anachukua nafasi ya njia kuu.
hapo
..........
Nini Mae?
Hahahaaa hamnaaa
Safiiiiiiiii sanaaaaa
hapo
..........
Hahahhaha kuishi kwa matumaini ni kuzuri sanaMAJOGOO yanaanza kushinda kesho!!
Hahahahaha kaka yangu bana !!!!MAJOGOO yanakupiga safari hii mechi ya marudiano!Najua unayaogopa sana MAJOGOO