Ata sigala sijawahi vuta Bruh
so far nina trophies 62 we una 60, am ur leader show some respect.
Hahahahah!! Kaka Bastian is FINISHED, jamaa mpira umeisha, ndo sawa sawa useme Xabi Alonso bado ni bora zaid ya Modric kwa sasa, kila mchezaji ana Prime yake mzee, Ronaldinho wa sahiv siyo bora zaid ya Coutinho..
BASTIAN kaisha ndugu..
Stats za msimu uliopita kati ya Allen na Bastian..nadhan unamjua JOE ALLEN, stats shows that he was better than Bastian last season.
View attachment 278784
aaah wapi aiseee.... lazma uko na mneli, tena siajabu unabembea kabisa na mapowwwwderrr
Maana unabembea kichizi kwenye kichwa chako
Hivi hao wachezaji unaowazungumzia unawajua au ndio unawacheki kwenye bando tu?? maana the more you comment the funnier you get
bwahahahahahaha,, aha aha ahahahahahahaaaaa
You made my day Mr. Smalling
Mkuu umeshasahau kipigo cha 3-0 baada ya usajili wa Baba na Pedro?
A a a a a a a a a a a a a a a a a, jamaa yako huyo Mr Liverpool uwa akuchekeshi, maana yeye kila mchezaji wa United ni mbovu kuzidi wa Liverpool, ivi ni haki kweli kusema zaidi ya Mata na de gea akuna mchezaji wa United anayeweza kuingia katika XI ya Liverpool.??? Hivi mtu kama Ibe anaweza kuingia katika XI hipi kati ya timu hizi, Man United, Chelsea, Arsenal, Man City, Everton, Spurs, Swansea, Soton,
Wanaume tunapanda kileleni masaa machache yajayo
Loserfools mmefula kweli kweli 😂😂