Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huyu Allen angeumia kabsaa maana atasababisha wacheza wanaosataiki wakose namba huyu dogo mtasaaa apewe nafasi mechi ya juzi nimeona mwingine mipira michache alogusa nae nimemkubali sana

Yupi huyo, Pedro? Kacheza na leo tena...Allen ana hamstring, so he'll be out for a while..
 
Missing Maxi???
ImageUploadedByJamiiForums1438553621.736753.jpg
 
Bola abaki nnje japo sio m baya ila kazidiwa na wengine na kocha kazidi kupenda

Yeah, Rodgers likes Allen a lot, but injury yake, imekuwa njema kwetu, coz ni lazma Can ataanza kwnye kiungo.
 
Yeah, Rodgers likes Allen a lot, but injury yake, imekuwa njema kwetu, coz ni lazma Can ataanza kwnye kiungo.

Kabisa mkuu walau mechi ikiwa na matokeo mazuri mapema watapangwa hata hawa madogo wapange na alivo na roho mbaya mechi ngumu ndo anawapanga nimeona kwa balo na kuna mechi ilikua muhimu na fulham alimwingiza huyu texteera uzuri alifanya vizuri hakumpnga tena
 
Kabisa mkuu walau mechi ikiwa na matokeo mazuri mapema watapangwa hata hawa madogo wapange na alivo na roho mbaya mechi ngumu ndo anawapanga nimeona kwa balo na kuna mechi ilikua muhimu na fulham alimwingiza huyu texteera uzuri alifanya vizuri hakumpnga tena

Teixeira itabidi abaki msimu huu, tuna League, Europa, FA na Capital One...mashindano ni mengi, so tunahitaji depth msimu huu, so i hope Teixeira na kina Pedro pamoja na Allan wata step up msimu huu..
 
Teixeira itabidi abaki msimu huu, tuna League, Europa, FA na Capital One...mashindano ni mengi, so tunahitaji depth msimu huu, so i hope Teixeira na kina Pedro pamoja na Allan wata step up msimu huu..

Labda afukuzwe kwa huyu atawauza wote hafi alete wa ghalama na uwezo mdogo pia nnashaka anapiga ganji kwenye ununuzi huyu
 
Good thing is,Liverpool will witness Manchester United walking away with EPL title come next season. You will be in the top 4 though only if you fight hard.GG MU

Amka toka usingizini... Hiyo ni ndoto mkuu
 
Changes ar inevitable, lakin club haipo kwa ajili ya uwanjani tu, kuna mambo mengi yanayoifanya club iwe kubwa na kutanuka, STAR wa team anaondoka, unafanyaje kumreplace? Unafanyaje kuzuia mauzo ya jezi yasishuke? Ni hasara kubwa sana ambayo club itaipata kwasababu ya kudorora kwa mauzo ya jezi, tours za Asia na Finland, zmefanywa kwa hasara, kwasababu hazijaleta chochote kwenye table, club ilikuwa inategemea kukusanya hela kupitia hizi Tours, but lack of star players imetucost, hata kama SG anaondoka unatakiwa kumreplace mtu mwenye mvuto hata kama uwezo wake ulikuwa haushabihiani na wa yule aliyeondoka..mfano Bayern, kaondoka Bastian, haraka sana wame-replace na Arturo Vidal, thats how BIG CLUBS works, huwez ukawa unajiita mshabiki wa LFC afu ukafurahia mchezaji kama SG kuwa replaced na MILNER, unless kama umeanza kuijua LFC juzi tu...

Logic iliyopo hapa ni kwamba, you've to sign a Top player when Top player mwingine anavyoondoka..ili mapato ya clubs nje ya uwanja yasipungue, Tours hazifanywi tu kwa kujifurahisha, clubs zinakuwa zinafund pesa na kufungua masoko kwa nchi husika, mpango wa sahiv ni kusogea China, korea na japan, tutaweza vipi wakat club inapoteza mvuto? Takwimu zinaonyesha kuwa singapore, Malaysia na Thailand tumeshakuteka, but safar hii muitikio ulikuwa mdogo, mostly ni kwasababu hakuna ile morali ya mashabiki kwenda kuangalia team yao, coz NYOTA wale wa Club wanaondoka na kuuzwa kila baada ya msimu...next summer ataondoka Coutinho mtaendelea kusema "No player is bigger than LFC", ataondoka Firmino na mtasema hivyo hivyo, wataondoka kina Can mtasema hivyo hivyo...na utawezaje kucompete wakat kila kukicha unapoteza your best players????

SG is not bigger than LFC, but for the past 10 years (on his days), kailetea mafanikio club NJE NA NDANI YA UWANJA..MESSI akiondoka Barcelona, barca will never be the same, japokuwa he's NOT bigger than Barcelona...selling clubs huwa zina mchezo wa kuwaaminisha mashabiki kuwa players are not bigger than the club, sababu kubwa ya kuwaaminisha hivi ni kwa sababu selling clubs hata siku moja hazifanyagi replacements za maana, coz Top players wanapenda kucheza mpira na Top players wenzao.. Ukiwa selling club, utaishia kutengeza WC players na kuwauza, kisha kuwanunua wengine na kuanza kuwatengeza..na wakat huo huo unataka ucompete na clubs ambazo zinanunua WC players uliowatengeneza.

sio kweli kbs taarifa yako ya hasara ya izo safari unazosema,mi nikuulize tu una facts juu ya izo hasara au unaongea kwa mtazamo wako?

***Wachezaji waliouza jezi zaidi za club 2014/2015 na ambae hakuuza sana na wa mwisho wa lfc


Estimated total sales: 810,000 football shirts per year

Highest selling club soccer jerseys names: Suarez, Coutinho, Sturridge

Most sold unlikely soccer jerseys names: Kolo Toure
 
sio kweli kbs taarifa yako ya hasara ya izo safari unazosema,mi nikuulize tu una facts juu ya izo hasara au unaongea kwa mtazamo wako?

***Wachezaji waliouza jezi zaidi za club 2014/2015 na ambae hakuuza sana na wa mwisho wa lfc


Estimated total sales: 810,000 football shirts per year

Highest selling club soccer jerseys names: Suarez, Coutinho, Sturridge

Most sold unlikely soccer jerseys names: Kolo Toure

LOOOOOOOOOOL!

Bruh!!!!!!

Unaishabikia LFC kweli???? Ushawahi kununua hata jersey moja kutoka kwenye online store ya LFC??

*most selling soccer jerseys names* Suarez, Coutinho na sturridge kwa mwaka gani? Umeelewa ulichokiandika?

Hiyo figure uliyonipa hapo ya 810k ni ya march, 2014, ambapo calendar year ilikuwa inajumuisha msimu wa 2013/2014, kuanzia august 2013 to March 2014 ambapo katika takwimu hizo hakuna mchezaji hata mmoja wa LFC alimake katika TOP 1O ya mauzo ya jersey kwa wachezaji, WORLDWIDE, huku CR7 akishika namba moja kama kawaida, na kama wewe ni shabiki mzuri wa LFC utagundua kuwa mwaka ule ule 2013, kabla ya August..kwamba kwa mwaka 2013, wachezaji wa3 waliouza jersey nyingi (replica jerseys) number 1 alikuwa RVP from Utd, namba mbili alikuwa Steven Gerrard na 3 alikuwa Wayne, PALE BRITISH ONLY, na katika msimu ule wa 2013/2014, rooney alikamata number 5 worldwide, alikuwa pushed back na Mesut ozil aliyekamata number 3 baada ya Cr7 na Messi, ni hii baada ya kusign Arsenal akitokea madrid,

Mwaka huo huo Nov 25, 2014, baada ya season kuanza, namba 3 alikamata James rodrguez akitokea monaco kwenda madrid, 4 alikamata Falcao akitokea Monaco kwenda United, 5 alikamata Di maria akitokea Madrid kwenda united, na huu ulikuwa ni msimu wa 2014/2015..ambapo kwa LIVERPOOL, WORLDWIDE HIGHEST SELLER ALIKUWA NI MARIO BALLOTELI, and this time takwimu zinaonyesha tulikuwa tumeshuka kutoka 810k mpaka 805k which is Arsenal walikuja juu yetu katika number 6 sisi tukashuka number 7, Arsenal signed Sanchez kama unakumbuka, sasa hapo umenishangaza unavyoniwekea. DS NA COU, kwa msimu upi? Na huu msimu ulioisha, bado SG ndo kaongoza domestically kwa mauzo ya jerseys..

Bruh, katika mauzo ya jerseys kunakuwaga na categories man, kuna domestic sales na intenationally sales, kama unafatilia mpira, utagundua kuwa LFC inashuka kila mwaka katika mauzo ya jersey internationally, although domestcally bado tunadominate kwa kiasi chake, na sasa LFC wanategemea kuraise pesa za Jersey intenationally kupitia kwa FIRMINO..unapozungumzia WORLDWIDE, ndo maana kila kukicha unamkuta Cr7 number moja, siyo kwasababu anapendwa sana zaidi ya Messi NO, but Madrid wana fans wengi duniani kuliko barca, na marketing board yao inaelewa inachofanya, lakin ukikusanya takwimu za spain tu Messi atashinda, au ukikusanya za south America tu Messi atashinda, but Madrid na Manchester ndo teams zenye most fans in the world, na usishangae kwa list nyingine ya November au December mwaka huu BASTIAN akiwepo kwenye Top TEN,

Na pia, katika uuzaji wa jersey, kuna categories za Home kits, Away kits na 3rd kits, mchezaj anaweza akaongoza katika mauzo ya Jersey za away tu, lakin home kit akapotea, umentajia Cou, DS and Suarez, na hujanitajia mwaka, so let me tell you kwamba, mwaka 2013 (6 november) TOP SEVEN YA HOME KIT SALES ILIKUWA NI:1.cou, 2. SG, 3. DS, 4.Suarez, 5. agger, 6.Lucas, 7.Henderson, so kwa mtindo huo unaweza ukanambia DS aliuza jersey nying kuliko Suarez in General? Au cou aliuza jersey nying kuliko Suarez na SG in general? Kwa mfano mimi kwa sasa nasipenda sana away kits, so lazma nitaorder away kits tu, but generally kwa aina zote za jersey Cou and DS couldnt beat Suarez and SG..

And unapokuwa unachukua hizo figures zako, uwe unajaribu pia kusearch na top sellers wa hizo jersey, so kama ulikuwa hujui ni kwamba tangu mwaka 2011 mpaka 2015 ni wachezaji wengi wa LFC WAMEUZA JERSEYS, but kwa number ni kwamba STEVEN GERRARD, JAMIE CARRAGHER (kabla hajaretire 2013 feb) na LUIS SUAREZ (kabla hajaondoka) ndo walikuwa ni FOCAL POINT ya mauzo ya jersey domestically na Worldwide...

Takwimu mpya itakayotoka, itakuwa na sura mpya kabisa, Ambapo marketing board inategemea Firmino kupush mauzo ya jersey, na kama unanunua jersey katika online store ya LFC, utagundua kwamba katika signings mpya tulizofanya, mpaka sasa most ordered jerseys ni number 11 ya Firmino na Number 2 ya Nathaniel clyne, ambapo without a doubt, kwa sasa worldwide atatubeba ROBERTO FIRMINO..

Katika pre-season tours, financial statement ya mwaka huu, inaonyesha, tours zilizopitq misimu miwili iliyopita ile ya Asia na US zilikuwa na mafanikio makubwa, hence profit iliongezeka kwa 50% ukiachana na TV deals na new partneships, na jersey sales, ile Tour ya US ndo ilikuwa more succesful, ambapo safar hii tulienda Asian na hope ya kuraise kwa kila 2 friendilies £10million, ambapo tulifanikiwa Australia tu kupata hicho kiasi...lakin kwa Thailand na Malaysia, tulifail, na mategemeo yakawa ni kuraise £5m, lakin Thailand na Finland msimu huu tulibugi, Malyasia kidogo tulipata watu..
 
sio kweli kbs taarifa yako ya hasara ya izo safari unazosema,mi nikuulize tu una facts juu ya izo hasara au unaongea kwa mtazamo wako?

***Wachezaji waliouza jezi zaidi za club 2014/2015 na ambae hakuuza sana na wa mwisho wa lfc


Estimated total sales: 810,000 football shirts per year

Highest selling club soccer jerseys names: Suarez, Coutinho, Sturridge

Most sold unlikely soccer jerseys names: Kolo Toure

Aiseeee!
 

Chelsea and Man city bado ndo Top runners kwa league title msimu huu kwa mara nyingine TENA, IMO

Though naamini msimu HUU utakuwa mzuri kwetu, kama rodgers akiwa yule wa 2013/2014, ila akirudia favourtism yake ya last season, TUTAPOTEA MAPEMA, kwa manager yoyote yule, sidhan kama angethubutu kumuazisha Lovren kwenye game yoyote ile yenye Tension..logic nyepesi tu hapa ni kwamba Ilori should be ahead of Lovren katika uchaguzi wa CB's, and ONLY Emre Can and Lucas wawe main competitors katika DM role, Teixeira should get more game times than lallana, kama umeifatilia LFC last season utagundua kuwa kila lallana akianza on yhe left side kule, Moreno alikuwa anapotea na ST yoyote aliyeko mbele anakuwa isolated, lallana has so many touches, so ili kuepusha gaps za upande wa kushoto, ni bora kutomforce kabisa katika first team, manake Lallana ni mzuri akicheza nyuma ya ST au akitokea katikati..so kama katikati kumejaa, ni bora aanze IBE tu pembeni, ambapo pace yake itakuwa inaM-LIMIT moreno kuja mbele mara kwa mara kucollect mipira inayopotea...na Tex hata akicheza pemben huwa anacheza vizuri sana, coz yupo direct sana..
 
Nimeipenda hii kauli Ayre:" the objective that the manager wanted to archive, we've archived all of them"

Nadhani BR hatakuwa na excuse yoyote kipindi hiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom