Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Feel for MB, Borini and Enrique, yaan manager unawaambia wachezaji wako watrain peke yao kisa huwatak kwenye team na unawaforce kuondoka, huwez kuyaona haya mambo kwa kina Klopp, Diego, AVB, Martinez, unai etc ambao ni makocha vijana pia..

True.

kwa man management, rodgers anapewa F kabisa.
 
Full time HJK Helsinki 0 - liverpool 2
Kesho 1800 hrs kutakuwa na game ya mwisho ya pre-season Swindon Town vs Liverpool
 
Firmino na benteke watacheza kwenye mechi ya kesho dhidi ya swindon

Wao walibaki England

Umesomeka mdau, tusherekee ushindi. Timu iko vizuri, mbinu za kocha zinahitajika sana msimu huu.
 
Barret saying bar Ings ambaye nafasi yake atacheza Benteke, kikosi cha leo ndo kitacheza dhidi ya Stoke City,

Hahahahahahahahahah, so Lovren will start ahead of Sakho, Gomez (championship kid) ahead of Moreno, Lucas our only DM will be benched against STOKE CITY, Emre Can will be benched, hahahahahahahhaha....Tough times to be a LFC fan...
 
UK fans wa LFC wanatakiwa waboycott game yoyote ile ambayo Lovren ataanza ahead of Sakho..
 
MosDef kocha ndo kashaamua Lovren aanze
 

Attachments

  • 1438467720873.jpg
    1438467720873.jpg
    48.2 KB · Views: 133
Last edited by a moderator:
Barret saying bar Ings ambaye nafasi yake atacheza Benteke, kikosi cha leo ndo kitacheza dhidi ya Stoke City,

Hahahahahahahahahah, so Lovren will start ahead of Sakho, Gomez (championship kid) ahead of Moreno, Lucas our only DM will be benched against STOKE CITY, Emre Can will be benched, hahahahahahahhaha....Tough times to be a LFC fan...

Mkuu MosDef, sidhani kama BR ataanzisha hiki kikosi kilicho cheza na HJK jana ila anaweza kukifanyia changes kama 3 au 4 hivi kwa game ya Stoke.

Gomez ni mzuri kwa games alizocheza amefanya vizuri hana panic decision, composure ila hana pace kama aliyonayo Moreno.

Ila hii partnership ya Milner na Henderson kwenye mid-field sidhani kama italeta matunda yeyote kama tukikutana na timu yenye middle wa ukweli they will be schooled nicely


Mimi ningependa kama tutaanza na line up No. 1 ya namna hii

Mignolet
Clyne Skrtel Sakho Moreno
Henderson Emre Can
Lallana Countinho Firmino
Benteke
Sijui ni seme ni bahati mbaya au nzuri we have too many number 10 kuliko wingers ambao ni versatile, they can cut inside for moreno and clyne to run into spaces ila hii line up itakuwa na shida moja tu hao watu wanne wa mbele si wakabaji they are more of attacking minded players

Au tuanze na line up No. 2 ya namna hii

Mignolet
Clyne Skertel Sakho Moreno

Lucas Leiva
Henderson Emre Can
Coutinho
Benteke Firmino
Katika hii line up Firmino acheze kama assistant striker kama tulivyo kuwa tunacheza na Suarez na Sturridge. I have just loved the mid-field, we have henderson& Can who can run the mid field, Lucas sweeps everything behind them. BR anaaweza pick up line up nyingine maana yeye ndo anawaona daily in training
 
Barret saying bar Ings ambaye nafasi yake atacheza Benteke, kikosi cha leo ndo kitacheza dhidi ya Stoke City,

Hahahahahahahahahah, so Lovren will start ahead of Sakho, Gomez (championship kid) ahead of Moreno, Lucas our only DM will be benched against STOKE CITY, Emre Can will be benched, hahahahahahahhaha....Tough times to be a LFC fan...

Ngoja nisubiri matokeo tu sipendi kuona timu yangu ikifungwa hovyo hovyo
 
Mkuu MosDef, sidhani kama BR ataanzisha hiki kikosi kilicho cheza na HJK jana ila anaweza kukifanyia changes kama 3 au 4 hivi kwa game ya Stoke.

Gomez ni mzuri kwa games alizocheza amefanya vizuri hana panic decision, composure ila hana pace kama aliyonayo Moreno.

Ila hii partnership ya Milner na Henderson kwenye mid-field sidhani kama italeta matunda yeyote kama tukikutana na timu yenye middle wa ukweli they will be schooled nicely


Mimi ningependa kama tutaanza na line up No. 1 ya namna hii

Mignolet
Clyne Skrtel Sakho Moreno
Henderson Emre Can
Lallana Countinho Firmino
Benteke
Sijui ni seme ni bahati mbaya au nzuri we have too many number 10 kuliko wingers ambao ni versatile, they can cut inside for moreno and clyne to run into spaces ila hii line up itakuwa na shida moja tu hao watu wanne wa mbele si wakabaji they are more of attacking minded players

Au tuanze na line up No. 2 ya namna hii

Mignolet
Clyne Skertel Sakho Moreno

Lucas Leiva
Henderson Emre Can
Coutinho
Benteke Firmino
Katika hii line up Firmino acheze kama assistant striker kama tulivyo kuwa tunacheza na Suarez na Sturridge. I have just loved the mid-field, we have henderson& Can who can run the mid field, Lucas sweeps everything behind them. BR anaaweza pick up line up nyingine maana yeye ndo anawaona daily in training

I doubt kama Firmino ataanza game ya stoke city, hana match fitness bado, tangu atoke chile, leo ndo atacheza game ya kwanza ya pre-season, NA katika upangaji wako wote wa kiungo, usimtoe Milner, ni lazima aanze, (he's on 150k per week na ni rodgers's buy)...na itabid ukumbuke kuwa Rodgers anaM-prefer zaidi Allen katika midfield kuliko Emre Can..so game ya Stoke kama kutakuwa na mabadiliko basi nadhan ni itakuwa Benteke kwa Ings..tusubiri tuone kama Lovren ataanza ahead of Sakho, lakini indications zote zinaonyesha hivyo..

Huwez ukacheza na Stoke city bila kuwa na natural DM katikat, tunamuhitaj LUCAS, akianza Henderson, Allen na Milner, kiungo kitakuwa chepesi sana yaani..a midfield of Lucas, Hendo and Milner italeta ugumu katikat, then i'd prefer clyne and Moreno pembeni, backline ya Skrtel and Sakho, na Coutinho and Ibe behind Benteke...sidhan kama ataanza na "diamond" unless aforce Firmino kuanza (ambaye inasemekana msimu huu atatumika zaid kama 2nd ST)..

Na sidhan kama itakuwa flesh kama Firmino akianza hii game ya Stoke City, Brittania ni pagumu, anaweza akaperfome vibaya, medias zikaanza kumshambulia, na ikampelekea kupoteza kujiamini...stoke ni wagumu Aisee, Benteke, Milner and Clyne even Ings wanawaweza vizuri...
 
Kama Lovren, lallana and Allen wakianza game ya Stoke City, sitopoteza muda wangu kuangalia hiyo game..
 
Watu walikuwa wanasema, ooooh SG aondoke tu, muda wake umefika blah blah, nikawaambia kwnye pitch. SG anaweza asiwe na msaada wowote lakin off-pitch, tutapotea, haya mmejionea wenyewe, Asia na Finland Jana muitikio wa watu ulivyokuwa mdogo, sijawah kukiona hicho kitu kwa MIAKA KUMI iliyopita..SG ndo alikuwa nembo ya LFC popote pale, hata last season katika TOP TEN ya mauzo ya Jersey UK, limejitokeza jina la SG tu kwa LFC, na ndo top seller wa Jezi za LFC kwa Miaka na miaka...sahiv tunamtegemea Coutinho ambaye hatujui kama next season atabaki...

Anaondoka SG unamreplace na nani? milner? Nani anataka kwenda kumuangalia Milner, ings, origi, lallana, Henderson, Allen etc???
 
Watu walikuwa wanasema, ooooh SG aondoke tu, muda wake umefika blah blah, nikawaambia kwnye pitch. SG anaweza asiwe na msaada wowote lakin off-pitch, tutapotea, haya mmejionea wenyewe, Asia na Finland Jana muitikio wa watu ulivyokuwa mdogo, sijawah kukiona hicho kitu kwa MIAKA KUMI iliyopita..SG ndo alikuwa nembo ya LFC popote pale, hata last season katika TOP TEN ya mauzo ya Jersey UK, limejitokeza jina la SG tu kwa LFC, na ndo top seller wa Jezi za LFC kwa Miaka na miaka...sahiv tunamtegemea Coutinho ambaye hatujui kama next season atabaki...

Anaondoka SG unamreplace na nani? milner? Nani anataka kwenda kumuangalia Milner, ings, origi, lallana, Henderson, Allen etc???

Whatever the case LFC is bigger than SG. Club haitamtegemea SG kwenye mauzo milele, SG angestaafu tu one day na sales zingeshuka. Changes are inevitable
 
Whatever the case LFC is bigger than SG. Club haitamtegemea SG kwenye mauzo milele, SG angestaafu tu one day na sales zingeshuka. Changes are inevitable

Changes ar inevitable, lakin club haipo kwa ajili ya uwanjani tu, kuna mambo mengi yanayoifanya club iwe kubwa na kutanuka, STAR wa team anaondoka, unafanyaje kumreplace? Unafanyaje kuzuia mauzo ya jezi yasishuke? Ni hasara kubwa sana ambayo club itaipata kwasababu ya kudorora kwa mauzo ya jezi, tours za Asia na Finland, zmefanywa kwa hasara, kwasababu hazijaleta chochote kwenye table, club ilikuwa inategemea kukusanya hela kupitia hizi Tours, but lack of star players imetucost, hata kama SG anaondoka unatakiwa kumreplace mtu mwenye mvuto hata kama uwezo wake ulikuwa haushabihiani na wa yule aliyeondoka..mfano Bayern, kaondoka Bastian, haraka sana wame-replace na Arturo Vidal, thats how BIG CLUBS works, huwez ukawa unajiita mshabiki wa LFC afu ukafurahia mchezaji kama SG kuwa replaced na MILNER, unless kama umeanza kuijua LFC juzi tu...

Logic iliyopo hapa ni kwamba, you've to sign a Top player when Top player mwingine anavyoondoka..ili mapato ya clubs nje ya uwanja yasipungue, Tours hazifanywi tu kwa kujifurahisha, clubs zinakuwa zinafund pesa na kufungua masoko kwa nchi husika, mpango wa sahiv ni kusogea China, korea na japan, tutaweza vipi wakat club inapoteza mvuto? Takwimu zinaonyesha kuwa singapore, Malaysia na Thailand tumeshakuteka, but safar hii muitikio ulikuwa mdogo, mostly ni kwasababu hakuna ile morali ya mashabiki kwenda kuangalia team yao, coz NYOTA wale wa Club wanaondoka na kuuzwa kila baada ya msimu...next summer ataondoka Coutinho mtaendelea kusema "No player is bigger than LFC", ataondoka Firmino na mtasema hivyo hivyo, wataondoka kina Can mtasema hivyo hivyo...na utawezaje kucompete wakat kila kukicha unapoteza your best players????

SG is not bigger than LFC, but for the past 10 years (on his days), kailetea mafanikio club NJE NA NDANI YA UWANJA..MESSI akiondoka Barcelona, barca will never be the same, japokuwa he's NOT bigger than Barcelona...selling clubs huwa zina mchezo wa kuwaaminisha mashabiki kuwa players are not bigger than the club, sababu kubwa ya kuwaaminisha hivi ni kwa sababu selling clubs hata siku moja hazifanyagi replacements za maana, coz Top players wanapenda kucheza mpira na Top players wenzao.. Ukiwa selling club, utaishia kutengeza WC players na kuwauza, kisha kuwanunua wengine na kuanza kuwatengeza..na wakat huo huo unataka ucompete na clubs ambazo zinanunua WC players uliowatengeneza.
 
I knew it, james Pearce saying Lovren and Gomez are officialy ahead of Sakho and Moreno in the pecking order...
 
Haya Game yetu ndo imeanza, firmino akichezwa rough hapa na goalie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom