zahati
Member
- Jul 2, 2015
- 23
- 13
kwa nini mwanamke umeamua kushabikia timu ya kizee?!
naipenda sana hii timu yani ikifungwa kupata usinngizi ni shida
kwa nini mwanamke umeamua kushabikia timu ya kizee?!
habari zenu, mimi ni mgeni humu ila huwa siku haipiti sijasoma hii thread ya lfc ila nimejiunga rasmi na ni mwanamke hvyo nimependa kujitambulisha ili mnitambue mfuasi mwenzenu
Karibu jukwaani bibie Zahati
Pata kuwa tambua the magnificent MosDef Tisha-TOTO mak89 Janjaweed Malafyale Mzee @wa Rubisi and more fans here of LFC
Ila kuna wengine hupenda kushinda shinda humu ila siyo LFC fans kama Ntuzu na kalou
Kuna wa jinsi yako wakuitwa everlenk yeye wa mashetani kule ila naye anashinda shinda huku
Bila kusahau wanafki na wazandiki wanaopita pita humu chukua muda wako kwa kupitia comments zao utawajua
Karbu sana koplady
Karibu sana Zahati. Jisikie upo miongoni mwa ndugu zako. YNWA.
asante sana
karbia na barca pia maana.ukiwa barca.na.ukiwa liver ni kama WALI NA MAHARAGE KWA MTOTO JINS UNAVYONOGAhabari zenu, mimi ni mgeni humu ila huwa siku haipiti sijasoma hii thread ya lfc ila nimejiunga rasmi na ni mwanamke hvyo nimependa kujitambulisha ili mnitambue mfuasi mwenzenu
karbia na barca pia maana.ukiwa barca.na.ukiwa liver ni kama WALI NA MAHARAGE KWA MTOTO JINS UNAVYONOGA
habari zenu, mimi ni mgeni humu ila huwa siku haipiti sijasoma hii thread ya lfc ila nimejiunga rasmi na ni mwanamke hvyo nimependa kujitambulisha ili mnitambue mfuasi mwenzenu
Karibu jukwaani bibie Zahati
Pata kuwa tambua the magnificent MosDef Tisha-TOTO mak89 Janjaweed Malafyale Mzee @wa Rubisi and more fans here of LFC
Ila kuna wengine hupenda kushinda shinda humu ila siyo LFC fans kama Ntuzu na kalou
Kuna wa jinsi yako wakuitwa everlenk yeye wa mashetani kule ila naye anashinda shinda huku
Bila kusahau wanafki na wazandiki wanaopita pita humu chukua muda wako kwa kupitia comments zao utawajua
nadhani atakuwa na uvumilivu maana mafanikio si leo kwa mwendo huu wa rogers karibu bibe Zahati, accept challenges kutoka everlenk ila yote kuna Nzi piaKaribu jukwaani bibie Zahati
Pata kuwa tambua the magnificent MosDef Tisha-TOTO mak89 Janjaweed Malafyale Mzee @wa Rubisi and more fans here of LFC
Ila kuna wengine hupenda kushinda shinda humu ila siyo LFC fans kama Ntuzu na kalou
Kuna wa jinsi yako wakuitwa everlenk yeye wa mashetani kule ila naye anashinda shinda huku
Bila kusahau wanafki na wazandiki wanaopita pita humu chukua muda wako kwa kupitia comments zao utawajua
asante sana Buldoza
naipenda sana hii timu yani ikifungwa kupata usinngizi ni shida
sasa si kila siku unakosaga usingizi?! mpaka BR afukuzwe lazima utaumwa ugonjwa wa usingizi. msimu unaoanza tafuta kabisa kazi ya ulinzi.
Hahahahha!!! Hatimaye nanyi mmepata appetizer la ukweli......
afadhali lakini root zangu za humu zitapungua....
bado Ntuzu jukwaani kwao hamna appetizers za ukweli.....
uwe makini kumlinda asipokuwa the die hard fan usishangae ukamkuta kule kwetu anaogelea mapesa, Chezea OT weweee!!!!
Haswaaa!!! Chakula kikiwa na appetizer chanoga zaid...Ndiyo raha ya jukwaa inapoanza
hahaha mimi huyo wa kujificha hapana aisee!! Labda unifukuze.....Usianze tafuta sababu mapema za kujificha nitakufata hata kwenye mchepuko
mhh!! You never win again....lol....ndo mumtunze kabebi Kenu la sivyo ntakaiba....BTW Hongereni sana kwa usajili ya ntu sita chap chap...lolHawezi kimbia humu Kwa jinsi tutakavyo mpetipeti na akisikiliza YNWA song she will stay here forever
Hahaaaaa, dah jamani tumpe matumaini kidogo, asije akakimbia jukwaa
naipenda sana hii timu yani ikifungwa kupata usinngizi ni shida