Duh!! MosDef taratibu aiseee .......usijali muda utaongea ukifika tu ataondoka.....
Ibe is following sterling path... Contract rebellions
Hao waondoke tu!Mediocre players
RS games zaidi ya 30 EPL bao 7!Aondoke tu hana jipya
Sterling ni winger,(Baloteli,Lambert,Borini,Sturidge) ndio striker wa Liverpool
Kwani Messi ni striker?
Neymar ni striker?
Fellain ni striker?
Sanchez ni striker?
Hazard ni striker?
Mbona hao tajwa juu sio ma striker wameziokoa sana teams zao?RH ni game gani ambayo hasa ndiyo alitubeba?
Fundi ni fundi tu hata acheze namba 3 atafunga tu
Hazard ana goal 8 tu..but ndo mchezaji bora chelsea, kazi yake ni kutengeneza nafasi uwanjani, RS ana kina MB mbele, that's why anaonekana shit sometimes, kinachoboa kwa Raheem ni kupoteza nafas nyingi uwanjani, hali itazid kuwa mbaya kwa kina RS na Cou kama wakiletewa Benteke, yaani hakuna ubishi kabisa kuwa jamaa atabuma LFC, he'll never suit our style, he's not a Versatile ST..
Nlikesha usiku na mchana nikisali Bony asije LFC, I guess sahv ntaanza kuomba kwa nguvu zote Benteke asije LFC, imagine having Benteke, Sturridge, Ings, origi kama STs wako...HAHAHAHA..I understand why Raheem wants out,
Can't see him leaving mwisho wa msimu huu, reliable people wengi wanasema he's safe, but june baada ya mapitio ya msimu wote, tutaona FSG watakachoamua, but zaid ya transfer committee kuvunjwa, sioni Rodgers akiondoka, na hiyo inamaanisha tutakuwa na msimu mwingine m-baya kama BR akiendelea kuwepo, he's just out of his depth..
BTW, congrats kwa kurudi TOP FOUR, you deserved it kuliko sisi coz mlionyesha mnaihitaji zaidi, though you had a bad season kama sisi lakin hatukuwa bothered sana kama nyie kwanzia kwenye signings, tactics mpaka determination uwanjani, HONGERA SANA.
Hao waondoke tu!Mediocre players
RS games zaidi ya 30 EPL bao 7!Aondoke tu hana jipya
Hazard ana bao 14 za EPL
Hazard ana goal 8 tu..but ndo mchezaji bora chelsea, kazi yake ni kutengeneza nafasi uwanjani, RS ana kina MB mbele, that's why anaonekana shit sometimes, kinachoboa kwa Raheem ni kupoteza nafas nyingi uwanjani, hali itazid kuwa mbaya kwa kina RS na Cou kama wakiletewa Benteke, yaani hakuna ubishi kabisa kuwa jamaa atabuma LFC, he'll never suit our style, he's not a Versatile ST..
Nlikesha usiku na mchana nikisali Bony asije LFC, I guess sahv ntaanza kuomba kwa nguvu zote Benteke asije LFC, imagine having Benteke, Sturridge, Ings, origi kama STs wako...HAHAHAHA..I understand why Raheem wants out,
Msimu tumetoka kapa kabisa na msimu ujao hatujui kama tutaeleweka au la na hawa mediocre players. Rogers is looking for potential players, its time now for FA to have potential league, BR ameshindwa ku-attract proved and matured player siyo lazima wawe waingereza Liverpool haijapewa jukumu la kuwa academy ya England.
Tumeona msimu huu hatuna defensive mid-fielder tuliye naye ni Lucas Leiva na Emre Can (anachezeshwa kama beki) pale Bayern Munich kuna fundi anaitwa Javier "Javi" Martinez anasugua bench tu chini ya Pep, this is a type of player Liverpool should be linked for siyo Milner we have quite good number of wingers.
Ushambuliaji, katika safu hii hatuna jinsi maana strikers ambao wana fit kwenye mfumo wetu hatuna uwezo wa kuwachukua, ila Jovetic anafit ila ni Sturridge version 2 anaweza na yeye kucheza mechi 10 za ligi na 20 majeruhi. Kwa mpira wetu Origi,Balotelli na Borini hawawezi cheza kwa mafanikio kabisa, ni Lambert tu ambaye ana fit na mfumo wetu ila hana kasi nadhani mtumeona kwenye mechi Vs chelsea ambapo Countinho alimwekea mpira kwenye space ila sababu ya umri na speed hakuweza kufika kwenye mpira kwa wakati. Kuna mtoto mmoja wa kiuruguay I think he has all attributes to be our marksman, huyu kijana anauwezo wa kutokea kwenye flanks,mid na ana speed to match up na wachezaji tuliyo nao anaitwa Jonathan Rodriguez yupo pale Benfica natumai tutamuona kwenye copa america.
Tuna shida kwenye full backs na centre backs, let's hope Flanno stay injury free next season na asaini mkataba mpya (ila nae ni jihad sana ndo maana akiumia kidogo tu its a big issue) na tumrudishe Andre Wisdom, Moreno deal hasn't turned out as we expected, he has been caught off position several times( its among our weak point), offensively the lad is good. Kwa centre backs, Kolo toure should be off-loaded and bring back Tiago Illori na Coates ( nadhani mmemuana anachofanya lately baada ya kupata namba na kuaminiwa na Dick Advocaat pale Sunderland Muruguay mwenzake alikuwa anaua kipaji chake tu).
Mi bado nina imani tuna wachezaji wenye uwezo wa kufanya makubwa kwa kuwa BR hana dalili za kufukuzwa pale basi ajichange tu vizuri na awe flexible and reasonable Sterling si Messi pale Liverpool hata akiwa floppy basi lazima amalize 90 minutes????
FSG sidhani kama hawa jamaa watatoa mzigo wa kutosha maana walitoa our impersonate Bill Shankly blew it away nahisi watafanya yale mambo ya kina Hicks na Gillet kama hatutafanya changes with immediate effect I'm afraid to say next season will be as fruitful as Roy Hodgson season
Msimu tumetoka kapa kabisa na msimu ujao hatujui kama tutaeleweka au la na hawa mediocre players. Rogers is looking for potenti
al players, its time now for FA to have potential league, BR ameshindwa ku-attract proved and matured player siyo lazima wawe waingereza Liverpool haijapewa jukumu la kuwa academy ya England.
Tumeona msimu huu hatuna defensive mid-fielder tuliye naye ni Lucas Leiva na Emre Can (anachezeshwa kama beki) pale Bayern Munich kuna fundi anaitwa Javier "Javi" Martinez anasugua bench tu chini ya Pep, this is a type of player Liverpool should be linked for siyo Milner we have quite good number of wingers.
Ushambuliaji, katika safu hii hatuna jinsi maana strikers ambao wana fit kwenye mfumo wetu hatuna uwezo wa kuwachukua, ila Jovetic anafit ila ni Sturridge version 2 anaweza na yeye kucheza mechi 10 za ligi na 20 majeruhi. Kwa mpira wetu Origi,Balotelli na Borini hawawezi cheza kwa mafanikio kabisa, ni Lambert tu ambaye ana fit na mfumo wetu ila hana kasi nadhani mtumeona kwenye mechi Vs chelsea ambapo Countinho alimwekea mpira kwenye space ila sababu ya umri na speed hakuweza kufika kwenye mpira kwa wakati. Kuna mtoto mmoja wa kiuruguay I think he has all attributes to be our marksman, huyu kijana anauwezo wa kutokea kwenye flanks,mid na ana speed to match up na wachezaji tuliyo nao anaitwa Jonathan Rodriguez yupo pale Benfica natumai tutamuona kwenye copa america.
Tuna shida kwenye full backs na centre backs, let's hope Flanno stay injury free next season na asaini mkataba mpya (ila nae ni jihad sana ndo maana akiumia kidogo tu its a big issue) na tumrudishe Andre Wisdom, Moreno deal hasn't turned out as we expected, he has been caught off position several times( its among our weak point), offensively the lad is good. Kwa centre backs, Kolo toure should be off-loaded and bring back Tiago Illori na Coates ( nadhani mmemuana anachofanya lately baada ya kupata namba na kuaminiwa na Dick Advocaat pale Sunderland Muruguay mwenzake alikuwa anaua kipaji chake tu).
Mi bado nina imani tuna wachezaji wenye uwezo wa kufanya makubwa kwa kuwa BR hana dalili za kufukuzwa pale basi ajichange tu vizuri na awe flexible and reasonable Sterling si Messi pale Liverpool hata akiwa floppy basi lazima amalize 90 minutes????
FSG sidhani kama hawa jamaa watatoa mzigo wa kutosha maana walitoa our impersonate Bill Shankly blew it away nahisi watafanya yale mambo ya kina Hicks na Gillet kama hatutafanya changes with immediate effect I'm afraid to say next season will be as fruitful as Roy Hodgson season
Msimu tumetoka kapa kabisa na msimu ujao hatujui kama tutaeleweka au la na hawa mediocre players. Rogers is looking for potential players, its time now for FA to have potential league, BR ameshindwa ku-attract proved and matured player siyo lazima wawe waingereza Liverpool haijapewa jukumu la kuwa academy ya England.
Tumeona msimu huu hatuna defensive mid-fielder tuliye naye ni Lucas Leiva na Emre Can (anachezeshwa kama beki) pale Bayern Munich kuna fundi anaitwa Javier "Javi" Martinez anasugua bench tu chini ya Pep, this is a type of player Liverpool should be linked for siyo Milner we have quite good number of wingers.
Ushambuliaji, katika safu hii hatuna jinsi maana strikers ambao wana fit kwenye mfumo wetu hatuna uwezo wa kuwachukua, ila Jovetic anafit ila ni Sturridge version 2 anaweza na yeye kucheza mechi 10 za ligi na 20 majeruhi. Kwa mpira wetu Origi,Balotelli na Borini hawawezi cheza kwa mafanikio kabisa, ni Lambert tu ambaye ana fit na mfumo wetu ila hana kasi nadhani mtumeona kwenye mechi Vs chelsea ambapo Countinho alimwekea mpira kwenye space ila sababu ya umri na speed hakuweza kufika kwenye mpira kwa wakati. Kuna mtoto mmoja wa kiuruguay I think he has all attributes to be our marksman, huyu kijana anauwezo wa kutokea kwenye flanks,mid na ana speed to match up na wachezaji tuliyo nao anaitwa Jonathan Rodriguez yupo pale Benfica natumai tutamuona kwenye copa america.
Tuna shida kwenye full backs na centre backs, let's hope Flanno stay injury free next season na asaini mkataba mpya (ila nae ni jihad sana ndo maana akiumia kidogo tu its a big issue) na tumrudishe Andre Wisdom, Moreno deal hasn't turned out as we expected, he has been caught off position several times( its among our weak point), offensively the lad is good. Kwa centre backs, Kolo toure should be off-loaded and bring back Tiago Illori na Coates ( nadhani mmemuana anachofanya lately baada ya kupata namba na kuaminiwa na Dick Advocaat pale Sunderland Muruguay mwenzake alikuwa anaua kipaji chake tu).
Mi bado nina imani tuna wachezaji wenye uwezo wa kufanya makubwa kwa kuwa BR hana dalili za kufukuzwa pale basi ajichange tu vizuri na awe flexible and reasonable Sterling si Messi pale Liverpool hata akiwa floppy basi lazima amalize 90 minutes????
FSG sidhani kama hawa jamaa watatoa mzigo wa kutosha maana walitoa our impersonate Bill Shankly blew it away nahisi watafanya yale mambo ya kina Hicks na Gillet kama hatutafanya changes with immediate effect I'm afraid to say next season will be as fruitful as Roy Hodgson season
Kuna taarifa inadai kua Wisdom anarudi, ila kwa Benteke ni mara mia Edin Dzeko. Kwengineko Lacazatte ama Dyabala mmoja angetufaa. Nikimtazama Dyabala move zake namuona LS7 kabisa (hapa simaanishi Dyabala ni sawa na LS7).
Kina pearce wanasema FSG wametoa HELA nyingi kwa ajili ya ST, (£32-35m) but ndo hivyo tunakuwa linked na Benteke, na kama Rodgers anatamsign Benteke kwa hicho kiasi na akabuma, hiyo signing itamcost kazi yake kama KD kwa Caroll..
Nina uhakika 100% Benteke atabuma LFC..
umenkumbusha Rickie Lambert na ile pasi aliyopewa na Henderson:; hapo ndo nliamini huyu kweli kashakua mzee
Kuna taarifa inadai kua Wisdom anarudi, ila kwa Benteke ni mara mia Edin Dzeko. Kwengineko Lacazatte ama Dyabala mmoja angetufaa. Nikimtazama Dyabala move zake namuona LS7 kabisa (hapa simaanishi Dyabala ni sawa na LS7).