Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.


unaandika usichokiamini.

pole sana wenzio wanaleta picha wewe unakuja na porojo.!!
 

mkuu hizo picha za laurence na hanipha ni fix siyo,,... Ni photoshop???
Unamkumbuka waziri wa habari wa sadam hussein??? Huenda gene zenu ni identical....polesana
 


This should be the Kawambwa and mulugo's product.

Hata kunyoosha maneno na maelezo ni tatizo.
 
ww kweli umeishiwa!kwani picha ndio kigezo!dunia ya sasa ni ya teknolojia.utaonyeshwa hata ww upo mkutanoni wakati haupo.come on ndugu yangu>amka.:disapointed:
 
Na usafiri bila kusahau posho na pesa ya mafuta ya pikipiki...Mkuu kila kukicha nazidi kuamini mwaka 2015 ni mwisho wa CCM...
 
tatizo lenu mnajifanya mnajua sana.leo mmeumbuka hapa moro.great thoughts speak only to the thoughtful mind,but great actions speak to all mankind.inaelekea ww unasoma shule za kata au ulipitia huko.the man who follows the crowd will usually get no further than the crowd.the man who walks alone is likely to find himself in places no one has ever been.tafuta mwalimu wa kiingereza akutafsirie.
 
ww kweli umeishiwa!kwani picha ndio kigezo!dunia ya sasa ni ya teknolojia.utaonyeshwa hata ww upo mkutanoni wakati haupo.come on ndugu yangu>amka.:disapointed:

huyu anaongea na nani au kapandwa na mizimu ya Lumumba !!!!??
 
babu slaa kisukari kinamsumbua.mtafutieni dawa za kienyeji zimsaidie.si mnajua wenye kisukari wanaishia kupiga picha na kinamama tu.
 

Wewe ni nani Sixtus Mapunda?Kumbuka kurudi na huku Litembo kwenu.Unaleta hadithi wakati picha tunaziona
 

hasira zote hizo za nini mkuu, kama wameumbuka si ndo furaha kwako , sasa povu la nini mkuu au imekutachi bini kupeini mkuu. Tulia dawa iingie na kukolea vizuri mkuu .....!!!!
 

Hiki kiingereza chako ni kichafu sana.Nani kakufundisha?Usichukue nukuu za watu usiowaelewa vizuri.Ulifukuzwa shule?Nape kiingereza hajui sembuse wewe.Shule uliyosoma unaikumbuka namba ya usajili?Au Lukuvi alikupa unafuu akaamua arudie kwa ajili yako kama alivyowafanyia wadogo zako juzi hapa.
 
Usiku wa leo aenda lala wapi dr? Anavyopenda huyu babu ni vyema kuwa makini kila mwenye mke/mchumba wake.
 
We Sumu baba yenu kashindwa hata kugaramia kurudisha mwili wa mtoto wake nyumbani... Kwa kuwa anapenda mabinti kaamua kugaramia kumtibu teja apate pa kupiga... Ngwair kafanya makubwa mpaka kadiliki kujiita mtoto wake lakini hata salamu za pole hakuna... Kashapata kasahau yote;
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…