Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

Eti Babu awe Rais labda wa wapenda vibinti.Mtu mzima utazaaje bila ndoa kama sio uzinzi ni nini

Ebu nipe maana ya neno NDOA kutoka tafsri yeyote unayoijua wewe halafu uniambie kati ya Dr Slaa na Kikwete aliyezaa nje ya ndoa ni nani?
 
Dr Slaa anasema Serikali imerisiti kimya kimya kwani tulizoea kuona wanafunzi wakirisiti,kwa maana hyo serikali ya CCM inataka kuandaa wataalamu Mbumbumbu

100% fact.. serikali imerisiti badala ya wanafunzi.. tunataifa hapo kweli??
 
Mkuu Crashwise hatuna msanii yoyote hapa watu wametoka maeneo mbalimbali kwa miguu hakunaga Malori hapa
 
KINANA YUPO HAPA NJOMBE! AMEKODI MAGARI, BAJAJI, NA BODABODA NA KUJAZIWA MAFUTA HAO NDIO WAMEMPOKEA ALIPOKUWA ANAFIKA. Mkutano wake nadhani watahudhuria waliokodiwa tu. CHAMA CHA MAJANGILI HAKIKUBALIKI KOTEKOTE.
 
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atakayekubali Tanzania iwe na Rais aliyechoka namna hii,

View attachment 95924
huyu mama angetulia tu na ndoa yake kuliko kujidhalilisha hivi du ndio kituko gani hicho alafu ni karata anacheza mpaka sasa amelamba dume manake alitegemea 2010 awe first lady hovyoo sijui atamrukia nani 2015 ngoja watuletee mgombea hapa tutajua. :heh:he he he
 
Dr anasema TISS wanawapakazia viongozi wa CDM kesi ametolea mfano wa Kamanda Zoka wa Mtwara kwamba ati Dr Slaa alishawishi nyumba ya Mh Hawa Ghasia na Mh Mkuchika,Dt anawananga hapa na kusema kuna haja kuhubiri Amani wakati viongozi wa Serikali ndio wavunjifu wa Amani?
 
daaah, hawa cdm hawafai safari hii wameshafika morogoro? kwa hiyo tuseme kanda ya kati imebaki dodoma na singida????
 
Dr Slaa amejikita zaidi kuzungumzia masuala mazima ya Amani
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1370096225343.jpg
    uploadfromtaptalk1370096225343.jpg
    128.9 KB · Views: 89
  • uploadfromtaptalk1370096260906.jpg
    uploadfromtaptalk1370096260906.jpg
    112.5 KB · Views: 83
  • uploadfromtaptalk1370096295339.jpg
    uploadfromtaptalk1370096295339.jpg
    118.5 KB · Views: 85
  • uploadfromtaptalk1370096338221.jpg
    uploadfromtaptalk1370096338221.jpg
    125.7 KB · Views: 86
  • uploadfromtaptalk1370096378993.jpg
    uploadfromtaptalk1370096378993.jpg
    108.4 KB · Views: 88
  • uploadfromtaptalk1370096419788.jpg
    uploadfromtaptalk1370096419788.jpg
    79 KB · Views: 82
  • uploadfromtaptalk1370096452278.jpg
    uploadfromtaptalk1370096452278.jpg
    68.7 KB · Views: 3,357
Makini sana makamanda.Jamani kina Tumaini mtuambie weekend ijayo tutakuwa wapi maana wiki iliyopita tulikuwa Songea, leo Moro.Tafadhali hata kama hatupo hapo lakini sisi tunafuatilia hapahapa JF.Wale wengine wanategemea zaidi magazeti maana hatuoni habari zao zikija hapa live.
 
mkuu Kilaga achana na Mlibelali huyo a.k.a Mlesiabiani....
achana naye... najua anaumia kuona huo umati, ambao umekuja wenyeweeeee kwa gharama zao mbali ya umaskini walio nao, hapowamekuja bila kuahidiwa buku5, bila khanga, wala kofia, wala chumvi, wala malori ya kosomba watu,
View attachment 95947View attachment 95948View attachment 95949View attachment 95950
hapo hakuna cha maro, wala barnaba wala muonyesha makalio a.k.a domo daimondi, wala cha wote lina (tobo)

Hawa watoto wnatumika kweli maskini!
 
Mzee akieleza Mazila ya Magamba
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1370096582172.jpg
    uploadfromtaptalk1370096582172.jpg
    114.7 KB · Views: 76
  • uploadfromtaptalk1370096616704.jpg
    uploadfromtaptalk1370096616704.jpg
    98 KB · Views: 67
  • uploadfromtaptalk1370096710251.jpg
    uploadfromtaptalk1370096710251.jpg
    76.5 KB · Views: 68
  • uploadfromtaptalk1370096746474.jpg
    uploadfromtaptalk1370096746474.jpg
    115.9 KB · Views: 80
  • uploadfromtaptalk1370096802654.jpg
    uploadfromtaptalk1370096802654.jpg
    78.5 KB · Views: 74
Wana Moro, baada ya somo zito la msingi wa amani ya nchi ni haki na matumaini ya wananchi...kutoka kwa Dkt. Slaa.

Sasa ni wakati wa maswali...
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1370096810.673778.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1370096810.673778.jpg
    148.2 KB · Views: 2,711
huyu mama angetulia tu na ndoa yake kuliko kujidhalilisha hivi du ndio kituko gani hicho alafu ni karata anacheza mpaka sasa amelamba dume manake alitegemea 2010 awe first lady hovyoo sijui atamrukia nani 2015 ngoja watuletee mgombea hapa tutajua. :heh:he he he

Tupo Live
 
Back
Top Bottom